The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Sasa watatuambia wanamwaga Nini uwanjaniwasipotubu, watashuka daraja. Mungu hadhihakiwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa watatuambia wanamwaga Nini uwanjaniwasipotubu, watashuka daraja. Mungu hadhihakiwi.
Ni kweli, Yanga imepoteza mechi mbili tu tangu kuanza kwa msimu huu, likiwa ni jambo linaloweza kuonesha kuwa timu haijafanya vibaya.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Kapewa yeye sasaWakamfundisha na wimbo lakini wapi.
Wamefanya haraka sana, Gamondi alikuwa bado ni kocha mzuri. Kupoteza mechi mbili mfululizo, si sababu ya kumuondoa. Wao wanaelewa kinachoendelea, wangekaa naye na wachezaji.Bantu Lady saizi atakuwa amejifunika zake ushungi mweusi analia tu, Poleni ndo safari kuelekea msibani imeanza mjiandae kugaragara kwa vilio.
Swala la Gamond na Yanga ni suala la kisiasa zaid, vilabu vya simba na Yanga vina impact kubwa sana kwenye siasa za nchi yetu, ukijaribu kuangalia kwa wiki kadhaa zilizopita habari na hoja kubwa zilikua ni kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa..Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Nimejibu kama mjukuu wa mangoma, unataka ujione unajua sana na unaweledi zaidi kuliko hao wanaosimamia taasisi ya Young Africans??? Tulizana dada huu mchezo hauhitaji shentepeeeHapa umejibu kama nani? Kiongozi wa Yanga? Unahusika na mapato ya Yanga?
If not, shut the fu*k up!
Afadhali wamemtimua.
Ukweli kuhusu nini? Isijekuwa ni brother 'K'Dah hii ni kweli au wameedit, mbona sioni kwenye page yao.
Gamondi kasepa?!?Ukweli kuhusu nini? Isijekuwa ni brother 'K'
Hapana bado yupo sanaGamondi kasepa?!?