Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kuna mmoja hapo kafia bustanini huku kanyimbo ka kihindi kakiimbwa.MastelingiView attachment 3152884
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja hapo kafia bustanini huku kanyimbo ka kihindi kakiimbwa.MastelingiView attachment 3152884
Kwamba chel ndo role model wa uto sio?Tuchel alifukuzwa pale chelsea kwa kufungwa mech 3 ikiwa msimu uliopita aliwapa chelsea UEFA
Wakamfundisha na wimbo lakini wapi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mtoto kautaka
ACHA STORY ZA VIJIWENU NA WEWE NANI KASHINDWA KUMLIOA GAMONDI, UJINGA KICHWANI UTAKUTOKA LINI? NONSENSE!!!!Wote Mnaukwepa Ukweli, GSM Kashaanza Kuishiwa.
Mshahara Wa Gamondi Kashindwa,mkitaka Gamondi aendelee Jikusanyeni mumlipe Salary.
Yanga Imefungiwa na FIFA kusajili Kwa Kuwa Wameshindwa kumlipa Okra Magic..!
Wakati GSM anakata Moto.....!
Mo Dewji anazidi kumwaga mihela ya Kusajili kama njugu, WanaLunyasi Wanampango Kuandamana kushinikiza asimame Kufanya usajili Mwingine
Rais na makamu wake wana ugonjwa.mbaya sana, hawawezi kukaa na mtu asiye na mila na tamaduni za mashariki ya kati, subiri utaona karibuniNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Who fuckin care??? Hata usienda uwanjani?? Kunywa maji mingi dadaViongozi wa Yanga Hersi na wenzio wapumbavu sana, mmenivurugia siku yangu.
Nimewachukia mnoooo!
Huu msimu wote sitoenda uwanjani wala kununua chochote kinachohusiana na Yanga, wapuuzi wakubwa nyie wote.
Umesahau na kule OkraYanga imechanganyikiwa.
Huku uwanja, kule kocha, pale manara...
Bado Champions league inawasubiri
Kufungwa mechi chache isiwe kikwazo cha kocha kufukuzwa na huo ni mfano tu nimetoa kuonyesha kocha anaweza kufukuzwa kwa kupoteza mechi chache bila kujali mafanikio yaliyopitaKwamba chel ndo role model wa uto sio?