Kwani hawabusu hizo rozari zao kama sehemu ya ibaada yao?.......au wewe sio mkatoliki?Wakatoliki ni waramba misalaba?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hawabusu hizo rozari zao kama sehemu ya ibaada yao?.......au wewe sio mkatoliki?Wakatoliki ni waramba misalaba?!
Acha ushuzi baridi katoliki ni taifa kubwa wakisema no ni big NOAcha waendelee kugeuza madhabahu kuwa jukwaa la kisiasa.
Wana haki zote kufanya hivyo kuliko kukaa kuwaibia watu hela Kwa kisingizio cha kumtolea bwana
Acha kuchati kanisani Mkuu.Nipo hapa ibadani
We huangalii mechi?Hata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Acha ulimbukeni! Mungu atabaki kuwa Mungu,na ndio maana viongozi hao wote wa kisiasa wanaapa mbele ya Mungu kwa kuvishika vitabu vitakatifu wkt wakipewa majukumu ya uongozi unaotokana na siasa. Hivyo siasa ni dini na dini ni siasa tangu enzi za kitabu cha agano la kale kwenye biblia Takatifu na hata kwenye misahafu pia. Na Mungu tunayemuabudu ndiye aliyetuumba na kutoa mamlaka zote za kidunia kwetu sisi wanadamu,tujichagulie watu wa kutuongoza Kwa namna na taratibu mbali mbali ikiwemo kufanya kampeni na upigaji kura. Vyote hivi ni siasa. Sasa kama vyote hivi vililetwa na Mungu,na dini ndizo zinazotufundisha kumjua Mungu aliyeziumba mbingu na nchi pamoja na vyote vilivyomo ndani yake,unawezaje kumtenga Mungu kwenye siasa na wkt huo huo mkianza mikutano ya kisiasa mnamtanguliza kwa njia ya maombi!?Acha waendelee kugeuza madhabahu kuwa jukwaa la kisiasa.
Wana haki zote kufanya hivyo kuliko kukaa kuwaibia watu hela Kwa kisingizio cha kumtolea bwana
Hapa rozali pale tasibihi tofauti yake moja ina Msalaba wa Yesu (Crucifix) na nyingine ina uzi unaning'inia.Kwani hawabusu hizo rozari zao kama sehemu ya ibaada yao?.......au wewe sio mkatoliki?
Mapdre kanisa unalosali Wana akili timamu, wameona ni upuuzi kupigia kelele waumini sababu ya kijiwaraka uchwara.ila sisi wa misa ya kwanza saa 12 hatujasomewa, sijapenda
Sawa wapeni tu hiyo shidaWe
Wewe ni Serikali?
Ule waraka umeleta shida huko vijijini!!
Mwanakijiji anapoaminishwa na kiongozi wake wa Dini kuwa mna Nia Ovu na bandari zetu huamini direct.
KAZI IPO!!
Leo umesomwa kanisani kwetu.Serikali iachane kabisa na huu mkatabaUnaweza kujiuliza kwanini TEC wakachagua kuusoma waraka wa kupinga kugawa bandari za Tanganyika kwa DPW kwa wiki sita na si pungufu ama zaidi?
Hili limekaa kiroho na kihesabu zaidi.. Dunia inaendeshwa na tarakimu na hesabu kupitia kanuni maarufu ya MAGAZIJUTO (BODIMUS)!
