Waraka hauwahusu watanzania, Ni kwa watanganyika. Elewa hivyoWatanzania sio wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waraka hauwahusu watanzania, Ni kwa watanganyika. Elewa hivyoWatanzania sio wajinga
Someni mwaka mzima
aiseee!!.....basi sawa.Usiku huu, Rais SSH amempandisha cheo Jaji Mustafa K. Ismail kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Huyu ni mmoja wa Majaji 3 waliotupilia mbali kesi ya Bandari kule Mbeya.View attachment 2738186View attachment 2738187
Madaraka hata wewe ukiwa chawa mlamba makalio unaweza kuteuliwa, ila hizo sio akili, we hushangai hadi form 4 failure kashika madaraka?Ndo wamekuzidi akili sasa. Hapo mwenye akili atahesabiwa ni aliyepo madarakani sio wale wanaopuyanga mtaani wasaka tonge.
Kama una ushahidi kafunguwe kesi mahakamaniTunalaani tukio hili lenye sura ya kisiasa,hii ni kutokana na Waraka wa Maaskofu, huu ujinga Mungu atawalipa na anguko lenu lipo karibuniView attachment 2738146
SawaHuwa sipangiwi cha kufanya
Hahaha kijana mbona unanitishia?
Hayo sio matisho mzee matisho ni kama hayaHahaha kijana mbona unanitishia?
Sidhani kama wataweza kukujibuHoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Naona kama unanitupia jini kwenye chungu nihangaike nalo 🤣🤣Hayo sio matisho mzee matisho ni kama hayaView attachment 2738368
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaNaona kama unanitupia jini kwenye chungu nihangaike nalo [emoji1787][emoji1787]
Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.Naona kama unanitupia jini kwenye chungu nihangaike nalo [emoji1787][emoji1787]