Kichaka cha mapato au upuuzi tu. Kama appliances zinasajiliwa tuanze kusajili mafeni, tv, subwoofer, laptop, washing machine.
Hizo pikipiki na magari lengo ni kupunguza gharama sio viwe kichaka cha dhuluma. Umeme unalipwa na makodi kibao extra. Vikitumia umeme ndio namna vitaingiza mapato.