Rasmi sasa Yanga waianza safari ya Mwakarobo waliyokuwa wanaibeza

Rasmi sasa Yanga waianza safari ya Mwakarobo waliyokuwa wanaibeza

Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Hahahahahaha....wanaficha aibu ya kupigwa nje ndani pekee yao ktk robo fainali..
Umbumbumbu Upo na Mbumbumbu Wapo
 
Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Umetolewaa, em toa hasira zako hapa, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mamaaaaae zao, dhambi ya Usaliti itawatafuna maisha yao yote. Wameisaliti sana Simba hadi hao Orlando Pirate wameweka wazi kwamba wakiwa Tanzania Utopolo waliwapa sapoti zote.
Hii ni Karma kwa kumuuza ndugu yake kwa Adui.

Waendelee kutumia pesa za kodi yetu kipuuuzi tu na kura 2025 hatuwapi.
Misri vipi?
 
Pamoja na mbwembwe zote Yanga inapiga mpira ila imeishia robo fainali Champion League[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Utopolo naye ni mwakarobo?
Mnqjifariji?

Misri vipi?
 
Nasikia Wanaye Mwanasheria, hivi Lile goli hawezi kukata rufaa kweli....!

Liwe goli au mechi irudiwe?
 
Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Sawa tu , lakin ndo ivo mmekufa kiume
 
Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Maneno yote hayo unayamwaga baada ya kuishia robo fainali
Hii ndio klabu bingwa karibuni sana mjaribu mwakani kama hamtaishia kufa kiume tena
 
Yanga kucheza fainali ya CAF msimu ulopita kitu ambacho Simba alishindwa licha ya kuwasha moto pale South.
Yanga hayupo level za robo, Simba Ndio yupo uko.
Naska mtacheza fainali ya bunyokwa ligi😜
 
Back
Top Bottom