Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Unaelewa maana ya broker ,broker ni mtu wa kati sasa kama anayobidhaa ya kukupa then atakuwa anajidalalia mwenyewe,broker ye anakuonyesha mali anapata percent basi

au mpaka tukuwekee bandiko kama ili ndo utaelewa
1717136273152.png

Pale mmepigwa kijana
 
hakuna pair ya hovyo, TSHKSH iko the same same kama EURUSD, trading haifanyiki kwa sababu ya kupata faida bali iafanyika kubalance mahesabu, trading haifanyiki kwa broka inafanyika kwenye central bank ya nchi husika broka hio ni biashara ya watu wengine nani story tafauti, rate ya KSHTSH daily inamove this means there is an activity going on within the pair
Ndio maana kwenye post yangu #666 utaona hapo kwenye kuelezea sababu za kupanda na kushuka kwa pairs nimeacha kwakuwa kuna factors nyingi sana unahitaji kitabu kupata picha nzima it’s a lot of information.

Pili usikariri defition ya market (soko), elewa soko ni kitu gani. Maana ya soko ni mahala popote ambapo wauzaji wengi na wanunuzi wengi wanakutana. Soko kubwa la forex ni inter-banking lending (hiyo ndio primary market) sio central bank kama unavyodhani.

Traders wadogo pia wanakutana kununua na kuuza kwenye platforms zao (hiyo nayo ni market) be it ni secondary market kwa sababu for the most part hawana influence on currency value hiyo ni dictated by inter-bank lending.

Major pairs ni zile ambazo zinanunuliwa na kuuzwa sana uwezi fananisha demand ya Chinese Yuen ambayo nchi yake inaongoza kwa exports na wenyewe pia wana-import sana na Tsh.

Ndio maana kuna major pairs zile ambazo zina demand sana Yuen-Dollars, EUR-JPY, etc kwa kifupi major pairs ni zile zina volumes kubwa ya demand sokoni. Na kuna factors zingine luluki pia zinaweza influence value ya hizo currencies outside inter-banking lending ambazo unatakiwa kuzijua. Central banks zina influence ndogo sana kwenye primary forex market, hizo habari za ku-balance sijui umetoa wapi, government influence kwenye local currency ni kupitia monetary policies zake.

Ni hivi haya mambo ni complicated sio ya kuandika kwenye hii page in simplicity kama mijadala yetu ya JF tuliyoizoea. Forex ni hardest place to invest consequently there is a lot to learn and understand na kwa kusoma post żako you have a lot to learn na hilo somo uwezi lipata JF au Google you need a book for that.
 
Ndio maana kwenye post yangu #666 utaona hapo kwenye kuelezea sababu za kupanda na kushuka kwa pairs nimeacha kwakuwa kuna factors nyingi sana unahitaji kitabu kupata picha nzima it’s a lot of information...

1) Traders pekee ni central bank amna mwingine anafanya trading, hedge funds na mabenki hawafanyi trading wanafanya kitu kinaitwa PORTFOLIO MANAGEMENT, kwa bahati mbaya ama nzuri huenda wanapata faida pia

2) you will never understand hizi pairs kwa sababu mfumo wa uchumi hauelewi, kiukweli na kiuhalisia currency hazitumii supply demand kama mnavoaminishwa, the world financial market is only a market of 5 computers! SIku currencies zkatumia supply and demand ndo utakua mwisho wa hela na pesa haitakua na thamani tena, fikiria scenario hii, mm pesa yangu (TSH) ni kubwa kuliko ela ya zimbabwe na uchumi zetu zpo tafauti tukisema tutumie uhalisia wa uchumi basi nikiienda zimbabwe natakiwa kupata ela ambayo nkiconvert kurudi USD inatakiwa iwe zaidi ya convert TSH ya awali kwenda USD but mambo hayapo ivo! tutumie mfano mrahisi, KES na TSH

- tuseme nna 1M ya bongo
if i convert this kwenda KSH nitapata around 5000 KSH, nkichukue hii 5000 KSH nkibadilisha kwenda USD napata kama $383, nkichukua hii $383 kurudi TZS napata 1M ya bongo, unaona hii circle? maaana yake story ya supply and demand kwenye pair ya KSHTSH ni uongo nmekupa mfano mrahisi but chukua pesa yoyote duniani fanya round trip utakuta supply and demand ni uongo yapo mengi ila huu ni mfano mrahisi, watu hua wakipiga kelele supply demand but hawaelewi financial markets znaendeshwa vp, utahangaika sana kusoma news articles ila we just hizi sio real RATES

3) forex market haipo kwa sababu hakuna accepted rates ya pesa, zote znaenda kwa makubaliano tu na hazina uhalisia wowote kurudi kwa broka, when you make a trade haununui hio sarafu bali unapewa kitu kinaitwa (PERPETUAL CONTRACT) ama kwa kiswahili (MKEKA), and ofcourse broka anaweza ata kukuongezea nguvu as much as he wants(LEVERAGE) kwa sababu sio real ni mikeka tu! Hii nayo story yake ni ndefu ila kwa lugha nyepesi broka anachukua ela ya aliepoteza anampa aliewin kwahio amna trading apo its all GAMBLING


4) Major pairs ni lugha ya biashara pairs zote ni sawa ata KSHTSH usione haina broka ila rates zake kila sku znamove major pairs ni lugha tu

5) usipende kumeza sana content za online dunia sio rahisi ivo, kila mt4 gambler ana maneno kama yako ya supply demand kwa sababu ndo mlivomezeshwa, ila huezi kuta mtu kakaa pale BOT anasoma candlestick because charts is a fool theory
 
IMG_7407.jpeg


Nitakujibu hoja żako baadae au before the weekend ends for the sake of discussion.

Lakini nataka usome kwanza wasifu wa mtu ambae kitabu chake nitatumia kukupa majibu kama una professional authority ya kubishana nae.
 
View attachment 3005139

Nitakujibu hoja żako baadae au before the weekend ends for the sake of discussion.

Lakini nataka usome kwanza wasifu wa mtu ambae kitabu chake nitatumia kukupa majibu kama una professional authority ya kubishana nae.

Your talking to an EX CHEQUER BOT supervisior, and also i have been creating alot of HFT(HIGH FREQUENCY TRADING) softwares for the last 8 years, sasa wewe endelea kukomaa na vitabu ambayo broka wanawadanganya
 
1) Traders pekee ni central bank amna mwingine anafanya trading, hedge funds na mabenki hawafanyi trading wanafanya kitu kinaitwa PORTFOLIO MANAGEMENT, kwa bahati mbaya ama nzuri huenda wanapata faida pia

2) you will never understand hizi pairs kwa sababu mfumo wa uchumi hauelewi, kiukweli na kiuhalisia currency hazitumii supply demand kama mnavoaminishwa, the world financial market is only a market of 5 computers! SIku currencies zkatumia supply and demand ndo utakua mwisho wa hela na pesa haitakua na thamani tena, fikiria scenario hii, mm pesa yangu (TSH) ni kubwa kuliko ela ya zimbabwe na uchumi zetu zpo tafauti tukisema tutumie uhalisia wa uchumi basi nikiienda zimbabwe natakiwa kupata ela ambayo nkiconvert kurudi USD inatakiwa iwe zaidi ya convert TSH ya awali kwenda USD but mambo hayapo ivo! tutumie mfano mrahisi, KES na TSH

- tuseme nna 1M ya bongo
if i convert this kwenda KSH nitapata around 5000 KSH, nkichukue hii 5000 KSH nkibadilisha kwenda USD napata kama $383, nkichukua hii $383 kurudi TZS napata 1M ya bongo, unaona hii circle? maaana yake story ya supply and demand kwenye pair ya KSHTSH ni uongo nmekupa mfano mrahisi but chukua pesa yoyote duniani fanya round trip utakuta supply and demand ni uongo yapo mengi ila huu ni mfano mrahisi, watu hua wakipiga kelele supply demand but hawaelewi financial markets znaendeshwa vp, utahangaika sana kusoma news articles ila we just hizi sio real RATES

3) forex market haipo kwa sababu hakuna accepted rates ya pesa, zote znaenda kwa makubaliano tu na hazina uhalisia wowote kurudi kwa broka, when you make a trade haununui hio sarafu bali unapewa kitu kinaitwa (PERPETUAL CONTRACT) ama kwa kiswahili (MKEKA), and ofcourse broka anaweza ata kukuongezea nguvu as much as he wants(LEVERAGE) kwa sababu sio real ni mikeka tu! Hii nayo story yake ni ndefu ila kwa lugha nyepesi broka anachukua ela ya aliepoteza anampa aliewin kwahio amna trading apo its all GAMBLING


4) Major pairs ni lugha ya biashara pairs zote ni sawa ata KSHTSH usione haina broka ila rates zake kila sku znamove major pairs ni lugha tu

5) usipende kumeza sana content za online dunia sio rahisi ivo, kila mt4 gambler ana maneno kama yako ya supply demand kwa sababu ndo mlivomezeshwa, ila huezi kuta mtu kakaa pale BOT anasoma candlestick because charts is a fool theory
Toa source za info zako acha kufanya perceptions zako kuwa facts ,.Economics ni taaluma mkuu sio novel kwamba kwasababu umesoma unaweza kusimulia na ikawa uhalisia.
Umejaribu kuweka terminology nyingi kujionyesha unajua ila naona conspiracy tu.

