Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)


CriptoSwaps


Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.

Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.

Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.

Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
CriptoSwaps
Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
 
mm nko apa kukuprove hakuna mtu anafaidika na forex kwa mt4, na ukitaka naweza nkakuwekea mil 2 nkakwambia tafuta yoyote unaedhan anapiga ela nkupigie hesabu za trades zake kama haiji negative
Wewe ulijifunza just intro ukaweka pesa nyingi kwa mkupuo huna knowledge ya kutosha ukapigwa ume taja mt4 ukanionysha kuwa bado hfahamu hili swala kwa undani so Acha wanao fahamu wa trade
 
Wewe ulijifunza just intro ukaweka pesa nyingi kwa mkupuo huna knowledge ya kutosha ukapigwa ume taja mt4 ukanionysha kuwa bado hfahamu hili swala kwa undani so Acha wanao fahamu wa trade

😂 😂 😂 amini amna unachojua kuhusu forex, kwa kuanza nkwambie tu forex market haipo na haiwezi kuwepo! There is nothing like forex market mlipigwa tu na mabroka biashara zao ziende ila kwa kua ulijiona mjuaji ukazama kwao 😂
 
😂 😂 😂 amini amna unachojua kuhusu forex, kwa kuanza nkwambie tu forex market haipo na haiwezi kuwepo! There is nothing like forex market mlipigwa tu na mabroka biashara zao ziende ila kwa kua ulijiona mjuaji ukazama kwao 😂
Wewe ni kama unatukana BOT wanaotoa leseni kwa mabroka na kama ulipigwa ni ww so just freeze..... inaonekana kuwa hukujifunza kuhusu hii biashara vizuri ulingia kwa kurupuka remember hakuna mafanikio ya haraka
 
Wewe ni kama unatukana BOT wanaotoa leseni kwa mabroka na kama ulipigwa ni ww so just freeze..... inaonekana kuwa hukujifunza kuhusu hii biashara vizuri ulingia kwa kurupuka remember hakuna mafanikio ya haraka
Unaweza jifunza upya forex ina exists ila ni kwamba matapeli wamekuwa wengi ndo maana naona huamini kusuhu hwa broka kuna vigezo vya kumpata broka bora na wa uhakika achana na mabroka ambao hawaja kizi vigezo the fanya forex kama kazi ya msingi I've muda the jifunze kwa walio fanikiwa tena mtu unae weza kutana nae physical tumia muda mwingi kujifunza kuliko ku trade jifunze kutrade mwenyewe withdraw your profit and do it again
 
Research zinaonyesha ndani ya muda mrefu katika watu kumi ni wawili ndio wanatengeneza kwenye forex, una nafasi kubwa sana ya kupoteza hela kuliko kutengeneza hela.
 
Research zinaonyesha ndani ya muda mrefu katika watu kumi ni wawili ndio wanatengeneza kwenye forex, una nafasi kubwa sana ya kupoteza hela kuliko kutengeneza hela.
Hapana chance ni 50/50 mkuu weng hawafanikiw wapo na common reason na wanaofaniiiwa wapo na common traits
 
Hapana chance ni 50/50 mkuu weng hawafanikiw wapo na common reason na wanaofaniiiwa wapo na common traits


Sio maneno yangu ni several researches using compiled data from brokers and their traders ndio zina conclude hivyo.

Common sense says mara nyingi watu wanaoshawishi wenzao kwenda kwenye currency trading uwa ni brokers au wamelipwa kufanya hiyo kazi kwa namna moja au nyingine.

Otherwise currency trading is very high risk na inahitaji serious commitment ya kupata habari nyingi.
 
Wewe ni kama unatukana BOT wanaotoa leseni kwa mabroka na kama ulipigwa ni ww so just freeze..... inaonekana kuwa hukujifunza kuhusu hii biashara vizuri ulingia kwa kurupuka remember hakuna mafanikio ya haraka

FOREX sio soko ni process, FOREX it means FOREIGN EXCHANGE sio soko, leseni znatolewa kwa ajili ya FOREIGN EXCHANGE na sio FOREX MARKET, kuna tafauti ya izo vitu 2, mm nmekwambia forex market haipo na haiwezi kuwepo nkimaanisha mnaotumia MT4, MT5 kwa jina la forex, ule ni utapeli na ndo wanaoongoza kwa kua na maelezo mengi kuhusu forex ambayo sio ya kwel, forex haina uhusiano wowote na broker , so kama unaelezea forex kwa jicho la broker ushapotea
 
Hapana chance ni 50/50 mkuu weng hawafanikiw wapo na common reason na wanaofaniiiwa wapo na common traits

we jamaa umekunywa maji ya broker, ungekua unafanya forex yenyewe unaweza kutoka kwa asilimia ndogo, ila kwa kutumia broka unapoteza mda
 