Mara sita inawakilisha siku sita za uumbaji, yaani siku sita za wiki.. Jumatatu mpaka Jumamosi! Kwahiyo ilipaswa waraka usomwe kila siku kwa siku sita mfululizo, lakini wanaosomewa ni waumini na waamini kanisani na siku pekee ya kuweza kuwasomea katika wingi wao ni siku ya ibada ambayo ni Jumapili
Kwahiyo ndio maana zikatengwa Jumapili sita mfululizo za kusomewa waraka husika, na leo hii ni Jumapili ya tatu
Waraka mpaka sasa umeonesha mafanikio makubwa sana! Dondoo zilizoandaliwa kisomi na kwa weledi mkubwa hazikutoka nje ya mstari wa katiba ya taifa
Zimejitokeza taasisi, vikundi na watu binafsi waliojaribu kuukosoa na kuupinga waraka lakini wakashindwa vibaya sana, kwakuwa badala ya kukosoa ama kupinga kilichomo kwenye waraka husika, wao wakaishia kutoa shutuma, kutuhumu na kukejeli watu binafsi, taasisi iliyoandaa waraka, imani ya waandaaji nk
Hawa wote walikuwa na haki kamili ya kufanya hivyo kwa mujibu wa katiba yetu, kakini kuna kila dalili kwamba hawakusukumwa na uzalendo na dhamira njema bali kwa maelekezo maalum na kwa malipo! Mbaya zaidi wakakurupuka sana na kuongea ujinga mtupu kisha haoo wakasepa zao kukinga mikono!
TEC hawakutetereka kwenye hilo na wala hawakuthubutu kunyanyua mdomo kujibizana nao! Walibaki na focus yao kukamilisha ratiba.. Na wanatambua wazi kwamba debe tupu haliishi kutika..!
Waraka wenye manufaa kwa watanganyika wote bila kujali
Itikadi zao
Imani zao
Makabila yao
Kipato chao nk nk unaendelea kusomwa leo kwa mara ya tatu, na ili kukamilisha ratiba bado mara zingine tatu. Wanaotumwa kuujibu kwa malipo wajitahidi kuujibu kwa hoja na si vioja
Watanganyika sio wapumbavu! Tunajitambua!!!!View attachment 2737210
anatamani ata angekuwa na mamlaka ya kuwavua Uaskofu Wajumbe wa TEC[emoji23]Majaliwa leo atasomewa akiwa Kanisa Katoliki Tanga akihudhuria afla ya kusimikwa Askofu wa Kanisa Katoliki Tanga.
Yaani Mama Abdul kashikwa pabaya,anatamani ata angekuwa na mamlaka ya kuwavua Uaskofu Wajumbe wa TEC lakini mamlaka yake yanaishia kwenye katiba chakavu tu ya 1977!
mbona wanasiasa haohao huwa wanaenda kuomba kura kwenye madhabahu hayohayo, ila hamsemi, ila tec wakiongea jambo la kisiasa mnalalamika?Acha waendelee kugeuza madhabahu kuwa jukwaa la kisiasa.
Wana haki zote kufanya hivyo kuliko kukaa kuwaibia watu hela Kwa kisingizio cha kumtolea bwana
We ni mgeni umeanza kuijua TEC juzi. Fuatilia hotuba zao mwaka 2020 kwenye mitandao tafuta usije kuangukia kwa wenzako wanaojificha nyuma ya udini.Kama hawa kuchaguliwa mbona hatukuona waraka kutoka kanisani wakumshauri au kumlaani alio wa teuwa bila kuchaguliwa, tukiwambia hao watu ni wadini amna uzalendo wowote mnabisha.
Tumeshatoa jibu nenda kwenye mitandao na link ziko nyingi Fr.Kitime na wengine walitoa hotuba mwaka 2020 za kulaani uhuni wa uchaguzi.Safi sana. Waeleze kwanini hawakuandika waraka kupinga wizi wa kura kama kweli hao wabunge hawajachaguliwa. Na kama wamechaguliwa kiuhalali hao wabunge ndiyo wawakilishi wa wananchi na sauti Yao ndiyo sauti ya wananchi waliowachagua na sio hao wapumbavu wanaojifungia makanisani na kuandika vipeperushi vya udaku eti na kuvibatiza jina la SAUTI YA WENGI. Sauti ya wengi ni sauti ya wabunge waliotumwa na wananchi kuwawakilisha kwa niaba Yao.
Someni mwaka mzima
Kwani Tanzania ina bunge? Au umaanisha hayo majizi yaliyojazana huko bila ya kupelekwa na wananchi. Mwizi siku zote hubakia mwizi.
Hoja yako ina msingi sana.Wewe uliyachagua hayo majizi yaliyopo Bungeni ambayo hata mahakama imewakataa kuwa siyo wawakilishi wa wananchi?