Thibitisha kwa mifano halisia achana na scenerio kwamba hakuna Foreign money exchange Market kama ulivyosema.
 
Toa source za info zako acha kufanya perceptions zako kuwa facts ,.Economics ni taaluma mkuu sio novel kwamba kwasababu umesoma unaweza kusimulia na ikawa uhalisia.
Umejaribu kuweka terminology nyingi kujionyesha unajua ila naona conspiracy tu.

Thibitisha kwa mifano halisia achana na scenerio kwamba hakuna Foreign money exchange Market kama ulivyosema.

ubaya ata nkikupa mifano hutaelewa, World finance isnt what you read and kwa mwendo huo you will never understand the world financial systems, The forex market doesnt exist kwa sababu hakuna sehem watu wanauziana pesa, bali wanafanya EXCHANGE yaaani nachokupa kinakua equivalent na unachonipa, kinachowasumbua wengi ni hawa brokas walivokuja kwenye light basi kila mtu akajiona anajua finance, maisha hayapo ivo

Hakunaga kitu kama buying curriencies, you only convert curriencies upate equivalent yake, maaana yake kama sio commisions na kuweka faida basi unaweza kuconvert to and from as many times na ukapata the same amout ulioanzia nayo! Pia unaconvert kitu ambacho kinatumia FLOATING RATES na sio rates halisi za uchumi, rudia kusoma mfano nliokupa wa kununua ela kwenda ksh kwenda usd kurudi tsh
 
ubaya ata nkikupa mifano hutaelewa, World finance isnt what you read and kwa mwendo huo you will never understand the world financial systems, The forex market doesnt exist kwa sababu hakuna sehem watu wanauziana pesa, bali wanafanya EXCHANGE yaaani nachokupa kinakua equivalent na unachonipa, kinachowasumbua wengi ni hawa brokas walivokuja kwenye light basi kila mtu akajiona anajua finance, maisha hayapo ivo
Ngoja mkuu leo wikiend nitakusaidia uelewe haya maswala , Nitakuelezea taratibu mpaka uelewe , Acha kukaza kichwa kwasababu ya Pride yako jaribu kujishusha kidogo.
 
Ngoja mkuu leo wikiend nitakusaidia uelewe haya maswala , Nitakuelezea taratibu mpaka uelewe , Acha kukaza kichwa kwasababu ya Pride yako jaribu kujishusha kidogo.
Usije kuja na vitabu vyako vya broka, wewe kama unajua una uelewa mzuri wa global finance ndo uje, usije apa na elimu ya broka, make sure unajua central bank wanatrade vp forex, make sure unajua crdb wanatrade vp forex yaaani uje umekamilika usije na story za vitabu vya broka

- Yaani nkikuulize 1KSH = 20TSH imepatikana vp una majibu
 
Unaweza jifunza upya forex ina exists ila ni kwamba matapeli wamekuwa wengi ndo maana naona huamini kusuhu hwa broka kuna vigezo vya kumpata broka bora na wa uhakika achana na mabroka ambao hawaja kizi vigezo the fanya forex kama kazi ya msingi I've muda the jifunze kwa walio fanikiwa tena mtu unae weza kutana nae physical tumia muda mwingi kujifunza kuliko ku trade jifunze kutrade mwenyewe withdraw your profit and do it again
OK unamana MT4,MT5 hapo nimekupata kwani ni vyema kuchagua broka mara nyingi hizi tunatumia kama platforms ila broka naweza kuwa pembeni ya hili na broka ndiye anaye shika pesa zako na sio hiyo platform hivyo kusma kuwa forex kunamatapeli haimanishi kuwa haipo kabisa na watu wangi ukiwambia unafanya for atakuuliza unameingiza shingapi kwa forex na ndo maswali ya badhi ya vijana ya hovyo haufanyi bishara yeyote kasababu mtu x kafanya na kafanikiwa bali unafanya kutokana upotayari kujifunza na utapambana kwa njia yeyote every business ina faida na hasara ni vyema uliamua kuachana na forex ulifanya uamuzia sahihi sio kila anaefanya forex atafanikiwa
 
Usije kuja na vitabu vyako vya broka, wewe kama unajua una uelewa mzuri wa global finance ndo uje, usije apa na elimu ya broka, make sure unajua central bank wanatrade vp forex...
Ni sahihi unacho sema kihusu global finance but jua no one is knowing what happens 100% hwa broka wengi huwa wanafanya link na kutuweka retailers kwenye interbank positions ni kweli hakuna biashara ya kunua fedha kma unavyo nunua bidhaa kama tunavyo elezwa ila we deals with those equivalent kwasababu zina vary ndo maana tuna chukwa one side yani pesa yenye bei nafuu tuna nunua kisha kuiuza pale bei yake inapokuwa ghali baadae ndivyo hivyo hata mabenki hufanya ili kupat faida ya mabadiliko ya rate za pesa mfano ukienda benki unataka dolla utakuta inauzwa labda 2563.44tzsh ila benkia hawaku nn kwa bei hiyo huwnda ilikuwa nafuu zaidi ya hapo na ndipo forex inapo anzia kununua na kuuza broka ni wengi sasa na wengi wanafilisika ndo naana utapeli huzidi
 
Usije kuja na vitabu vyako vya broka, wewe kama unajua una uelewa mzuri wa global finance ndo uje, usije apa na elimu ya broka, make sure unajua central bank wanatrade vp forex, make sure unajua crdb wanatrade vp forex yaaani uje umekamilika usije na story za vitabu vya broka

- Yaani nkikuulize 1KSH = 20TSH imepatikana vp una majibu


stakehigh ili kujua kama kweli kuna Foreign Money Exchange Market fuatana na mimi na weka ujuaji pembeni , kubali kujifunza.

Kwanza soko ni nini?

Najua unajua maana ya soko ni sehemu watu wanaposanyika kuuza na kununua au mfumo unaowakutanisha watu kuuza na kununua , mpaka hapa najua unajua hivyo sitoenda kwa undani zaidi bali nitakuelezea ki mifano maana ya soko na umuhimu wake.

Chukulia huu mfano:

Mama Joy anaenda sokoni na kilo mbili za mchele kwa ajili ya kuziuza akiwa na malengo baada ya kupata kiasi cha pesa anunue maharagwe, lakini kabla ya kufika sokoni njiani anakutana na Mama Aisha ambae yeye amebeba Maharagwe kilo mbili pia kwa ajili ya kuuza ili anunue mchele , Mama Joy anamshauri Mama Aisha kwanini wasiende sokoni na wabadilishane bidhaa zao , wazo la Mama Joy ni zuri lakini Mama Aisha anakumbuka kipindi hicho ni cha uvunaji wa mpunga hivyo kiasi che mbele kilichopo sokoni kimeongezeka( supply imeongezeka ) na kuna uwezekano wa gharama ya mchele kushuka , lakini licha ya hivyo Mama Aisha hajui thamani halisi ya maharagwe yake kwa siku hio sokoni, hivyo anamkatalia Mama Joy wazo lake na kumwambia wafike kwanza sokoni ili wajue kilo moja ya Maharagwe inauzwa kiasi gani na ya Mchele kiasi gani , kishingo upande Mama Joy anakubali wanafika sokoni..

Wote kwa pamoja wanaulizia kilo ya mchele inauzwa kiasi gani wanaambiwa kutokana na wingi wa mchele sokoni kuliko wanunuzi(High supply), kilo ya mchele imeshuka kutoka 2000 mpaka 1000 , wanaulizia tena kilo ya Maharagwe inauzwa kiasi gani wanaambiwa kilo ya maharagwe kutokana na kuwa kidogo sokoni na wanunuzi kuwa wengi(High Demand)thamani yake imepanda kutoka 2000 thamani ya soko(Market price) wiki iliopita mpaka 4000 kwa siku hio(Real time market price).

Mama Aisha anachekelea wakati Mama Joy ananuna , lakini licha ya kununa kwake bado anahitaji maharagwe na pia licha ya Mama Aisha kuchekelea bado anahitaji mchele.

Wanarudi kwenye mazungumzo na Mama Aisha anamwambia Mama Joy yupo tayari kumpatia nusu ya Maharagwe yake achukue kilo mbili zake za mchele maana ndio thamani yake kulinganisha na maharagwe. Mama Joy anakubali kishingo upande.

