Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mshambuliaji hatari zaidi ya MayeleKila la kheri Dejan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshambuliaji hatari zaidi ya MayeleKila la kheri Dejan
Kubwa jinga marehemu mama yako mzaziKubwa jinga na nyuzi za kijinga kuhusu Thimba!
Nyuzi zako zote unazoanzishaga hazinaga mafanikio na mwisho wa siku unaumia wewe,ndo maana jamaa kakuita KUBWA J.Kubwa jinga marehemu mama yako mzazi
Mimi sio kocha wala Mungu anayepanga nini kiwe wapi wakati gani. Kubwa jinga mama yako anaweza kupanga hiyo?Nyuzi zako zote unazoanzishaga hazinaga mafanikio na mwisho wa siku unaumia wewe,ndo maana jamaa kakuita KUBWA J.
Hahahaha ushapaniki chawa MwamediKubwa jinga marehemu mama yako mzazi
[emoji23][emoji23]Huyo sio permanent ni muda mfupi atakuja manzoki akimaliza mkataba wake na vipers dirisha dogo.
Mlete mzungu! Mlete mzungu 😁😁😁Klabu ya Simba katika kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23, leo Agosti 7, 2022 wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa magoli, Dejan Georgijevic (28) raia wa Serbia kwa mkataba wa miaka miwili akitokea NK Domzale FC ya nchini Slovenia.
"Taarifa rasmi ikufikie kwamba mshambuliaji wa magoli, mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Serbia ni Dejan Georgijevic ni MNYAMA". Imeeleza kwa ufupi taarifa kutoka kwa Klabu ya Simba SC.
Leo hakuna kumpumzika. Overdose mwanzo mwisho
View attachment 2317622
View attachment 2317621
View attachment 2317623
View attachment 2317624
Mimi sio kocha wala Mungu anayepanga nini kiwe wapi wakati gani. Kubwa jinga mama yako anaweza kupanga hiyo?
Kubali kuwa wewe ni kubwa jinga kama walivyo mashabiki wengi wa makolo wala haidhuruMimi sio kocha wala Mungu anayepanga nini kiwe wapi wakati gani. Kubwa jinga mama yako anaweza kupanga hiyo?
OYA AGIZA K VANT KUBWA NAJA KULIPA NA KAMA UNAKULA KITIMOTO UCHUKUE KILO BILI JUU YANGUBaada ya miezi kadhaa utasikia Makolo wamefikia makubaliano ya kila upande kisha huyu mchezaji anaagwa na kutakiwa kila lakheri aendapo
OYA AGIZA K VANT KUBWA NAJA KULIPA NA KAMA UNAKULA KITIMOTO UCHUKUE KILO BILI JUU YANGUBaada ya miezi kadhaa utasikia Makolo wamefikia makubaliano ya kila upande kisha huyu mchezaji anaagwa na kutakiwa kila lakheri aendapo
Mshambuliaji mwendo ameumalizaMshambuliaji wa Magoli ameanza kazi, Utopolo huko mliko kitu kimeanza kugonga ile mbaya yaani..!View attachment 2317340
Ana gundu [emoji23][emoji23]Huyu OKW BOBAN SUNZU nyuz zake hazinaga mafanikio