Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Kichaka cha mapato au upuuzi tu. Kama appliances zinasajiliwa tuanze kusajili mafeni, tv, subwoofer, laptop, washing machine.

Hizo pikipiki na magari lengo ni kupunguza gharama sio viwe kichaka cha dhuluma. Umeme unalipwa na makodi kibao extra. Vikitumia umeme ndio namna vitaingiza mapato.
Inatafutwa hela ya uchaguzi kaka, mfano zile piki piki za umeme zimeingia nyingi sana lazima waruke nazo. Soon tutafika MC 001 FAA
 
Back
Top Bottom