Lakini kabla ya makubaliano yao kukamilika anatokea mtoza ushuru wa soko anawaambia makubaliano yao yatafanyika baada ya kulipia ushuru kama sheria ya soko, lakini kwakuwa hawana hela anawaambia atachota nusu kikombe cha mchele kutoka kwa Mama Joy na nusu kikombe cha maharagwe kutoka kwa Mama Aisha. Wote wanakubali na biashara inaishia hapo”


Unajifunza nini kupitia huo mfano:

Kwanza kabisa utagundua kwamba kabla hawajafika sokoni walikuwa wakijua thamani ya maharagwe ni sawa na thamani ya Mchele , lakini uelewa wa biashara wa Mama Aisha unamfanya kukataa, kwasababu anajua Sokoni ndio sehemu yenye mkusanyiko wa wanunuzi(Buyer) na Wauzaji(Seller) hivyo thamani ya bidhaa zao itategemeana na Demand na Supply ya siku hio na kudetermine price ya bidhaa zao.

Pili kwasababu Mama Joy hakutaka kupoteza muda wa kukaa chini na kuuza mchele akaamua kufanya Exchange ya kilo mbili za mchele wake na nusu ya mchele wa Mama Aisha.

Tatu kabla ya kufanya biashara yao ya mabadilishano akatokea mtoza ushuru(Kwa niaba ya Serikali) akapunguza kiasi cha Mama Joy anachopata na kiasi cha Mama Aisha anachopata..

Kwahio hapa jambo la msingi utagundua kwamba soko ni sehemu iliotumika kupima Demand and Supply ili kudetermine Price ya mchele na Maharagwe , bila soko Mama Joy na Mama Aisha wasingejua thamani ya bidhaa zao.

Lakini je hii ndio stori nzima ya kujua thamani ya kitu sokoni?.

Jibu ni HAPANA kwasababu licha ya kwamba mchele umeshuka thamani kutokana na kuwa kipindi cha mavuno lakini siku nyingine ya Soko Mama Joy anaweza kukuta mchele umepanda thamani kuliko wiki iliopira, anaulizia sababu anaambiwa, usafirishaji wa mchele kuja sokoni umekuwa mgumu kutokana na hali ya hewa , Serikali imepandisha bei ya mafuta na sababu nyingine ambazo ni nje ya soko.

Hapo bwana stakehigh nimekuelezea ili uone umuhimu wa soko na ujue kwamba Soko ni kama mzani wa kujua Demand and Supply na kisha kurecommend price.

Sasa chukulia mama Joy ni mara yake kwanza kwenda sokoni na njiani hakukutana na Mama Aisha mwenye Maharagwe , kwasababu soko ni kubwa hajui wapi aende ili ampate Mama Aisha ampe Maharagwe , wakati akishangaa shangaa anakutana na Dalali(Broker), Mama Joy anamwambia Dalalali shida yake na dalali anamwelewa na anamwambia Mama Joy hali halisi ya thamani ya mchele kulinganisha na Maharagwe na Mama Joy anakubali lakini Dalali anamwambia kwamba Mtoza ushuru atakukata nusu kikombe cha mchele wako na pia na yeye atachota nusu kikombe ili kulipia muda wake na Mama Joy anakubali kupoteza kikombe kizima cha mchele kuliko kupoteza muda wa kuhangaika soko zima.

Dalali akifika kwa Mama Aisha anafanya hivyo hivyo atamwambia nimekuunganisha na mnunuzi hivyo nipe kiasi che hela au nichote nusu kikombe cha maharagwe , kumbuka muda huo Mama Aisha ashamlipa mtoza ushuru nusu kikombe hivyo kishingo upande anakubali dalali(Broker) achote nusu kikombe kwasababu ya ameunganishwa na mnunuzi. Hatimae biashara inafanyika wote wanapata faida na kujua mambo meingine

Kwa mantiki hio Broker(Dalalali) hamiliki soko bali ameamua kulitumia soko kujitengenezea faida , huyu Dalali (Broker) hafanyi hivyo kiholela yupo sokoni kutokana na kupata kibari kutoka kwa Mamlaka na kiasi anachokata kwa huduma yake ni kwa madili yote.

Ofcourse hapa utakutana na madalali ambao sio waaminifu na watatengeneza njia za kupata zaidi ya kile walichpangiwa kupata.

Sasa chukulia Broker(Dalali) anaamua kumrahisishia Mama Joy asije sokoni bali ametengeneza platiform ya kumfanya Mama Joy kuingia sokoni bila kwenda sokoni kimwili na kukata commision yake juu juu, chukulia tu kitu kama hicho ili uelewe tukiingia kwenye udalali wa soko la hela.

Sasa ukienda kwenye Real Estate Market utakutana na Dalali , ukienda kwenye Stock Market utakutana na Broker , ukienda kwenye Currency Market utakutana na Broker.

Kazi yake Broker ni kukuelezea uhalisia wa soko ulivyo na kisha kukuambia ni kiasi gani atakata kukuunganisha aidha na mnunuzi au muuzaji na dili likikamilika biashara inaisha hapo , yeye hamiliki soko wala hatengenezi soko , kazi yake ni kujipatia faida kutokana na Soko.

Sasa bwana stakehigh twende kwenye Forex Market je ni kweli kuna Forex Market?.

Jibu hapa ni NDIO , kuna Forex Market , kwanini kuna Forex Market chukulia huu mfano mwingine.

“Chukulia Juma amepata ofa ya kwenda Marekani , Ofa hio inajumuisha kuombewa Visa na gharama za nauli peke yake , vitu vingine kama maradhi na chakula atajitegemea, kwasababu Juma ndoto yake ni kwenda Marekani anavunja Kibubu na kugundua ana milioni mbili na laki tano za kitanzania . Kutokana na mahesabu yake anaona inamtosha kula bata la siku mbili Marekani na kugeuza, anaanza maandalizi ya safari lakini anagundua kwamba hawezi kutumia hela zake za kitanzania nchini Marekani kujipatia huduma hivyo anapanga kuzibadilisha ziwe Dollar ,kwasababu ni msomi anajua wapi atapata Dollar hivyo anaenda benki anaomba kupatiwa dollar , mtoa huduma anamwambia Dollar zimeisha, Juma hakati tamaa anaenda Duka la kubadilishia hela anaomba Dollar anaambiwa pia Dollar zimeisha na jibu lile linamkatisha tamaa kwasababu hizo ndio sehemu pekee ambazo alijua anaweza kupata Dollar, anajaribu kumbembeleza mtoa huduma ampatie Dollar maana anasafari lakini anamwambia Dollar zimeisha na hana , wakati akiwa amekata tamaa mtoa huduma anamwambia kuna Kuna Dalali(Broker) ambae ni wa kuaminika na anajua watu binafsi ambao wanauza Dollar kama vipi amuunganishe nao , Juma anafurahi na kukubali kuunganishwa na Broker, Baada ya kukutana na Broker Juma anaulizwa ana kiasi gani anataka kubadilisha anamwambia milioni mbili na laki tano , Broker anamuuliza tena unajua Dollar moja ni sawa na Tanzania shilingi ngapi , Juma anajibu Dola moja ni sawa na 2300TSH Dalali anamkatalia anamwambia dolla moja ni sawa na 2500TSH, Juma anaona kabisa hapa nataka kupigwa lakini Dalali anamwambia thamani ya Dollar zidi ya Tanzania shilingi imepanda angalia hili ni mfumo ambao unarekodi miamala yote ya mabadilishano ya Dollar na hela ya Kitanzania na hapa inaonyesha uhitaji wa Dollar ni mkubwa kuliko hela ya kibongo ndio maana thamani yake imetoka 2300TSH mpaka 2500 TSH, Broker anamwambia kama Haamini apige simu benki ulizia au kule dukani alikotokea , Juma anafanya hivyo na anapewa majibu hayo hayo na anakubali.

Broker anamuuliza tena Juma , unajua nakata shilingi ngapi kama nitakuunganisha na mtu anaeuza hizo Dolla, Juma anamuuliza unakata kiasi gani?, anaambiwa anakata(Transactions fee) Tsh 100 kwa kila Dolla moja hivyo atafanya mabadilishano ya Dollar moja kwa Shilingi 2600TSH , Juma yuko desparate maana ana safari hivyo anakukubali”

Sasa je katika hio Scenerio ni wapi Broker anamiliki soko?: jibu ni kwamba Broker hamiliki Soko bali yeye kazi yake ni kuomba benki au Financial Instutions kumuonyesha taarifa za Soko ili amuonyeshe mteja wake kukamilisha dili.

Kwanini aombe Benki au Financial institutions , jibu ni kwamba wale wafanyabiashara wakubwa au Investors(Big Players) wakitaka kufanya importations au exportations za bidhaa au wakitaka kufanya investiment kutoka nchi moja kwenda nyingine miamala hii hurahisishwa na benki na hizo taasisi nyingine za fedha, lakini hizi taasisi zimejiunganisha dunia nzima na kutengeza mfumo unaoitwa Forex Market kwa ajili ya kupima Demand na Supply ya hela husika na mwisho wa siku kuset exchange rates , sasa hapa kuna sababu za nje ya soko ambazo hufanya Demand kuwa kubwa kuliko supply au Demand kuwa ndogo kuliko Supply juu ya hela flani, sababu hizi ni kama vile Interest rates(Riba) , Inflations(Mfumuko wa bei), Uchumi, Export and import na mengineyo..

