Mnatangaza lini technical bench lenuSijaelewa swali mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatangaza lini technical bench lenuSijaelewa swali mkuu
Hongereni, halafu kazeni msije mkachovye ligi kuu na kurudi mlipotokaTumefanikiwa kupanda daraja hivyo tutacheza Ligi Kuu kuanzia msimu wa 2022/23.
Halafu nimekuambia uwashauri mabosi wako kumpa mkataba yule mfungaji bora wa Mbeya Kwanza wakati inapanda ligi kuu, ukanipuuza. Ni mfupi hivi, halafu ana mwili! Jina lake nimelisahau.Tumefanikiwa kupanda daraja hivyo tutacheza Ligi Kuu kuanzia msimu wa 2022/23.
Halafu nimekuambia uwashauri mabosi wako kumpa mkataba yule mfungaji bora wa Mbeya Kwanza wakati inapanda ligi kuu, ukanipuuza. Ni mfupi hivi, halafu ana mwili! Jina lake nimelisahau.
Anakimbia kama digidigi! Ni bahati mbaya walimu walikuwa hawampangi tu mara kwa mara. Ila kila alipopata nafasi, impact yake ilionekana. Mkimpa mkataba, atawasaidia sana kwenye ushambuliaji.
Hongereni, halafu kazeni msije mkachovye ligi kuu na kurudi mlipotoka
Singida United sijui imejifia wapi
Mnatangaza lini technical bench lenu
Ah na nyie kumbe mnaenda na philosophy ya uongozi ndio unachagua wachezaji, kocha afanye nao kazi.Tukimalizana na masuala ya usajili mkuu. Hivi karibuni. Nitaleta taarifa hapa kama kawaida.
Huo ni uongo wa Mwamedi kwenda kwa MakoloTetesi za chini zinasema pre season mnaenda kuweka kambi marekani. Je ni kweli haya?
Kwani hawaendi america tena?Huo ni uongo wa Mwamedi kwenda kwa Makolo
Hapana. Uongozi unapokea ripoti ya mwalimu na kufanyia kazi mapendekezo yake.Ah na nyie kumbe mnaenda na philosophy ya uongozi ndio unachagua wachezaji, kocha afanye nao kazi.
Mwalimu yupi tena wakati umesema hamjataja bench lenu la ufundiHapana. Uongozi unapokea ripoti ya mwalimu na kufanyia kazi mapendekezo yake.
Sasa nyie mnalo benchi la ufundi? Yani ukasajili Boxer ndiyo umuache Kapombe unasema benchi la ufundi limependekeza?Tunao uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote aliye sokoni, mzawa au mgeni, kama tu benchi letu la ufundi litakuwa na uhitaji nae.
Sasa nyie mnalo benchi la ufundi? Yani ukasajili Boxer ndiyo umuache Kapombe unasema benchi la ufundi limependekeza?
Napenda uwasilishaji wako, niwatakie mafanikio naamini kwa kasi hii Singida Big Star itakuwa Moto, najua mtafanya maboresho kidogo kwenye dirisha Dogo