Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Aisee rahaKuna wazoefu wa mwkarobo ..wamepigwq bao nje na ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee rahaKuna wazoefu wa mwkarobo ..wamepigwq bao nje na ndani
Imefungwa kwa haki sanaHii ya 'kugongwa' nje ndani hawaisemi
Hahahahahaha....wanaficha aibu ya kupigwa nje ndani pekee yao ktk robo fainali..Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Kupigwa bao nje na ndani eehAisee raha
Umetolewaa, em toa hasira zako hapa, mxxxieeeewHivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Kwa hiyo fainali mnacheza na nani?Yanga kucheza fainali ya CAF msimu ulopita kitu ambacho Simba alishindwa licha ya kuwasha moto pale South.
Yanga hayupo level za robo, Simba Ndio yupo uko.
Misri vipi?Mamaaaaae zao, dhambi ya Usaliti itawatafuna maisha yao yote. Wameisaliti sana Simba hadi hao Orlando Pirate wameweka wazi kwamba wakiwa Tanzania Utopolo waliwapa sapoti zote.
Hii ni Karma kwa kumuuza ndugu yake kwa Adui.
Waendelee kutumia pesa za kodi yetu kipuuuzi tu na kura 2025 hatuwapi.
Mnqjifariji?Pamoja na mbwembwe zote Yanga inapiga mpira ila imeishia robo fainali Champion League[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Utopolo naye ni mwakarobo?
SielewiKupigwa bao nje na ndani eeh
Sawa tu , lakin ndo ivo mmekufa kiumeHivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Maneno yote hayo unayamwaga baada ya kuishia robo fainaliHivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Halafu kuna New Mwakarobo in town wao wamekufa kiumeKuna wazoefu wa mwkarobo ..wamepigwq bao nje na ndani
Bado hamjatoka mtacheza fainaliKwani tumetoka?
Mimi siamini jamani...!🥺
Naska mtacheza fainali ya bunyokwa ligi😜Yanga kucheza fainali ya CAF msimu ulopita kitu ambacho Simba alishindwa licha ya kuwasha moto pale South.
Yanga hayupo level za robo, Simba Ndio yupo uko.
Mwakarobo Jr ni yule aliyekomea robo fainali za CAFCL zaidi ya miaka mitano mfululizo [emoji28]Sasa ni rasmi Yanga ni "Mwakarobo Jr"
Yanga SC Tumekufa KIBINGWA Kolowizards wewe mwenyewe tu ndiyo huwa unakufa kiume, bakini na gundu lenu la miaka mitano yote [emoji28]Bila kusahau Yanga imekufa kiume