Kwa maana kwamba Juma hata kama taarifa zake za kubadilisha fedha zisirekodiwe hana impact kubwa sokoni kwasababu , wenye impact ni wale ambao wanahamisha kiasi kikubwa cha pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Mfano:

Chukulia una mabilioni kadhaa ya hela katika benki ya Kitanzania unataka kwenda kuzihifadhi Kenya kwasababu benki kuu ya Kenya wametangaza ongezeko la riba ambayo ni kubwa kuliko Tanzania, kitendo cha kuwasiliana na benki ya Tanzania na kuwaambia wahamishe hela zako kwenda Kenya maana yake ni kwamba benki itahitaji kuzibadilisha hela zako kwanza ziwe hela za kikenya ndio wazitume , huu muamala hufanyikia sokoni (interbank Market)na husimamiwa na mifumo ya kimalipo ya kimataifa kama SWIFT.

Sasa katika huu mfumo muamala ukifanikiwa matokeo yake upande wa Kenya Liquidity itaongezeka na upande wa Tanzania Liquidity itapungua.

Hii Liquidity itaonekana dunia nzima na ikitokea kuna investors wengine wako interested kuhifadhi hela zao Kenya Liquidity ya hela ya kikenya itaongezeka na kusababisha Exchange rates kubadilika.

Hivyo wewe mteja wa Rejareja utatumia exchange rates ambazo zinaamuliwa na Big players maana hawa ndio wanafanya Demand and supply ibadilike lakini wakati huo huo Central Bank ya Kenya imecheza nafasi kubwa hapo

Ameongeza interest rate kwa ajili ya kuimarisha sarafu yake , ameongeza interest rates kwa ajili ya kupunguza mfumuko wa bei , ameongeza interest rates kwa ajili ya kureduce Consumer spending na sababu zingine.

Tujiulize kama hakuna Forex Market nini kingetokea ?

Kwanza kabisa benki kuu za nchi zingejitengezea thamani ya hela yao wanavyotaka na hii ingepelekea biashara kuathirika mno au kutofanyika kabisa kwasababu biashara zitahangaika kuhedge zidi ya flactuations ya sarafu na kusababisha ugumu wa kufanya Cross -border Transactions na hii inapelekea hingh Volatiliy kwenye exchange rates na kupunguza liquidity kwenye Global Market.

Yapo mengi yatatokea kama kusingekuwa na soko la sarafu la Dunia ambalo huamua thamani

Kumalizia ndugu stakehigh misconception yako ipo kwa Broker na mimi nakuambia Broker hana umiliki wa soko.

Foreign exchange(forex) market ni Decentralized , kitu pekee ambacho broker anaweza fanya ni kumanipulate soko lakini halimiliki , kazi ya Broker(Dalali) ni kuunganisha muuzaji na mnunuzi , kurahisishia watu kuingia sokoni kupitia platform kama vile MT4,MT5,Ninjatrader , cTrader, Tradingview, Saxobank(SaxotraderGO) na nyingine nyingi.

Hizi platform zinapata real time data kutoka kwenye soko la sarafu la dunia , ofcorse kuna Broker wameamua kutengeneza masoko yao wenyewe mfano halisi ni soko la synthetic Binary options , lile ni soko ambalo Broker katengeneza kwa kutumia Computer kwa kuigizia soko halisi lilivyo , usifananishe soko la sythetic Binary options na Real Forex Market.

Je Central bank zinatrade currency jibu ni ndio wana trade ila sio kwa ajili ya kutengeneza faida , wanachofanya ni foreign exchange intervations kwa ajili ya kuinfluence thamani ya sarafu yao , hizi intervations zinafanyika ni aidha kwa njia ya moja kwa moja kwa kutumia tools kama vile , Spot makert intervations , Forward market intervations , Currency pegging ,Currency swapping , Floats management, Reserve management N.k

Indirect intervations kwa njia za Monetary policy , Open market operations , Communication , QE na mbinu nyingine nyingi tu.

Je Commercial bank zinafanya trading?:

Jibu ni ndio wanafanya trading kwa ajili ya malengo tofauti tofauti ikiwemo kurahisisha miamala ya wateja wao kwa kuwa mtu kati baina ya muuzaji na mnunuzi , Benki ndio Market makers kwenye forex market kwa kununua hela ikiwa katika bidding price na kuuza kwa Ask price na kufaidika na Spread ya pair ya hizo hela, Wanafanya pia kitu kinaitwa Proprieatary trading hapa wanatengeneza akaunti na kutrade kwa malengo ya kupata faida, Wanafanya risk management pia kwa njia ya kuhedge risk , Ukitaka pia kufanya forex moja kwa moja na benki bila ya kumhusisha Broker inawezekana pia , bank nyingi za kibiashara zina huduma ya kutengenezea wateja wao Forex trading account na kuwafanya waingie sokoni kama kawaida.

Mjadala ilikuwa ni kukujibu je Forex market ipo na nimekujibu hivyo naishia hapa.
 
Ni sahihi unacho sema kihusu global finance but jua no one is knowing what happens 100% hwa broka wengi huwa wanafanya link na kutuweka retailers kwenye interbank positions ni kweli hakuna biashara ya kunua fedha kma unavyo nunua bidhaa kama tunavyo elezwa ila we deals with those equivalent kwasababu zina vary ndo maana tuna chukwa one side yani pesa yenye bei nafuu tuna nunua kisha kuiuza pale bei yake inapokuwa ghali baadae ndivyo hivyo hata mabenki hufanya ili kupat faida ya mabadiliko ya rate za pesa mfano ukienda benki unataka dolla utakuta inauzwa labda 2563.44tzsh ila benkia hawaku nn kwa bei hiyo huwnda ilikuwa nafuu zaidi ya hapo na ndipo forex inapo anzia kununua na kuuza broka ni wengi sasa na wengi wanafilisika ndo naana utapeli huzidi

nikurekebishe tu hakuna RETAIL anafanya trading, when you open an account kwa broka hio ni GAMBLING account sio trading account,
1717261158277.png


1717261192356.png


kuna vitu unapaswa kuelewa, kwanza hakuna kitu kama FX MARKET hio ilizushwa na brokas kwa sababu ndo biashara yao, na pia broka ni middle men ila hawa wa forex sio middle men ni matapeli, a broker anatakiwa kua kama wale wa sock market unanunua hisa unamiliki however forex brokas wanakupa akaunti ya mkeka(PERPETUAL CONTRACTS) instead of SPOT TRADING, unapokua na MKEKA unaweza kuongeza size ya bet yako (LEVERAGE) kwa sababu there is nothing you bought its just numbers typed na hazina uhalisia

ieleweke pia hakuna uhalisia wowote wa hizi rates kwan ni FLOATING RATES, hazina uhusiano wowote na uchumi wa nchi kwa 100%, kuna vitu vinaendana ila kwa undan its all a big scam
 
stakehigh ili kujua kama kweli kuna Foreign Money Exchange Market fuatana na mimi na weka ujuaji pembeni , kubali kujifunza.

Kwanza soko ni nini?

Najua unajua maana ya soko ni sehemu watu wanaposanyika kuuza na kununua au mfumo unaowakutanisha watu kuuza na kununua , mpaka hapa najua unajua hivyo sitoenda kwa undani zaidi bali nitakuelezea ki mifano maana ya soko na umuhimu wake.

Chukulia huu mfano:

Mama Joy anaenda sokoni na kilo mbili za mchele kwa ajili ya kuziuza akiwa na malengo baada ya kupata kiasi cha pesa anunue maharagwe, lakini kabla ya kufika sokoni njiani anakutana na Mama Aisha ambae yeye amebeba Maharagwe kilo mbili pia kwa ajili ya kuuza ili anunue mchele , Mama Joy anamshauri Mama Aisha kwanini wasiende sokoni na wabadilishane bidhaa zao , wazo la Mama Joy ni zuri lakini Mama Aisha anakumbuka kipindi hicho ni cha uvunaji wa mpunga hivyo kiasi che mbele kilichopo sokoni kimeongezeka( supply imeongezeka ) na kuna uwezekano wa gharama ya mchele kushuka , lakini licha ya hivyo Mama Aisha hajui thamani halisi ya maharagwe yake kwa siku hio sokoni, hivyo anamkatalia Mama Joy wazo lake na kumwambia wafike kwanza sokoni ili wajue kilo moja ya Maharagwe inauzwa kiasi gani na ya Mchele kiasi gani , kishingo upande Mama Joy anakubali wanafika sokoni..

