Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Vilitaka viendelee kuzurura Dubaisijui vikoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilitaka viendelee kuzurura Dubaisijui vikoje
Mbumbumbu katika ubora wak
Tunafahamu kuwa Karia na wenzake Wana upande wao kama wanadamu, tunajuwa kuwa yeye ni coastal Union na Simba. Hata Mungu ana upande pia, mara nyingi Mungu anasimama upande wa wanaotwezwa, watwana, wanaoonewa. Ndio maana Kuna mambo house girl anakuwa Bora kuliko mtoto wa mwenyenyumba. Yanga inalifahamu hilo kuwa Karia ni mwanachama wa timu zipi ndani na nje ya Tanzania. Mungu TU ndio kikwazo kwake vinginevyo Simba na coastal Union zingekuwa zinashinda kila mchezo na kila mashindano.Ukiwa yanga lazima uwe huna akili kiasi fln hv
Ha ha ha haVilitaka viendelee kuzurura Dubai
Yaaani hatupumiiiii 😀 😀 😀 Eti wanataka wahudumiwe ki VIP. Na wao ndo walikua wanasema Simba inapendelewa.Vinajikuta kama psg kwa huko kubahatisha kwao.
Mungu ibariki Yanga ipate matokeo mazuri dhidi ya Kagera ili watu kiwashuke. Mungu hajawahi kisima upade wa madhalimu. Mungu anahukumu dhamira sio matendo ya mtu. Kama dhamira ya kupanga hivi dhamira ni ovu basi Mungu atairekeshiba hiyo ratiba kwa njia zake mwenyewe.Yaaani hatupumiiiii 😀 😀 😀 Eti wanataka wahudumiwe ki VIP. Na wao ndo walikua wanasema Simba inapendelewa.
Mungu kakosena na dhuluma na nia mbayaUnasema kuwa?
View attachment 2414610
VIP? LABDA WAKANUNUE VIJICHUPI VYA ZAMANI VYA KUBANA VILE VIKIKATIKA KWA CHINI VINAPANDA KWAPANI,. hapo watakuwa VIPYaaani hatupumiiiii 😀 😀 😀 Eti wanataka wahudumiwe ki VIP. Na wao ndo walikua wanasema Simba inapendelewa.
Goli goli tu mkuuMalipo ni hapahapa, kigoli kimoja dhidi ya timu inayoburuza mkia
Je, ilikuwa ni lazima Yanga icheze na Kagera sugar jumapili mwanza? Kwanini mechi isingesogezwa hata kwa siku mbili?
Kuandika kote huku umekosea kuifananisha Simba na Yanga.Ila hii club ni ya hovyo Sana sijapata kuona ,Kuna kipindi mashabik nyie wenyew mlikuwa mnawaponda tff kuwa wanaipendelea Simba inapewa viporo ,na huku mkijua Simba Ana ratiba ngumu Sana .
Baada ya kulalamika Sana tff wakasikia kilio chenu ,wameamua viporo visiwepo ajabu mnakuja kulialia Tena baada ya kuujua ukweli kuwa tff walikuwa sahihi kuwapa viporo simba ,kucheza kimataifa na ndani lazima timu ichoke .
Bahat iliyooje na nyie mpo makundi Sasa subirin mziki ,na nataman tff wasilegeze iwe kwa Simba au yanga viporo visiwepo kabisa ,na tff wakikaza huu msimu Basi Wanaoenda kuneemeka na hili ni Azam Kama nao watajitambua na watabeba ubingwa kirahis Sana.
Ngoja ifike mwakan ndipo mtaelewa nini namanisha hapa.
Mliona Simba anafaidika Sana ,Sasa na nyie yamewakuta.
Na msijiaminishe kwamba huu msimu mtachukua kombe mkiwa unbeaten ,Hilo sahau kabisa ,vipigo vinakuja huko mbeleni na ligi ni mbichi kabisa hii.
Mpira mliopigiwa na kagera Leo hizo ni dalili za nini kinaenda kutokea kwa upande wa yanga na Simba endapo tff watakaza na nataman iwe ivyo ili mjifunze kitu .
Siyo shabiki wa Yanga lakini Kwa hili uko 100% sahihi.Siku Club Africain ilipocheza na Yanga kwamkapa jamaa alikuwa jukwaa kuu karibu na Eng. hers wakiangalia mpira, ulikuwa ukimwangalia usoni jamaa utagubdua kuwa alikuwa amefurhi Yanga kutoka suluhug
Na Coastal Union iliyokuwa na Wachezaji 2 tu u23 tena wakaa benchi wakaahirishiwa Mechi?Wahuni wa TieFueFu inazikumbusha timu za Simba na Yanga zinazoshiriki mashindano ya "CUF" hakutakuwepo na kuhairishwa kwa mechi zao za ligi iwapo mechi inayofuata itakuwa imepishana kwa siku 2, siku ya 3 mechi ya ligi lazima ichezwe hata kama timu imecheza mechi nje ya Bongo.
Ndio maana timu zimeruhusiwa kusajili wachezaji 30, ukiona shida nenda nje ya nchi na wachezaji 18, wachezaji 12 wabakize Bongo .