Naona hata Fraga alikuwa mtoto wa Austems/Uchebe.Kocha kamleta mtotk wa dada yake aliyekuwa jobless uko Serbia alafu anasema mchezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hata Fraga alikuwa mtoto wa Austems/Uchebe.Kocha kamleta mtotk wa dada yake aliyekuwa jobless uko Serbia alafu anasema mchezaji
Makolo mnaongoza kifikia makubaliano maalum mpaka kwa makochaKwani Ntibanzokiza ilikuwaje..!? Hamkufikia makubaliano maalumu..!
Anahusiana na hizi mada zinazohusu usajiliHapa Aziz Ki kaingiaje sasa?
Hata wewe pia ukikaa kwenye reli tunafika makubaliano maalumMakolo mnaongoza kifikia makubaliano maalum mpaka kwa makocha
Kuna kocha anaitwa Eymael sijui.. aliwatukana tusi moja hivi watu wakasema ni tusi la kibaguzi ila ukikaa ukifikiria vizuri kwanini alitamka yale maneno unaona kabisa kwa 90% Yale maneno yana ukweli mtupu juu ya washabiki wengi wa Yanga..Makolo mnaongoza kifikia makubaliano maalum mpaka kwa makocha
Utopolo kuna misimu miwili walifikia makubaliano maalumu wa wachezaji takriban 30 wastani kila mwaka wachezaji 12 na kuna Karne ilifukuzwa kikosi choote wakaanza upya.Makolo mnaongoza kifikia makubaliano maalum mpaka kwa makocha
Amemalizaaaaa!!!!
Huyu atatumika ktk kimataifa, na match za Dar tyuuh. Kule liti kiyombo na kina kapama.
Vitu anavyo, atatumika zaidi kimataifa ila huko Namfua awaachie kina Kiyombo
Imenibidi nicheke tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kocha kamleta mtotk wa dada yake aliyekuwa jobless uko Serbia alafu anasema mchezaji
Ukuona hivyo ujue anakuja aliye bora zaidiBaada ya miezi kadhaa utasikia Makolo wamefikia makubaliano ya kila upande kisha huyu mchezaji anaagwa na kutakiwa kila lakheri aendapo
Ajiandae tu na kuumwa ngiri... Si atagombea namba na Boko.. ameishaMiba za wakongwe akina Boko zinamsubili . amuulize mugalu 😂😂😂
Ujui [emoji777] = HujuiKweli mbuzi sio mpaka ziwe na mapembe kuna binadamu ambao ni zaidi ya mbuzi eti,,,Kama ujui alichokiongea uwalaumu wazazi wako walioshindwa kukupeleka shule tahaira wewe
Nna sababu nyingi mnoo, sasa je Fraga mwisho wake ulikuaje??Fraga aliprove wrong,ngoja tuone
Hapo sawa, wacha tusubiri kuona.Tatizo viwanja akienda kucheza mtwara au singida una mkataa hata chama akicheza tofauti na uwanja wa taifa mara nyingi hana maajabu ila huyo ni wa mda mfupi manzoki akimaliza mkataba wake kule atakuja kuungana nae.
Aliondoka kwa sababu ya majeruhiNna sababu nyingi mnoo, sasa je Fraga mwisho wake ulikuaje??
Umeona sasa, na ni 1 ya sababu zangu. League hii race nyeupe kwao ni mlima. Wao wamezoea soka la kitabuni, huku sisi ni mkuku mkuku. Daaah.Aliondoka kwa sababu ya majeruhi
Hivi Dilunga ni mzungu, Lwanga, Mugalu, Dube ambao shida kubwa ni majeruhi ni wazungu?Umeona sasa, na ni 1 ya sababu zangu. League hii race nyeupe kwao ni mlima. Wao wamezoea soka la kitabuni, huku sisi ni mkuku mkuku. Daaah.
Ataondoka kama FragaUkuona hivyo ujue anakuja aliye bora zaidi
Ouk tuyaache haya.Hivi Dilunga ni mzungu, Lwanga, Mugalu, Dube ambao shida kubwa ni majeruhi ni wazungu?