Wote kwa pamoja wanaulizia kilo ya mchele inauzwa kiasi gani wanaambiwa kutokana na wingi wa mchele sokoni kuliko wanunuzi(High supply), kilo ya mchele imeshuka kutoka 2000 mpaka 1000 , wanaulizia tena kilo ya Maharagwe inauzwa kiasi gani wanaambiwa kilo ya maharagwe kutokana na kuwa kidogo sokoni na wanunuzi kuwa wengi(High Demand)thamani yake imepanda kutoka 2000 thamani ya soko(Market price) wiki iliopita mpaka 4000 kwa siku hio(Real time market price).

Mama Aisha anachekelea wakati Mama Joy ananuna , lakini licha ya kununa kwake bado anahitaji maharagwe na pia licha ya Mama Aisha kuchekelea bado anahitaji mchele.

Wanarudi kwenye mazungumzo na Mama Aisha anamwambia Mama Joy yupo tayari kumpatia nusu ya Maharagwe yake achukue kilo mbili zake za mchele maana ndio thamani yake kulinganisha na maharagwe. Mama Joy anakubali kishingo upande.

Lakini kabla ya makubaliano yao kukamilika anatokea mtoza ushuru wa soko anawaambia makubaliano yao yatafanyika baada ya kulipia ushuru kama sheria ya soko, lakini kwakuwa hawana hela anawaambia atachota nusu kikombe cha mchele kutoka kwa Mama Joy na nusu kikombe cha maharagwe kutoka kwa Mama Aisha. Wote wanakubali na biashara inaishia hapo”


Unajifunza nini kupitia huo mfano:

Kwanza kabisa utagundua kwamba kabla hawajafika sokoni walikuwa wakijua thamani ya maharagwe ni sawa na thamani ya Mchele , lakini uelewa wa biashara wa Mama Aisha unamfanya kukataa, kwasababu anajua Sokoni ndio sehemu yenye mkusanyiko wa wanunuzi(Buyer) na Wauzaji(Seller) hivyo thamani ya bidhaa zao itategemeana na Demand na Supply ya siku hio na kudetermine price ya bidhaa zao.

Pili kwasababu Mama Joy hakutaka kupoteza muda wa kukaa chini na kuuza mchele akaamua kufanya Exchange ya kilo mbili za mchele wake na nusu ya mchele wa Mama Aisha.

Tatu kabla ya kufanya biashara yao ya mabadilishano akatokea mtoza ushuru(Kwa niaba ya Serikali) akapunguza kiasi cha Mama Joy anachopata na kiasi cha Mama Aisha anachopata..

Kwahio hapa jambo la msingi utagundua kwamba soko ni sehemu iliotumika kupima Demand and Supply ili kudetermine Price ya mchele na Maharagwe , bila soko Mama Joy na Mama Aisha wasingejua thamani ya bidhaa zao.

Lakini je hii ndio stori nzima ya kujua thamani ya kitu sokoni?.

Jibu ni HAPANA kwasababu licha ya kwamba mchele umeshuka thamani kutokana na kuwa kipindi cha mavuno lakini siku nyingine ya Soko Mama Joy anaweza kukuta mchele umepanda thamani kuliko wiki iliopira, anaulizia sababu anaambiwa, usafirishaji wa mchele kuja sokoni umekuwa mgumu kutokana na hali ya hewa , Serikali imepandisha bei ya mafuta na sababu nyingine ambazo ni nje ya soko.

Hapo bwana stakehigh nimekuelezea ili uone umuhimu wa soko na ujue kwamba Soko ni kama mzani wa kujua Demand and Supply na kisha kurecommend price.

Sasa chukulia mama Joy ni mara yake kwanza kwenda sokoni na njiani hakukutana na Mama Aisha mwenye Maharagwe , kwasababu soko ni kubwa hajui wapi aende ili ampate Mama Aisha ampe Maharagwe , wakati akishangaa shangaa anakutana na Dalali(Broker), Mama Joy anamwambia Dalalali shida yake na dalali anamwelewa na anamwambia Mama Joy hali halisi ya thamani ya mchele kulinganisha na Maharagwe na Mama Joy anakubali lakini Dalali anamwambia kwamba Mtoza ushuru atakukata nusu kikombe cha mchele wako na pia na yeye atachota nusu kikombe ili kulipia muda wake na Mama Joy anakubali kupoteza kikombe kizima cha mchele kuliko kupoteza muda wa kuhangaika soko zima.

Dalali akifika kwa Mama Aisha anafanya hivyo hivyo atamwambia nimekuunganisha na mnunuzi hivyo nipe kiasi che hela au nichote nusu kikombe cha maharagwe , kumbuka muda huo Mama Aisha ashamlipa mtoza ushuru nusu kikombe hivyo kishingo upande anakubali dalali(Broker) achote nusu kikombe kwasababu ya ameunganishwa na mnunuzi. Hatimae biashara inafanyika wote wanapata faida na kujua mambo meingine

Kwa mantiki hio Broker(Dalalali) hamiliki soko bali ameamua kulitumia soko kujitengenezea faida , huyu Dalali (Broker) hafanyi hivyo kiholela yupo sokoni kutokana na kupata kibari kutoka kwa Mamlaka na kiasi anachokata kwa huduma yake ni kwa madili yote.

Ofcourse hapa utakutana na madalali ambao sio waaminifu na watatengeneza njia za kupata zaidi ya kile walichpangiwa kupata.

Sasa chukulia Broker(Dalali) anaamua kumrahisishia Mama Joy asije sokoni bali ametengeneza platiform ya kumfanya Mama Joy kuingia sokoni bila kwenda sokoni kimwili na kukata commision yake juu juu, chukulia tu kitu kama hicho ili uelewe tukiingia kwenye udalali wa soko la hela.

Sasa ukienda kwenye Real Estate Market utakutana na Dalali , ukienda kwenye Stock Market utakutana na Broker , ukienda kwenye Currency Market utakutana na Broker.

Kazi yake Broker ni kukuelezea uhalisia wa soko ulivyo na kisha kukuambia ni kiasi gani atakata kukuunganisha aidha na mnunuzi au muuzaji na dili likikamilika biashara inaisha hapo , yeye hamiliki soko wala hatengenezi soko , kazi yake ni kujipatia faida kutokana na Soko.

Sasa bwana stakehigh twende kwenye Forex Market je ni kweli kuna Forex Market?.

Jibu hapa ni NDIO , kuna Forex Market , kwanini kuna Forex Market chukulia huu mfano mwingine.

“Chukulia Juma amepata ofa ya kwenda Marekani , Ofa hio inajumuisha kuombewa Visa na gharama za nauli peke yake , vitu vingine kama maradhi na chakula atajitegemea, kwasababu Juma ndoto yake ni kwenda Marekani anavunja Kibubu na kugundua ana milioni mbili na laki tano za kitanzania . Kutokana na mahesabu yake anaona inamtosha kula bata la siku mbili Marekani na kugeuza, anaanza maandalizi ya safari lakini anagundua kwamba hawezi kutumia hela zake za kitanzania nchini Marekani kujipatia huduma hivyo anapanga kuzibadilisha ziwe Dollar ,kwasababu ni msomi anajua wapi atapata Dollar hivyo anaenda benki anaomba kupatiwa dollar , mtoa huduma anamwambia Dollar zimeisha, Juma hakati tamaa anaenda Duka la kubadilishia hela anaomba Dollar anaambiwa pia Dollar zimeisha na jibu lile linamkatisha tamaa kwasababu hizo ndio sehemu pekee ambazo alijua anaweza kupata Dollar, anajaribu kumbembeleza mtoa huduma ampatie Dollar maana anasafari lakini anamwambia Dollar zimeisha na hana , wakati akiwa amekata tamaa mtoa huduma anamwambia kuna Kuna Dalali(Broker) ambae ni wa kuaminika na anajua watu binafsi ambao wanauza Dollar kama vipi amuunganishe nao , Juma anafurahi na kukubali kuunganishwa na Broker, Baada ya kukutana na Broker Juma anaulizwa ana kiasi gani anataka kubadilisha anamwambia milioni mbili na laki tano , Broker anamuuliza tena unajua Dollar moja ni sawa na Tanzania shilingi ngapi , Juma anajibu Dola moja ni sawa na 2300TSH Dalali anamkatalia anamwambia dolla moja ni sawa na 2500TSH, Juma anaona kabisa hapa nataka kupigwa lakini Dalali anamwambia thamani ya Dollar zidi ya Tanzania shilingi imepanda angalia hili ni mfumo ambao unarekodi miamala yote ya mabadilishano ya Dollar na hela ya Kitanzania na hapa inaonyesha uhitaji wa Dollar ni mkubwa kuliko hela ya kibongo ndio maana thamani yake imetoka 2300TSH mpaka 2500 TSH, Broker anamwambia kama Haamini apige simu benki ulizia au kule dukani alikotokea , Juma anafanya hivyo na anapewa majibu hayo hayo na anakubali.

