scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Labia majora,a man
Watu wa forex huwa wanajiona mda wowote watalipuka utajiri
Watu wa forex huwa wanajiona mda wowote watalipuka utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawai kupractise?Labia majora,a man
Watu wa forex huwa wanajiona mda wowote watalipuka utajiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Unaijua FX lknFx ni Gambling nmeacha mwaka jana
Labia majora,a man
Watu wa forex huwa wanajiona mda wowote watalipuka utajiri
Ndio maana forex inawaasua marinda. Hakuna utajiri simpo, wa haraka na endelevu hapa duniani. Labda utajiri wa manyoka.You ain't serious dude. How can you waste the whole freaking day in order to gain 20$ to lose it and more the following days. It doesn't make sense at all.
Acha ukorofi,ukipigwa siji kukuokoa.Pole na hongera kwa kuacha
Ila ndio ujiite labia majora mkuu?[emoji38]
Mpaka anaanza kunipiga unakua wapi sasa😂Acha ukorofi,ukipigwa siji kukuokoa.
Nipo hapa najifunza FX usinitoe kwenye uwepo.Mpaka anaanza kunipiga unakua wapi sasa😂
Kweli ngoja nisikutoe kwenye uwepo maana FX inahitaji consistency ukiharibu tu graph hulielewi tena😂Nipo hapa najifunza FX usinitoe kwenye uwepo.
Ukipigwa makonzi sikuokoi,we chokoza tu watu. 😅
Njoo pm nikufundishe folexKweli ngoja nisikutoe kwenye uwepo maana FX inahitaji consistency ukiharibu tu graph hulielewi tena[emoji23]
To succeed in the forex market, it's important to approach it like a programmer. Using an Expert Advisor (EA) can help you identify valid entry signals and make informed trading decisions.Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
=Aqua Line | Valid BUY signal | EA will open BUY
Yellow Line | Valid SELL signal | EA will open SELL
White Line / Square box | Invalid Signal | No Trade
=
By default, the SL and TP are set to 35 pips (but can be changed). If the signal changes before hitting TP, the EA will close the trade and open a new opposite trade, Only if the signal is VALID.
I have added NON_LAG_MA set to H1 to filter and reduce bad signals from the MA_BANDS indicator. For the default EA settings, it is recommended to use a chart timeframe of M5 (although M15 can also be used). However, you can change the NON_LAG_MA timeframe and use a higher timeframe like H4 or Daily.
https://www.forexfactory.com/thread/post/14432265#post14432265
Na hii kazi ya BUY SELL tunaiachia EA kufanya bada ya kuipa conditions za BUY or SELLKubeti ni vigumu kwa sababu prediction ni nyingi. Forex prediction ni mbili tu buy/sell
Unayeuliza strategy bado hujaiva Rudi depo, yaAni bado mno.Strategy gan unatumia mkuu?
Maisha yetu ama kila kitu Ni kubeti. Niambie ambacho sio Cha kubeti nitakuambia. Mfano Leo nimesafiri nimevuka Kama mikoa mitatu nipo wa nne ndio Destination. Sikujua Kama nitafikaItoshe kusema forex n kama kubet tu tena kubet kunaweza kiwa rahis kuliko folexi
Mentor kaja kusaka vichwa kwenye huu uzi waambieni vijana ukwel fx sio mgod wa pesa kama ambavyo wengi hudham ebu tutafute kaz za kueleweka fx sio unyama
Labda ajibu maombi, ila sio hilo swaliAkijibu utanitag