Lumumba ndio wanahitaji ndimu..nenda kawapelekeeLamba ndimu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba ndio wanahitaji ndimu..nenda kawapelekeeLamba ndimu!
Unanitukana nimekukosea nini?Ili kupunguza kasiriko unaweza kalia tango tu!!
Uko sahihiHata wakipewa nakala kila kondo, hamna kitakacho badilika hawawezi kumyumbisha Raisi wetu hao waramba misalamba Tanzania ni kubwa kuliko hao idol worshippers.........
Sisi wasabato tunaunga mkono uwekezaji mkubwa wa bandariWasabato wanapaelewaje hapa maana kwao siku ya saba na ya mapumziko kiuumbaji ni Ijumaa
Wa miaka mingapiSisi wasabato tunaunga mkono uwekezaji mkubwa wa bandari
Hao wabunge wamekuibia nini thibitishaWewe uliyachagua hayo majizi yaliyopo Bungeni ambayo hata mahakama imewakataa kuwa siyo wawakilishi wa wananchi?
Mbona kinyonge sana!!Siamini kuwa waraka umesomwa leo, kanisani kwetu hapa St Thomas More Mbezi Beach ulisomwa mara moja tu siku ya kwanza.
Hakuna faida wala sababu ya kuja na waraka wakati TPA wameshaandika barua ya kutaka mwekezaji wa bandari na hata akiwa ni kampuni ya kizalendo hakuna tatizo lolote.
Lile lilikuwa ni jibu tosha kwa waraka, kwamba tujipange na kuja kimkakati ikiwa tunataka kushindana na makampuni yenye ukubwa wa DP World katika masuala ya uendeshaji wa bandari kisasa.
Lile halitakuwa tangazo la mwisho la serikali, kutakuwa na tangazo la bandari ya Mbamba Bay, kutakuwa na tangazo la Bandari ya Ziwa Tanganyika pia.
YoteWa miaka mingapi
Serikali haitambi mitandaoni inatamba katika utendaji wa vitendo.Mbona kinyonge sana!!
Hata miaka 22 au zaidi kama ilivyokuwa TICTS.Wa miaka mingapi
Haina shida, ndo maana ya uchaguzi; kuna kushinda na kushindwa. Asiyeweza lolote kati ya hayo aende kucheza football, huko kuna kutoka sareHii comments itunzwe mama hatashinda uchaguzi 2025
Comments bora sana àHaina shida, ndo maana ya uchaguzi; kuna kushinda na kushindwa. Asiyeweza lolote kati ya hayo aende kucheza football, huko kuna kutoka sare
KKKT tupo wapi? au sisi hili la Bandari halituhusu ?
Wiki 6 tu!Unaweza kujiuliza kwanini TEC wakachagua kuusoma waraka wa kupinga kugawa bandari za Tanganyika kwa DPW kwa wiki sita na si pungufu ama zaidi?
Hili limekaa kiroho na kihesabu zaidi.. Dunia inaendeshwa na tarakimu na hesabu kupitia kanuni maarufu ya MAGAZIJUTO (BODIMUS)!
Mara sita inawakilisha siku sita za uumbaji, yaani siku sita za wiki.. Jumatatu mpaka Jumamosi! Kwahiyo ilipaswa waraka usomwe kila siku kwa siku sita mfululizo, lakini wanaosomewa ni waumini na waamini kanisani na siku pekee ya kuweza kuwasomea katika wingi wao ni siku ya ibada ambayo ni Jumapili
Kwahiyo ndio maana zikatengwa Jumapili sita mfululizo za kusomewa waraka husika, na leo hii ni Jumapili ya tatu
Waraka mpaka sasa umeonesha mafanikio makubwa sana! Dondoo zilizoandaliwa kisomi na kwa weledi mkubwa hazikutoka nje ya mstari wa katiba ya taifa
Zimejitokeza taasisi, vikundi na watu binafsi waliojaribu kuukosoa na kuupinga waraka lakini wakashindwa vibaya sana, kwakuwa badala ya kukosoa ama kupinga kilichomo kwenye waraka husika, wao wakaishia kutoa shutuma, kutuhumu na kukejeli watu binafsi, taasisi iliyoandaa waraka, imani ya waandaaji nk
Hawa wote walikuwa na haki kamili ya kufanya hivyo kwa mujibu wa katiba yetu, kakini kuna kila dalili kwamba hawakusukumwa na uzalendo na dhamira njema bali kwa maelekezo maalum na kwa malipo! Mbaya zaidi wakakurupuka sana na kuongea ujinga mtupu kisha haoo wakasepa zao kukinga mikono!
TEC hawakutetereka kwenye hilo na wala hawakuthubutu kunyanyua mdomo kujibizana nao! Walibaki na focus yao kukamilisha ratiba.. Na wanatambua wazi kwamba debe tupu haliishi kutika..!
Waraka wenye manufaa kwa watanganyika wote bila kujali
Itikadi zao
Imani zao
Makabila yao
Kipato chao nk nk unaendelea kusomwa leo kwa mara ya tatu, na ili kukamilisha ratiba bado mara zingine tatu. Wanaotumwa kuujibu kwa malipo wajitahidi kuujibu kwa hoja na si vioja
Watanganyika sio wapumbavu! Tunajitambua!!!!View attachment 2737210
Ratiba na maelekezo ni kusomwa kwa wiki, wasiosoma ni mipangilio yao ya ndani lakini hata hizo zilizokwisha somwa faida imeshaonekanaSiamini kuwa waraka umesomwa leo, kanisani kwetu hapa St Thomas More Mbezi Beach ulisomwa mara moja tu siku ya kwanza.
Hakuna faida wala sababu ya kuja na waraka wakati TPA wameshaandika barua ya kutaka mwekezaji wa bandari na hata akiwa ni kampuni ya kizalendo hakuna tatizo lolote.
Lile lilikuwa ni jibu tosha kwa waraka, kwamba tujipange na kuja kimkakati ikiwa tunataka kushindana na makampuni yenye ukubwa wa DP World katika masuala ya uendeshaji wa bandari kisasa.
Lile halitakuwa tangazo la mwisho la serikali, kutakuwa na tangazo la bandari ya Mbamba Bay, kutakuwa na tangazo la Bandari ya Ziwa Tanganyika pia.
He! We ulishapata majibu ya maswali yako!?Huu waraka usomwe hadi October 2025, haina jinsi
Tutajie sehemu Humu duniani Ambayo Mungu hayupo[emoji101]Acha waendelee kugeuza madhabahu kuwa jukwaa la kisiasa.
Wana haki zote kufanya hivyo kuliko kukaa kuwaibia watu hela Kwa kisingizio cha kumtolea bwana