Broker anamuuliza tena Juma , unajua nakata shilingi ngapi kama nitakuunganisha na mtu anaeuza hizo Dolla, Juma anamuuliza unakata kiasi gani?, anaambiwa anakata(Transactions fee) Tsh 100 kwa kila Dolla moja hivyo atafanya mabadilishano ya Dollar moja kwa Shilingi 2600TSH , Juma yuko desparate maana ana safari hivyo anakukubali”

Sasa je katika hio Scenerio ni wapi Broker anamiliki soko?: jibu ni kwamba Broker hamiliki Soko bali yeye kazi yake ni kuomba benki au Financial Instutions kumuonyesha taarifa za Soko ili amuonyeshe mteja wake kukamilisha dili.

Kwanini aombe Benki au Financial institutions , jibu ni kwamba wale wafanyabiashara wakubwa au Investors(Big Players) wakitaka kufanya importations au exportations za bidhaa au wakitaka kufanya investiment kutoka nchi moja kwenda nyingine miamala hii hurahisishwa na benki na hizo taasisi nyingine za fedha, lakini hizi taasisi zimejiunganisha dunia nzima na kutengeza mfumo unaoitwa Forex Market kwa ajili ya kupima Demand na Supply ya hela husika na mwisho wa siku kuset exchange rates , sasa hapa kuna sababu za nje ya soko ambazo hufanya Demand kuwa kubwa kuliko supply au Demand kuwa ndogo kuliko Supply juu ya hela flani, sababu hizi ni kama vile Interest rates(Riba) , Inflations(Mfumuko wa bei), Uchumi, Export and import na mengineyo..

Kwa maana kwamba Juma hata kama taarifa zake za kubadilisha fedha zisirekodiwe hana impact kubwa sokoni kwasababu , wenye impact ni wale ambao wanahamisha kiasi kikubwa cha pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Mfano:

Chukulia una mabilioni kadhaa ya hela katika benki ya Kitanzania unataka kwenda kuzihifadhi Kenya kwasababu benki kuu ya Kenya wametangaza ongezeko la riba ambayo ni kubwa kuliko Tanzania, kitendo cha kuwasiliana na benki ya Tanzania na kuwaambia wahamishe hela zako kwenda Kenya maana yake ni kwamba benki itahitaji kuzibadilisha hela zako kwanza ziwe hela za kikenya ndio wazitume , huu muamala hufanyikia sokoni (interbank Market)na husimamiwa na mifumo ya kimalipo ya kimataifa kama SWIFT.

Sasa katika huu mfumo muamala ukifanikiwa matokeo yake upande wa Kenya Liquidity itaongezeka na upande wa Tanzania Liquidity itapungua.

Hii Liquidity itaonekana dunia nzima na ikitokea kuna investors wengine wako interested kuhifadhi hela zao Kenya Liquidity ya hela ya kikenya itaongezeka na kusababisha Exchange rates kubadilika.

Hivyo wewe mteja wa Rejareja utatumia exchange rates ambazo zinaamuliwa na Big players maana hawa ndio wanafanya Demand and supply ibadilike lakini wakati huo huo Central Bank ya Kenya imecheza nafasi kubwa hapo

Ameongeza interest rate kwa ajili ya kuimarisha sarafu yake , ameongeza interest rates kwa ajili ya kupunguza mfumuko wa bei , ameongeza interest rates kwa ajili ya kureduce Consumer spending na sababu zingine.

Tujiulize kama hakuna Forex Market nini kingetokea ?

Kwanza kabisa benki kuu za nchi zingejitengezea thamani ya hela yao wanavyotaka na hii ingepelekea biashara kuathirika mno au kutofanyika kabisa kwasababu biashara zitahangaika kuhedge zidi ya flactuations ya sarafu na kusababisha ugumu wa kufanya Cross -border Transactions na hii inapelekea hingh Volatiliy kwenye exchange rates na kupunguza liquidity kwenye Global Market.

Yapo mengi yatatokea kama kusingekuwa na soko la sarafu la Dunia ambalo huamua thamani

Kumalizia ndugu stakehigh misconception yako ipo kwa Broker na mimi nakuambia Broker hana umiliki wa soko.

Foreign exchange(forex) market ni Decentralized , kitu pekee ambacho broker anaweza fanya ni kumanipulate soko lakini halimiliki , kazi ya Broker(Dalali) ni kuunganisha muuzaji na mnunuzi , kurahisishia watu kuingia sokoni kupitia platform kama vile MT4,MT5,Ninjatrader , cTrader, Tradingview, Saxobank(SaxotraderGO) na nyingine nyingi.

Hizi platform zinapata real time data kutoka kwenye soko la sarafu la dunia , ofcorse kuna Broker wameamua kutengeneza masoko yao wenyewe mfano halisi ni soko la synthetic Binary options , lile ni soko ambalo Broker katengeneza kwa kutumia Computer kwa kuigizia soko halisi lilivyo , usifananishe soko la sythetic Binary options na Real Forex Market.

Je Central bank zinatrade currency jibu ni ndio wana trade ila sio kwa ajili ya kutengeneza faida , wanachofanya ni foreign exchange intervations kwa ajili ya kuinfluence thamani ya sarafu yao , hizi intervations zinafanyika ni aidha kwa njia ya moja kwa moja kwa kutumia tools kama vile , Spot makert intervations , Forward market intervations , Currency pegging ,Currency swapping , Floats management, Reserve management N.k

Indirect intervations kwa njia za Monetary policy , Open market operations , Communication , QE na mbinu nyingine nyingi tu.

Je Commercial bank zinafanya trading?:

Jibu ni ndio wanafanya trading kwa ajili ya malengo tofauti tofauti ikiwemo kurahisisha miamala ya wateja wao kwa kuwa mtu kati baina ya muuzaji na mnunuzi , Benki ndio Market makers kwenye forex market kwa kununua hela ikiwa katika bidding price na kuuza kwa Ask price na kufaidika na Spread ya pair ya hizo hela, Wanafanya pia kitu kinaitwa Proprieatary trading hapa wanatengeneza akaunti na kutrade kwa malengo ya kupata faida, Wanafanya risk management pia kwa njia ya kuhedge risk , Ukitaka pia kufanya forex moja kwa moja na benki bila ya kumhusisha Broker inawezekana pia , bank nyingi za kibiashara zina huduma ya kutengenezea wateja wao Forex trading account na kuwafanya waingie sokoni kama kawaida.

Mjadala ilikuwa ni kukujibu je Forex market ipo na nimekujibu hivyo naishia hapa.

umepoteza tu mda kuandika haya yote, ni ni yale yale! nadhan uko junior bado kwenye hizi financial markets na huna uelewa kabisa jinsi mambo yanaenda, hivo basi sio wewe peke yako ambae hizi taarifa huna wengi wanaofanya mt4/5 hua wanaona kama wanaijua forex but ukwel ni kwamba hawaijui forex na huo ni mtaji mzuri sana kwa wafanya biashara(broka)

- sina mengi sana ya kukuelezea ila everything umeelezea ni wrong
 
stakehigh ili kujua kama kweli kuna Foreign Money Exchange Market fuatana na mimi na weka ujuaji pembeni , kubali kujifunza.

Kwanza soko ni nini?

Najua unajua maana ya soko ni sehemu watu wanaposanyika kuuza na kununua au mfumo unaowakutanisha watu kuuza na kununua , mpaka hapa najua unajua hivyo sitoenda kwa undani zaidi bali nitakuelezea ki mifano maana ya soko na umuhimu wake.

Chukulia huu mfano:

Mama Joy anaenda sokoni na kilo mbili za mchele kwa ajili ya kuziuza akiwa na malengo baada ya kupata kiasi cha pesa anunue maharagwe, lakini kabla ya kufika sokoni njiani anakutana na Mama Aisha ambae yeye amebeba Maharagwe kilo mbili pia kwa ajili ya kuuza ili anunue mchele , Mama Joy anamshauri Mama Aisha kwanini wasiende sokoni na wabadilishane bidhaa zao , wazo la Mama Joy ni zuri lakini Mama Aisha anakumbuka kipindi hicho ni cha uvunaji wa mpunga hivyo kiasi che mbele kilichopo sokoni kimeongezeka( supply imeongezeka ) na kuna uwezekano wa gharama ya mchele kushuka , lakini licha ya hivyo Mama Aisha hajui thamani halisi ya maharagwe yake kwa siku hio sokoni, hivyo anamkatalia Mama Joy wazo lake na kumwambia wafike kwanza sokoni ili wajue kilo moja ya Maharagwe inauzwa kiasi gani na ya Mchele kiasi gani , kishingo upande Mama Joy anakubali wanafika sokoni..

Wote kwa pamoja wanaulizia kilo ya mchele inauzwa kiasi gani wanaambiwa kutokana na wingi wa mchele sokoni kuliko wanunuzi(High supply), kilo ya mchele imeshuka kutoka 2000 mpaka 1000 , wanaulizia tena kilo ya Maharagwe inauzwa kiasi gani wanaambiwa kilo ya maharagwe kutokana na kuwa kidogo sokoni na wanunuzi kuwa wengi(High Demand)thamani yake imepanda kutoka 2000 thamani ya soko(Market price) wiki iliopita mpaka 4000 kwa siku hio(Real time market price).

