Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kula chuma iyo Model 3 ya 2020.Duh ushuru wake ni 20M kwa mujibu wa TRA ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula chuma iyo Model 3 ya 2020.Duh ushuru wake ni 20M kwa mujibu wa TRA ama?
Tupo new generation 2030!.Battery za Prius za 2010-2012 ni around 3M hizo habari za battery million 10 mmeitoa wapi?
Hizo Miles ni zaidi ya kilometa laki 6. Mi naona kununua EV au Plugin Hybrid will be the best bang for the buck kwa maisha yetu haya.Kwani ni lini utabadirisha battery? Ni kama kwenue gari za ICE ni mara ngapi unabadirisha engine?
Ata ivyo izo gari EV battery inadumu kinoma, sio kama ya simu.
View attachment 3004723
Na kwenye hybrid, cheki basi bei ya Battery OG mpya ya Prius au Aqua.
Subiri mambo yanyooke. Petrol station watanisikia tuHizo Miles ni zaidi ya kilometa laki 6. Mi naona kununua EV au Plugin Hybrid will be the best bang for the buck kwa maisha yetu haya.
Hybrid betri inacost 5-20milio new Og!Kwani ni lini utabadirisha battery? Ni kama kwenue gari za ICE ni mara ngapi unabadirisha engine?
Ata ivyo izo gari EV battery inadumu kinoma, sio kama ya simu.
View attachment 3004723
Na kwenye hybrid, cheki basi bei ya Battery OG mpya ya Prius au Aqua.
Jamaa wanakomoa kishenzi, likiingia wasilete mambo ya usajili waachie watu watambe nayo bila plate numbers.
Sada gari mpya kubadili battery labda ni 8-10 years ahead. Hio miaka yote battery itakuwa million 5 tu wakati teknolojia mpya ya battery inaendelea kuzinduliwa?Hybrid ba
Hybrid betri inacost 5-20milio new Og!
Ni kuwakimbia tu.Subiri mambo yanyooke. Petrol station watanisikia tu
Tena Hybrid battery ndio rahisi. Ikiharibika haifi yote, zinakufa cell (packs) kadhaa. Ambazo unaweza kubadirisha na ikawa fresha kabisa.Hybrid betri inacost 5-20milio new Og!
👁 without registered?.Jamaa wanakomoa kishenzi, likiingia wasilete mambo ya usajili waachie watu watambe nayo bila plate numbers.
Tena Hybrid battery ndio rahisi. Ikiharibika haifi yote, zinakufa cell (packs) kadhaa. Ambazo unaweza kubadirisha na ikawa fresha kabisa.
Mr DIY mzee wa Prius aliwahi nipa somo flani likawa la msaada sana.
Jamesdominic unaonekana muoga. Mzee maisha kujilipua. Mi ningekua na hela ningekua sample wengine mjifunze kwangu 😂😂
Kama kweli wana nia ya kuona Watanzania wakitumia nishati salama wafanye kama Mauritius: kuingiza magari ya umeme iwe 100% duty-free kwa muda wa mwaka. Waone jinsi magari ya umeme yatakavyomiminika pamoja na vituo vya kuchajia.
Sio mbaya kwa kuanzia: Prius | Aqua | Insight | FitHahaha! Kama kujilipua ni Hybrid tu!.
Yes. Angalau waweke ata mwaka mmoja wa sample. Labda wakasema kuanzia 2025 July hadi 2026 June. Waone namba zitasemaje.Kama kweli wana nia ya kuona Watanzania wakitumia nishati salama wafanye kama Mauritius: kuingiza magari ya umeme iwe 100% duty-free kwa muda wa mwaka. Waone jinsi magari ya umeme yatakavyomiminika pamoja na vituo vya kuchajia.
Hili licountry limejaa ufisadi, na ndio maana yanakufa vifo vibayaWenzetu Europe na Marekani wameyafutia TAX na kama ipo ni kidogo sana ili watu wa Adopt. Sisi tunataka kuyageuza kitega uchumi.
Hapo sasaYalikuwa hayaruhusiwi kutumiwa??
Ndo shida ya uchawa hii, kuna wakati unajisahau unajiona uko juuu, sasa kumtamkia mtu eti maskini tulia wenye pesa watanunua. Alaf mtu kama huyu ndo aje kuwa kiongozi kha.. Busara negative 100. Acha dhihaka bhana..Maskini Tulia wenye pesa watanunua