Rasmi sasa Yanga waianza safari ya Mwakarobo waliyokuwa wanaibeza

Hahahahahaha....wanaficha aibu ya kupigwa nje ndani pekee yao ktk robo fainali..
Umbumbumbu Upo na Mbumbumbu Wapo
 
Umetolewaa, em toa hasira zako hapa, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Misri vipi?
 
Pamoja na mbwembwe zote Yanga inapiga mpira ila imeishia robo fainali Champion League[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Utopolo naye ni mwakarobo?
Mnqjifariji?

Misri vipi?
 
Nasikia Wanaye Mwanasheria, hivi Lile goli hawezi kukata rufaa kweli....!

Liwe goli au mechi irudiwe?
 
Sawa tu , lakin ndo ivo mmekufa kiume
 
Maneno yote hayo unayamwaga baada ya kuishia robo fainali
Hii ndio klabu bingwa karibuni sana mjaribu mwakani kama hamtaishia kufa kiume tena
 
Yanga kucheza fainali ya CAF msimu ulopita kitu ambacho Simba alishindwa licha ya kuwasha moto pale South.
Yanga hayupo level za robo, Simba Ndio yupo uko.
Naska mtacheza fainali ya bunyokwa ligi😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…