FOREX sio soko ni process, FOREX it means FOREIGN EXCHANGE sio soko, leseni znatolewa kwa ajili ya FOREIGN EXCHANGE na sio FOREX MARKET, kuna tafauti ya izo vitu 2, mm nmekwambia forex market haipo na haiwezi kuwepo nkimaanisha mnaotumia MT4, MT5 kwa jina la forex, ule ni utapeli na ndo wanaoongoza kwa kua na maelezo mengi kuhusu forex ambayo sio ya kwel, forex haina uhusiano wowote na broker , so kama unaelezea forex kwa jicho la broker ushapotea
NIMELIOMBA ROBOTI LIKUSAHIHISHE .

FOREX sio soko bali ni mchakato: Hii ni sahihi kwa kiwango fulani kwani forex inamaanisha mchakato wa kubadilisha sarafu. Hata hivyo, soko la forex (FOREX MARKET) ni mahali ambapo mchakato huu unafanyika.

Leseni kwa ajili ya FOREX: Leseni hutolewa kwa taasisi zinazohusika na biashara ya kubadilisha sarafu, ikiwa ni pamoja na mabenki na madalali (brokers).

SOKO LA FOREX LIPO AU HALIPO?: Soko la forex lipo na linafanya kazi, lakini kuna vikwazo vingi na utapeli unaohusiana na matumizi ya majukwaa kama MT4 na MT5. Ni muhimu kufanya biashara na madalali waliodhibitiwa na mamlaka za kifedha zinazotambulika ili kuepuka utapeli.

Uhusiano wa FOREX na Brokers: Madalali (brokers) ni sehemu muhimu ya soko la forex kwani wanawezesha wafanyabiashara kupata masoko na kufanya biashara. Hata hivyo, sio madalali wote wanafanya kazi kwa uaminifu.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=w6JXZ3GzSCQ&pp=ygUkdGhlIGJpbGxpb24gZG9sbGFyIHNjYW0gZG9jdW1lbnRhcnkg

Worth watching, kama aionyeshi (hata kwa VPN) kabla ujakurupuka kwenye kukimbilia trading platform.

Kuna scammers wengi sana na wengine wamesajaliwa kama brokers (trading platforms) ambazo zinaonekana legit wengine walikuwa wana sponsor mpaka team za mpira premier league, La Liga (kabla ya kustukiwa) na wana influencers luluki ambao ni watu maarafu.

Wanachofanya matapeli una trade kwenye simulation platform ambazo wanazichezea wanakula na kipofu (unaweza pata kidogo) mwisho wa siku lazima upoteze hela yako yote.

Hawa watu wanaweza wafilisi wasomi nchi ambazo zina regulations kali na financial authorities za kusimamia mambo kama haya, polisi units na wataalamu waliobobea kwenye IT kupambana nao na wameshindwa kuwamaliza. Wakizuia platform moja leo, kesho inaibuka nyingine.

Forex hata ku-trade kwenye platform halali sio rahisi kutoboa mtu asikuongopee (ndio inawezekana kupata hela lakini ni wachache sana), jumlisha na hizo trading platforms za simulation zilizojaa ndio kabisa wazungu wenyewe wameshindwa kutokomeza hizo scams.

Ukiona mtu anakushawishi sana kushiriki na ni rahisi kutengeneza hela anakupa na platform ya kwenda ku-trade chances are unaenda tapeliwa hiyo hela yako.
 
we jamaa umekunywa maji ya broker, ungekua unafanya forex yenyewe unaweza kutoka kwa asilimia ndogo, ila kwa kutumia broka unapoteza mda
Embu nitajie ao wanaofanya forex yenyewe maana sijawai ona trader asietumia mt5 or mt4 au asietumia broker,
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=w6JXZ3GzSCQ&pp=ygUkdGhlIGJpbGxpb24gZG9sbGFyIHNjYW0gZG9jdW1lbnRhcnkg

Worth watching, kama aionyeshi (hata kwa VPN) kabla ujakurupuka kwenye kukimbilia trading platform.

Kuna scammers wengi sana na wengine wamesajaliwa kama brokers (trading platforms) ambazo zinaonekana legit wengine walikuwa wana sponsor mpaka team za mpira premier league, La Liga (kabla ya kustukiwa) na wana influencers luluki ambao ni watu maarafu.

Wanachofanya matapeli una trade kwenye simulation platform ambazo wanazichezea wanakula na kipofu (unaweza pata kidogo) mwisho wa siku lazima upoteze hela yako yote.

