Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Rasmi: Yanga yavunja Mkataba na Gamondi

Kwa hili natabiri POCOME, AZIZ KI kuchomoka ingawa amechelewa ....
Chama bahati mbaya
 
Viongozi wa Yanga Hersi na wenzio wapumbavu sana, mmenivurugia siku yangu.
Nimewachukia mnoooo!

Huu msimu wote sitoenda uwanjani wala kununua chochote kinachohusiana na Yanga, wapuuzi wakubwa nyie wote.
 
Mkuu naomba unitumie Link ya hiyo ngoma niipakue mazima.
Umenikumbusha kitu.
 
Yaani “EMOTIONAL” zimewafanya viongozi Yanga wamfute kazi kocha mkuu aloooh, ok what’s NEXT?
 

Attachments

  • E6FA9949-6FDC-47FC-90FE-040730A679C0.jpeg
    E6FA9949-6FDC-47FC-90FE-040730A679C0.jpeg
    79.3 KB · Views: 3
Wote Mnaukwepa Ukweli, GSM Kashaanza Kuishiwa.

Mshahara Wa Gamondi Kashindwa,mkitaka Gamondi aendelee Jikusanyeni mumlipe Salary.

Yanga Imefungiwa na FIFA kusajili Kwa Kuwa Wameshindwa kumlipa Okra Magic..!

Wakati GSM anakata Moto.....!

Mo Dewji anazidi kumwaga mihela ya Kusajili kama njugu, WanaLunyasi Wanampango Kuandamana kushinikiza asimame Kufanya usajili Mwingine
ACHA STORY ZA VIJIWENU NA WEWE NANI KASHINDWA KUMLIOA GAMONDI, UJINGA KICHWANI UTAKUTOKA LINI? NONSENSE!!!!
 
Ingawa ya ndani hatuyajui lakini yanga hawakupaswa kufanya hv, inaonekana tayal zam yao imekwisha n zam ya nduguye sasa! Viongozi wa mipira wa tz n pasua kchwa sana.. Imensikitisha sana haya tim yangu simba uwanja n wako sasa mi 3 tna kam nduguyo ... naiona wwe ya kna omaga kwny lg yet.
 
Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)

Kundi la wapumbavu ni kubwa

Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?

Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga

Pumbavu
Rais na makamu wake wana ugonjwa.mbaya sana, hawawezi kukaa na mtu asiye na mila na tamaduni za mashariki ya kati, subiri utaona karibuni
 
Viongozi wa Yanga Hersi na wenzio wapumbavu sana, mmenivurugia siku yangu.
Nimewachukia mnoooo!

Huu msimu wote sitoenda uwanjani wala kununua chochote kinachohusiana na Yanga, wapuuzi wakubwa nyie wote.
Who fuckin care??? Hata usienda uwanjani?? Kunywa maji mingi dada

Hallelujah!!!
 
Maamuzi ya hovyo kuwahi kutokea
Acha vipigo vianze
Na timu mazima inapotea
Poor viongozi wa yanga nj wapumbavu
 
Back
Top Bottom