Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Ukinunua Tesla leo unaonekana una hela. Ushuru Mil 20+Wenzetu Europe na Marekani wameyafutia TAX na kama ipo ni kidogo sana ili watu wa Adopt. Sisi tunataka kuyageuza kitega uchumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinunua Tesla leo unaonekana una hela. Ushuru Mil 20+Wenzetu Europe na Marekani wameyafutia TAX na kama ipo ni kidogo sana ili watu wa Adopt. Sisi tunataka kuyageuza kitega uchumi.
BEV achana nayo tuchangamkie Hybrid.Wangeyawekea ushuru mdogo. Magari ya umeme (BEV) na Hybrid.
Kusema kweli mambo yakijipa naishi na EV. Swala la muda tu.BEV achana nayo tuchangamkie Hybrid.
Mkuu yani sijui viongozi wanawazaga nini!???Tanzania kuna ujinga mwingi
Ungeingiza tesla lisingeruhusiwa. Kwa wale jamaa wakaguziKuna sehemu ngapi za kuchajia haya magari?
Maandalizi stahiki yamefanyika kweli?
By the way, hivi kabla ilikuwa marufuku kutumika Tanzania?
Wao wanaendeshwa kwenye J300 V6 unataka muwavimbie. Kama wanatukomoa hivi.Mkuu yani sijui viongozi wanawazaga nini!???
mpaka unashangaa aina ya viongozi tulionao
Ni aibu
Utakuja kuita fundi toka usA😁😁😁👐👐.Kusema kweli mambo yakijipa naishi na EV. Swala la muda tu.
Wanaruhusu. Maana kwenye kikokotoo chao washaweka Tesla. Ambayo ni Full EV.Kuna sehemu ngapi za kuchajia haya magari?
Maandalizi stahiki yamefanyika kweli?
By the way, hivi kabla ilikuwa marufuku kutumika Tanzania?
Atengeneze nini?Utakuja kuita fundi toka usA😁😁😁👐👐.
Waarabu wamegunda gem inabadilika na wao pia wameanza kubadilika kitambo ndio maana wapo kwenye ma real estate na bandari kama kina DP world 2050 2080 mafuta yatakuwa ni takataka chukua hiyo.Gari la hybrid betri yake tu niliwahi sikia bei milioni 10. Hiyo ni betri tu.
Wazungu wafanye wafanyavyo, mafuta ndio suluhisho ya yote.
Waarabu wabarikiwe sana, kama ni njama zao wazungu kuwaumiza waarabu wamegonga mwamba.
Tunaomba tu mafuta yashuke bei, atleast 2000 per litre
Electric systems failure.Atengeneze nini?
Acha uwoga. Mbona mnaogopa ivo? Kilichofanyika ni kutoa engine na gearbox na kuweka battery na motors basi.Electric systems failure.
Mkuu gharama ambayo itakuja 10 years ahead haiwezi kuwa sawa na gharama ya leo! To me kwa kitu ambacho ni liability kama gari kadri linavyozeeka ndio linakuwa vulnerable kwa maintanance na gharama zinakuwa chini maana wengi wanakuwa washanyanunua na spare zake ni nyingi.Kwenye ugumu sikati lakini vifaa gharama mno tena unaagiza nche ya bara😁😁😁😁.
Fuel ndo kilakitu.
Betri Og linaaround 50milion. Bora hybrid.Acha uwoga. Mbona mnaogopa ivo? Kilichofanyika ni kutoa engine na gearbox na kuweka battery na motors basi.
👏👏👏kongra.Mkuu gharama ambayo itakuja 10 years ahead haiwezi kuwa sawa na gharama ya leo! To me kwa kitu ambacho ni liability kama gari kadri linavyozeeka ndio linakuwa vulnerable kwa maintanance na gharama zinakuwa chini maana wengi wanakuwa washanyanunua na spare zake ni nyingi.
Na trend ya bongo ya kuigana, akianza mmoja kuleta EV mfano kale ka Hyundai Ioniq kalivyo katamu utashangaa baada ya miaka miwili zimejazana kibao mjini. Ni mtu tu ajaanzisha trend ila hakuna mtu ataagiza gari la mafuta akishaonja utamu wa gari lisiloenda sheli.
Battery za Prius za 2010-2012 ni around 3M hizo habari za battery million 10 mmeitoa wapi?Betri Og linaaround 50milion. Bora hybrid.View attachment 3004719
Kwani ni lini utabadirisha battery? Ni kama kwenue gari za ICE ni mara ngapi unabadirisha engine?Betri Og linaaround 50milion. Bora hybrid.View attachment 3004719
huo ujinga wa kuambiwa mmezindua matumizi ya gari.Upi huo?
Duh ushuru wake ni 20M kwa mujibu wa TRA ama?Ukinunua Tesla leo unaonekana una hela. Ushuru Mil 20+
Hyundai wamejipata sana hapa aisee.Hyundai Ioniq