Mama Aisha anachekelea wakati Mama Joy ananuna , lakini licha ya kununa kwake bado anahitaji maharagwe na pia licha ya Mama Aisha kuchekelea bado anahitaji mchele.

Wanarudi kwenye mazungumzo na Mama Aisha anamwambia Mama Joy yupo tayari kumpatia nusu ya Maharagwe yake achukue kilo mbili zake za mchele maana ndio thamani yake kulinganisha na maharagwe. Mama Joy anakubali kishingo upande.

Lakini kabla ya makubaliano yao kukamilika anatokea mtoza ushuru wa soko anawaambia makubaliano yao yatafanyika baada ya kulipia ushuru kama sheria ya soko, lakini kwakuwa hawana hela anawaambia atachota nusu kikombe cha mchele kutoka kwa Mama Joy na nusu kikombe cha maharagwe kutoka kwa Mama Aisha. Wote wanakubali na biashara inaishia hapo”


Unajifunza nini kupitia huo mfano:

Kwanza kabisa utagundua kwamba kabla hawajafika sokoni walikuwa wakijua thamani ya maharagwe ni sawa na thamani ya Mchele , lakini uelewa wa biashara wa Mama Aisha unamfanya kukataa, kwasababu anajua Sokoni ndio sehemu yenye mkusanyiko wa wanunuzi(Buyer) na Wauzaji(Seller) hivyo thamani ya bidhaa zao itategemeana na Demand na Supply ya siku hio na kudetermine price ya bidhaa zao.

Pili kwasababu Mama Joy hakutaka kupoteza muda wa kukaa chini na kuuza mchele akaamua kufanya Exchange ya kilo mbili za mchele wake na nusu ya mchele wa Mama Aisha.

Tatu kabla ya kufanya biashara yao ya mabadilishano akatokea mtoza ushuru(Kwa niaba ya Serikali) akapunguza kiasi cha Mama Joy anachopata na kiasi cha Mama Aisha anachopata..

Kwahio hapa jambo la msingi utagundua kwamba soko ni sehemu iliotumika kupima Demand and Supply ili kudetermine Price ya mchele na Maharagwe , bila soko Mama Joy na Mama Aisha wasingejua thamani ya bidhaa zao.

Lakini je hii ndio stori nzima ya kujua thamani ya kitu sokoni?.

Jibu ni HAPANA kwasababu licha ya kwamba mchele umeshuka thamani kutokana na kuwa kipindi cha mavuno lakini siku nyingine ya Soko Mama Joy anaweza kukuta mchele umepanda thamani kuliko wiki iliopira, anaulizia sababu anaambiwa, usafirishaji wa mchele kuja sokoni umekuwa mgumu kutokana na hali ya hewa , Serikali imepandisha bei ya mafuta na sababu nyingine ambazo ni nje ya soko.

Hapo bwana stakehigh nimekuelezea ili uone umuhimu wa soko na ujue kwamba Soko ni kama mzani wa kujua Demand and Supply na kisha kurecommend price.

Sasa chukulia mama Joy ni mara yake kwanza kwenda sokoni na njiani hakukutana na Mama Aisha mwenye Maharagwe , kwasababu soko ni kubwa hajui wapi aende ili ampate Mama Aisha ampe Maharagwe , wakati akishangaa shangaa anakutana na Dalali(Broker), Mama Joy anamwambia Dalalali shida yake na dalali anamwelewa na anamwambia Mama Joy hali halisi ya thamani ya mchele kulinganisha na Maharagwe na Mama Joy anakubali lakini Dalali anamwambia kwamba Mtoza ushuru atakukata nusu kikombe cha mchele wako na pia na yeye atachota nusu kikombe ili kulipia muda wake na Mama Joy anakubali kupoteza kikombe kizima cha mchele kuliko kupoteza muda wa kuhangaika soko zima.

Dalali akifika kwa Mama Aisha anafanya hivyo hivyo atamwambia nimekuunganisha na mnunuzi hivyo nipe kiasi che hela au nichote nusu kikombe cha maharagwe , kumbuka muda huo Mama Aisha ashamlipa mtoza ushuru nusu kikombe hivyo kishingo upande anakubali dalali(Broker) achote nusu kikombe kwasababu ya ameunganishwa na mnunuzi. Hatimae biashara inafanyika wote wanapata faida na kujua mambo meingine

Kwa mantiki hio Broker(Dalalali) hamiliki soko bali ameamua kulitumia soko kujitengenezea faida , huyu Dalali (Broker) hafanyi hivyo kiholela yupo sokoni kutokana na kupata kibari kutoka kwa Mamlaka na kiasi anachokata kwa huduma yake ni kwa madili yote.

Ofcourse hapa utakutana na madalali ambao sio waaminifu na watatengeneza njia za kupata zaidi ya kile walichpangiwa kupata.

Sasa chukulia Broker(Dalali) anaamua kumrahisishia Mama Joy asije sokoni bali ametengeneza platiform ya kumfanya Mama Joy kuingia sokoni bila kwenda sokoni kimwili na kukata commision yake juu juu, chukulia tu kitu kama hicho ili uelewe tukiingia kwenye udalali wa soko la hela.

Sasa ukienda kwenye Real Estate Market utakutana na Dalali , ukienda kwenye Stock Market utakutana na Broker , ukienda kwenye Currency Market utakutana na Broker.

Kazi yake Broker ni kukuelezea uhalisia wa soko ulivyo na kisha kukuambia ni kiasi gani atakata kukuunganisha aidha na mnunuzi au muuzaji na dili likikamilika biashara inaisha hapo , yeye hamiliki soko wala hatengenezi soko , kazi yake ni kujipatia faida kutokana na Soko.

Sasa bwana stakehigh twende kwenye Forex Market je ni kweli kuna Forex Market?.

Jibu hapa ni NDIO , kuna Forex Market , kwanini kuna Forex Market chukulia huu mfano mwingine.

“Chukulia Juma amepata ofa ya kwenda Marekani , Ofa hio inajumuisha kuombewa Visa na gharama za nauli peke yake , vitu vingine kama maradhi na chakula atajitegemea, kwasababu Juma ndoto yake ni kwenda Marekani anavunja Kibubu na kugundua ana milioni mbili na laki tano za kitanzania . Kutokana na mahesabu yake anaona inamtosha kula bata la siku mbili Marekani na kugeuza, anaanza maandalizi ya safari lakini anagundua kwamba hawezi kutumia hela zake za kitanzania nchini Marekani kujipatia huduma hivyo anapanga kuzibadilisha ziwe Dollar ,kwasababu ni msomi anajua wapi atapata Dollar hivyo anaenda benki anaomba kupatiwa dollar , mtoa huduma anamwambia Dollar zimeisha, Juma hakati tamaa anaenda Duka la kubadilishia hela anaomba Dollar anaambiwa pia Dollar zimeisha na jibu lile linamkatisha tamaa kwasababu hizo ndio sehemu pekee ambazo alijua anaweza kupata Dollar, anajaribu kumbembeleza mtoa huduma ampatie Dollar maana anasafari lakini anamwambia Dollar zimeisha na hana , wakati akiwa amekata tamaa mtoa huduma anamwambia kuna Kuna Dalali(Broker) ambae ni wa kuaminika na anajua watu binafsi ambao wanauza Dollar kama vipi amuunganishe nao , Juma anafurahi na kukubali kuunganishwa na Broker, Baada ya kukutana na Broker Juma anaulizwa ana kiasi gani anataka kubadilisha anamwambia milioni mbili na laki tano , Broker anamuuliza tena unajua Dollar moja ni sawa na Tanzania shilingi ngapi , Juma anajibu Dola moja ni sawa na 2300TSH Dalali anamkatalia anamwambia dolla moja ni sawa na 2500TSH, Juma anaona kabisa hapa nataka kupigwa lakini Dalali anamwambia thamani ya Dollar zidi ya Tanzania shilingi imepanda angalia hili ni mfumo ambao unarekodi miamala yote ya mabadilishano ya Dollar na hela ya Kitanzania na hapa inaonyesha uhitaji wa Dollar ni mkubwa kuliko hela ya kibongo ndio maana thamani yake imetoka 2300TSH mpaka 2500 TSH, Broker anamwambia kama Haamini apige simu benki ulizia au kule dukani alikotokea , Juma anafanya hivyo na anapewa majibu hayo hayo na anakubali.

Broker anamuuliza tena Juma , unajua nakata shilingi ngapi kama nitakuunganisha na mtu anaeuza hizo Dolla, Juma anamuuliza unakata kiasi gani?, anaambiwa anakata(Transactions fee) Tsh 100 kwa kila Dolla moja hivyo atafanya mabadilishano ya Dollar moja kwa Shilingi 2600TSH , Juma yuko desparate maana ana safari hivyo anakukubali”

Sasa je katika hio Scenerio ni wapi Broker anamiliki soko?: jibu ni kwamba Broker hamiliki Soko bali yeye kazi yake ni kuomba benki au Financial Instutions kumuonyesha taarifa za Soko ili amuonyeshe mteja wake kukamilisha dili.