Hawa watu wanaweza wafilisi wasomi nchi ambazo zina regulations kali na financial authorities za kusimamia mambo kama haya, polisi units na wataalamu waliobobea kwenye IT kupambana nao na wameshindwa kuwamaliza. Wakizuia platform moja leo, kesho inaibuka nyingine.

Forex hata ku-trade kwenye platform halali sio rahisi kutoboa mtu asikuongopee (ndio inawezekana kupata hela lakini ni wachache sana), jumlisha na hizo trading platforms za simulation zilizojaa ndio kabisa wazungu wenyewe wameshindwa kutokomeza hizo scams.

Ukiona mtu anakushawishi sana kushiriki na ni rahisi kutengeneza hela anakupa na platform ya kwenda ku-trade chances are unaenda tapeliwa hiyo hela yako.

Unahela ya kutapeliwa mzee izo usd 1k 2k ndo unasema umetapeliwa watu wanapoteza watu wanamake millions out of trading, kama hujui hujui si lazima wote tufanye trading, kama huna maamuzi trading hutoiweza binafsi nilifeli sana kwasababu nilikosa maamuz plan etc,
 
Unahela ya kutapeliwa mzee izo usd 1k 2k ndo unasema umetapeliwa watu wanapoteza watu wanamake millions out of trading, kama hujui hujui si lazima wote tufanye trading, kama huna maamuzi trading hutoiweza binafsi nilifeli sana kwasababu nilikosa maamuz plan etc,

Ungekuwa umeingalia hiyo documentary ungeelewa scam ninayoongelea kuna trade platforms kama:

‘FVXC’ ilikuwa ina sponsor Leeds United
‘EverFX’ ilikuwa ina promote Sevilla
‘TMGM’ ilikuwa promoted na Chelsea

Bado kuna timu sita zingine za Premiership na sita za La-liga zilikuwa na zenyewe zina promote different trading platforms (they were all fooled to promote scam).

Brokers wote hao wamesajiliwa kihalali lakini wakajabainika ni scams, una-trade kwenye simulation tu ambayo wanaichezea mwisho wa siku lazima upoteze.

Ndio point yangu kuna watu wasomi na wanauelewa mpana wa financial markets na wamepoteza hundred of thousands of pounds/dollars/Euros kwenye hizo scams. Mbaya zaidi hizo platform nilizotaja hapo zina parent companies ambazo zina brand luluki nyingine kwa majina tofauti zote ni scams ndio maana hiyo vita aiishi huko kwao na hawa matapeli, the telling sign hii ni scam utaona promotion kubwa sana ya influencers.

Hakuna mtu anaweza tumia nguvu kulazimisha watu ku-trade forex bure bure either ana ka-course chake uchwara cha kuchukua hela za watu au broker anaefaidika na hizo trading platform za scams; zimetapakaa dunia nzima sasa hivi na kufanikisha kuna ma-agents wa kuwakusanyia watu.

Hiyo ndio ilikuwa hoja yangu, ukitaka sasa tuongelee kwanini forex ni ngumu (huko nilikuwa sijagusia) we can go there too.
 
NIMELIOMBA ROBOTI LIKUSAHIHISHE .

FOREX sio soko bali ni mchakato: Hii ni sahihi kwa kiwango fulani kwani forex inamaanisha mchakato wa kubadilisha sarafu. Hata hivyo, soko la forex (FOREX MARKET) ni mahali ambapo mchakato huu unafanyika.

Leseni kwa ajili ya FOREX: Leseni hutolewa kwa taasisi zinazohusika na biashara ya kubadilisha sarafu, ikiwa ni pamoja na mabenki na madalali (brokers).

SOKO LA FOREX LIPO AU HALIPO?: Soko la forex lipo na linafanya kazi, lakini kuna vikwazo vingi na utapeli unaohusiana na matumizi ya majukwaa kama MT4 na MT5. Ni muhimu kufanya biashara na madalali waliodhibitiwa na mamlaka za kifedha zinazotambulika ili kuepuka utapeli.

Uhusiano wa FOREX na Brokers: Madalali (brokers) ni sehemu muhimu ya soko la forex kwani wanawezesha wafanyabiashara kupata masoko na kufanya biashara. Hata hivyo, sio madalali wote wanafanya kazi kwa uaminifu.

unapoteza mda kuelezea kitu hukijui, hakuna soko la forex na haliwezi kuwepo, kila mtu anatrade kwenye wigo wake, mm naweza kukuuzia dola 10k mwingine akaunza jero, haya sio masoko kijana ni makubaliano, likewise crdb anauza dola tafauti na nmb, kwahio acha kupoteza mda
 
Back
Top Bottom