Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Duu! Ukocha ni miongoni mwa kazi ngumu kweli. Wakati wowote kibarua kinaota nyasi
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
This is TZ broo...mihemko ndo kila kitu na nguvu za waganga kwenye mpira kuliko uwezo
 
Viongozi wa Yanga Hersi na wenzio wapumbavu sana, mmenivurugia siku yangu.
Nimewachukia mnoooo!

Huu msimu wote sitoenda uwanjani wala kununua chochote kinachohusiana na Yanga, wapuuzi wakubwa nyie wote.
Napenda sana Topolo wakivurugana kama hivi
 
KUVUNJA MKATABA maana yake nini ?

Hata makubaliano ya kienyeji, ya "tukutane Manzese" usipotokea Manzese huwezi kujibu nili change my mind! Nilivunja mkataba!

Hakuna kitu kama hicho duniani.U anavunjaje makubaliano kivyako vyako ?

Hata fundi bomba akianza kulowa maji, kazi ngumu, hawezi kukwambia "nimevunja biashara"!

Kuna hasara Yanga hawazisemi, hatuambiwi, halafu wana habari wenyewe upeo ni mdogo sana.

Yanga imepoteza kiasi gani kwa contract severance ya huu mkataba ????

Ulaya kocha Gamondi angeondoka na meneja uajiri, kama ni Hersi, angeondoka na Hersi!
 
KUVUNJA MKATABA maana yake nini ?

Hata makubaliano ya kienyeji, ya "tukutane Manzese" usipotokea Manzese huwezi kujibu nili change my mind! Nilivunja mkataba!

Hakuna kitu kama hicho duniani.U anavunjaje makubaliano kivyako vyako ?

Hata fundi bomba akianza kulowa maji, kazi ngumu, hawezi kukwambia "nimevunja biashara"!

Kuna hasara Yanga hawazisemi, hatuambiwi, halafu wana habari wenyewe upeo ni mdogo sana.

Yanga imepoteza kiasi gani kwa contract severance ya huu mkataba ????

Ulaya kocha Gamondi angeondoka na meneja uajiri, kama ni Hersi, angeondoka na Hersi!
Lazima wamlipe fidia zake, ila tulivyokua wahuni hatutalipa mpaka tufungiwe kusajili
 
Gamond kilichomfukuzisha ni kama Rhulan Mokwena tu... mwaka jana Gamond alimu expose sana kwenye mechi ya robo fainali na ilibidi mamelodi watolewe pale wakapita kwa ndondokela! Baada ya pale Mamelodi wakaanza kuchezesha mpira ule ule waliochezeshewa na Yanga ikawa ngumu kutoboa... sasa uzuri wenzetu wao hayo mambo yamewakuta mwisho wa msimu wakaona waachane na Rhulan! YANGA ilichokosea ni kuongeza mkataba na Gamond ilihali alishauza mbinu ya vita kwa adui! Watu wameenda break na homework za kumzuia Gamond tu! Ligi imeanza timu zimegeuka mabeki wanashambulia kwa counter! Kwahiyo hio kitu ilishaonekana tangu mwanzo sio kwamba Yanga imeshuka ila ni vile mbinu ya Gamond washaipatia jibu kwahiyo kuendelea na Gamond kutaifanya Yanga iwe ngumu zaidi kuchukua ubingwa. Mana Bila mabeki wa maana kwa mpira wake hutoboi na kule mbele wakina Dube nao ndo wanazingua
simple and smart that why i love you!
 
Tangu ligi imeanza timu imecheza chini ya kiwango sana.
Nakuhakikishia angeendelea huyo gamondi hii yanga unayoifahamu hata nafasi ya nne tungeikosa.
Ukiweka takwimu za Yanga hapa aibu utaona wewe. Yanga kabla ya kufungwa mechi mbili mfululizo haikuwahi kuruhusu goli na timu zote zilizokuwa zinakutana naye zinabaki nyuma.
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Mimi mwenyewe niliwaza kama ulivyowaza. Lakini kumbe kuna zaidi ya hapo. Kipo kitu kingine nyuma ya pazia,zaidi ya kufungwa mechi 2
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Sio mechi mbili TU. Tangu ligi imeanza timu haioneshi Nguvu ya kupata matokeo ya kuridhisha tofauti kabisa na uboreshaji uliofanyika hasa kwenye eneo la ushambuliaji.

Matokeo dhidi ya Coastal yalikuwa tia_tia maji Asante Refa, matokeo dhidi ya Simba nayo vilevile Asante Refa , hata dhidi ya wale watoto waliofunga goli likakataliwa na Refa nadhani Ken Gold wale nayo ni Asante Refa. Hayo yote naamini Uongozi wa Yanga umeyatumia kufikia kufanya maamuzi hayo.
 
😆😆😆 wameshaingia kwenye mfumo, sasa ni mwendo wa kupoteana tu
 
Tangu ligi imeanza timu imecheza chini ya kiwango sana.
Nakuhakikishia angeendelea huyo gamondi hii yanga unayoifahamu hata nafasi ya nne tungeikosa.
Ok. Nimekupata. Swali la nje ya mada; Je, ni kweli wewe ni Fundi Mahiri wa Ujenzi au hiyo ni User name tu unaitumia kuuza sura humu JF?
 
Back
Top Bottom