Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Ni dhahiri sasa mama kaamua kufanya na kudhihirisha ubora wake, japo kuwa baadhi ya watendaji wake hawaendi kama anavyotaka yeye, na wao bila ya mijeredi na kushurutishwa, hawafanyi kazi kabisaa zaidi ya mapambio tu
Ukiachia mbali mapungufu machache kwake, Ndani ya sakafu ya moyo wa SSH, kuna matunda mazuri juu ya nchi yetu, shida ni waliomzunguka, na kwa bahati sasa amekwisha wafahamu vema, hawampi shida
Mh.Rais, apongezwe kwa kuwatema kina Nape na Makamba na sasa Makamu mwenyekiti wake kumruhusu ajihudhuru, ni jambo la kupongezwa sana
Makamu mwenyekiti wake bwana Kinana, ndiye mwalimu wa vijana hao amba Rais kawatema kwenye baraza lake, nasema Rais apongezwe kwa sababu, Kinana hakupaswa ajihudhuru nafasi yake mapema kiasi hiki baada tu ya vijana wake kutumbuliwa, alipaswa ajipe muda kwanza ili kujenga utulivu kidogo ndani ya chama, na kwa sababu hakufanya hivyo, hata yeye Kinana, kwa watu tuliosoma Cuba, tunapata jibu moja kwamba, ameomba kujiondoa kwenye nafasi hiyo ndani yake kukiwa na hway nyingi, kwa sababu vijana wake kuondolewa kwenye nyadhifa zao,
Na kwa tarifa tu ni kwamba, timu hiyo ya watu watatu, haijawahi kuaminiwa na watanzania hata chembe, maana wana makando kando mengi kiasi cha kutia kichefuchefu
Na kwa kuwza sasa Rais ameonyesha kutaka kufanya mambo kizalendo na kwa haki huku akiutanguliza Utabzanzania mbele, Tunamsihi sasa amuunge mkono na mh Mpina katika kutetea watanzani kwenye mambo ya ufisadi
Mungu ibariki TANZANIA
Ukiachia mbali mapungufu machache kwake, Ndani ya sakafu ya moyo wa SSH, kuna matunda mazuri juu ya nchi yetu, shida ni waliomzunguka, na kwa bahati sasa amekwisha wafahamu vema, hawampi shida
Mh.Rais, apongezwe kwa kuwatema kina Nape na Makamba na sasa Makamu mwenyekiti wake kumruhusu ajihudhuru, ni jambo la kupongezwa sana
Makamu mwenyekiti wake bwana Kinana, ndiye mwalimu wa vijana hao amba Rais kawatema kwenye baraza lake, nasema Rais apongezwe kwa sababu, Kinana hakupaswa ajihudhuru nafasi yake mapema kiasi hiki baada tu ya vijana wake kutumbuliwa, alipaswa ajipe muda kwanza ili kujenga utulivu kidogo ndani ya chama, na kwa sababu hakufanya hivyo, hata yeye Kinana, kwa watu tuliosoma Cuba, tunapata jibu moja kwamba, ameomba kujiondoa kwenye nafasi hiyo ndani yake kukiwa na hway nyingi, kwa sababu vijana wake kuondolewa kwenye nyadhifa zao,
Na kwa tarifa tu ni kwamba, timu hiyo ya watu watatu, haijawahi kuaminiwa na watanzania hata chembe, maana wana makando kando mengi kiasi cha kutia kichefuchefu
Na kwa kuwza sasa Rais ameonyesha kutaka kufanya mambo kizalendo na kwa haki huku akiutanguliza Utabzanzania mbele, Tunamsihi sasa amuunge mkono na mh Mpina katika kutetea watanzani kwenye mambo ya ufisadi
Mungu ibariki TANZANIA