Kwanini aombe Benki au Financial institutions , jibu ni kwamba wale wafanyabiashara wakubwa au Investors(Big Players) wakitaka kufanya importations au exportations za bidhaa au wakitaka kufanya investiment kutoka nchi moja kwenda nyingine miamala hii hurahisishwa na benki na hizo taasisi nyingine za fedha, lakini hizi taasisi zimejiunganisha dunia nzima na kutengeza mfumo unaoitwa Forex Market kwa ajili ya kupima Demand na Supply ya hela husika na mwisho wa siku kuset exchange rates , sasa hapa kuna sababu za nje ya soko ambazo hufanya Demand kuwa kubwa kuliko supply au Demand kuwa ndogo kuliko Supply juu ya hela flani, sababu hizi ni kama vile Interest rates(Riba) , Inflations(Mfumuko wa bei), Uchumi, Export and import na mengineyo..

Kwa maana kwamba Juma hata kama taarifa zake za kubadilisha fedha zisirekodiwe hana impact kubwa sokoni kwasababu , wenye impact ni wale ambao wanahamisha kiasi kikubwa cha pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Mfano:

Chukulia una mabilioni kadhaa ya hela katika benki ya Kitanzania unataka kwenda kuzihifadhi Kenya kwasababu benki kuu ya Kenya wametangaza ongezeko la riba ambayo ni kubwa kuliko Tanzania, kitendo cha kuwasiliana na benki ya Tanzania na kuwaambia wahamishe hela zako kwenda Kenya maana yake ni kwamba benki itahitaji kuzibadilisha hela zako kwanza ziwe hela za kikenya ndio wazitume , huu muamala hufanyikia sokoni (interbank Market)na husimamiwa na mifumo ya kimalipo ya kimataifa kama SWIFT.

Sasa katika huu mfumo muamala ukifanikiwa matokeo yake upande wa Kenya Liquidity itaongezeka na upande wa Tanzania Liquidity itapungua.

Hii Liquidity itaonekana dunia nzima na ikitokea kuna investors wengine wako interested kuhifadhi hela zao Kenya Liquidity ya hela ya kikenya itaongezeka na kusababisha Exchange rates kubadilika.

Hivyo wewe mteja wa Rejareja utatumia exchange rates ambazo zinaamuliwa na Big players maana hawa ndio wanafanya Demand and supply ibadilike lakini wakati huo huo Central Bank ya Kenya imecheza nafasi kubwa hapo

Ameongeza interest rate kwa ajili ya kuimarisha sarafu yake , ameongeza interest rates kwa ajili ya kupunguza mfumuko wa bei , ameongeza interest rates kwa ajili ya kureduce Consumer spending na sababu zingine.

Tujiulize kama hakuna Forex Market nini kingetokea ?

Kwanza kabisa benki kuu za nchi zingejitengezea thamani ya hela yao wanavyotaka na hii ingepelekea biashara kuathirika mno au kutofanyika kabisa kwasababu biashara zitahangaika kuhedge zidi ya flactuations ya sarafu na kusababisha ugumu wa kufanya Cross -border Transactions na hii inapelekea hingh Volatiliy kwenye exchange rates na kupunguza liquidity kwenye Global Market.

Yapo mengi yatatokea kama kusingekuwa na soko la sarafu la Dunia ambalo huamua thamani

Kumalizia ndugu stakehigh misconception yako ipo kwa Broker na mimi nakuambia Broker hana umiliki wa soko.

Foreign exchange(forex) market ni Decentralized , kitu pekee ambacho broker anaweza fanya ni kumanipulate soko lakini halimiliki , kazi ya Broker(Dalali) ni kuunganisha muuzaji na mnunuzi , kurahisishia watu kuingia sokoni kupitia platform kama vile MT4,MT5,Ninjatrader , cTrader, Tradingview, Saxobank(SaxotraderGO) na nyingine nyingi.

Hizi platform zinapata real time data kutoka kwenye soko la sarafu la dunia , ofcorse kuna Broker wameamua kutengeneza masoko yao wenyewe mfano halisi ni soko la synthetic Binary options , lile ni soko ambalo Broker katengeneza kwa kutumia Computer kwa kuigizia soko halisi lilivyo , usifananishe soko la sythetic Binary options na Real Forex Market.

Je Central bank zinatrade currency jibu ni ndio wana trade ila sio kwa ajili ya kutengeneza faida , wanachofanya ni foreign exchange intervations kwa ajili ya kuinfluence thamani ya sarafu yao , hizi intervations zinafanyika ni aidha kwa njia ya moja kwa moja kwa kutumia tools kama vile , Spot makert intervations , Forward market intervations , Currency pegging ,Currency swapping , Floats management, Reserve management N.k

Indirect intervations kwa njia za Monetary policy , Open market operations , Communication , QE na mbinu nyingine nyingi tu.

Je Commercial bank zinafanya trading?:

Jibu ni ndio wanafanya trading kwa ajili ya malengo tofauti tofauti ikiwemo kurahisisha miamala ya wateja wao kwa kuwa mtu kati baina ya muuzaji na mnunuzi , Benki ndio Market makers kwenye forex market kwa kununua hela ikiwa katika bidding price na kuuza kwa Ask price na kufaidika na Spread ya pair ya hizo hela, Wanafanya pia kitu kinaitwa Proprieatary trading hapa wanatengeneza akaunti na kutrade kwa malengo ya kupata faida, Wanafanya risk management pia kwa njia ya kuhedge risk , Ukitaka pia kufanya forex moja kwa moja na benki bila ya kumhusisha Broker inawezekana pia , bank nyingi za kibiashara zina huduma ya kutengenezea wateja wao Forex trading account na kuwafanya waingie sokoni kama kawaida.

Mjadala ilikuwa ni kukujibu je Forex market ipo na nimekujibu hivyo naishia hapa.
pia hizi ztakusaidia
1717261921056.png
 
umepoteza tu mda kuandika haya yote, ni ni yale yale! nadhan uko junior bado kwenye hizi financial markets na huna uelewa kabisa jinsi mambo yanaenda, hivo basi sio wewe peke yako ambae hizi taarifa huna wengi wanaofanya mt4/5 hua wanaona kama wanaijua forex but ukwel ni kwamba hawaijui forex na huo ni mtaji mzuri sana kwa wafanya biashara(broka)

- sina mengi sana ya kukuelezea ila everything umeelezea ni wrong
Wala usiwaze watu wa aina yako ambao kwenu ubishi ni Imani nawajua , huna utofauti na wale wanao amini Dunia ipo Flat.
Ulivyo mjinga unaamini uwepo wa financial markets lakini huamini uwepo wa Forex Market , Ulivyo mjinga unaamini MT4/5 ni Forex Market badala ya kujua kwamba hizo ni platforms tu za kukurahisishia kuona mwenendo wa Stock katika soko la.dunia , Cryptocurrencies katika soko la dunia na Currencies katika soko la.Dunia , Ulivyo mjinga unaamini ukichukua milioni moja ya Kitanzania ukaanza kuibadilisha kwenda pesa za kigeni halafu ukairudisha kwenye TSH utapata milioni moja ileile [emoji1787].

Ulivyo mjinga unashindwa kutofautisha kati ya gambling na Trading
Una ujinga mwingi mkuu nashindwa kuu upinpoint wote
Inashangaza sana pale Corporate stock analyst anaefanya kazi bank anapingwa na stakehigh na Mwalimu wa Shule ya Sekondari Bunda vijini
 
Wala usiwaze watu wa aina yako ambao kwenu ubishi ni Imani nawajua , huna utofauti na wale wanao amini Dunia ipo Flat.
Ulivyo mjinga unaamini uwepo wa financial markets lakini huamini uwepo wa Forex Market , Ulivyo mjinga unaamini MT4/5 ni Forex Market badala ya kujua kwamba hizo ni platforms tu za kukurahisishia kuona mwenendo wa Stock katika soko la.dunia , Cryptocurrencies katika soko la dunia na Currencies katika soko la.Dunia , Ulivyo mjinga unaamini ukichukua milioni moja ya Kitanzania ukaanza kuibadilisha kwenda pesa za kigeni halafu ukairudisha kwenye TSH utapata milioni moja ileile [emoji1787].

Ulivyo mjinga unashindwa kutofautisha kati ya gambling na Trading
Una ujinga mwingi mkuu nashindwa kuu upinpoint wote
Inashangaza sana pale Corporate stock analyst anaefanya kazi bank anapingwa na stakehigh na Mwalimu wa Shule ya Sekondari Bunda vijini

amna kitu kibovu kama kua mjinga alafu uko confident, vp na google apa ni wajinga?
1717264831157.png
 
Back
Top Bottom