Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
- Thread starter
- #41
Mkuu, pana watu wa ajabu sana nchi hii. Ni sawa na ule msemo usemao 'kipofu akiona mwezi basi kila kitu atafananisha na mwezi'. Hawa hawabadiliki na hawataki kufahamu nje ya England pana soka murua sana kwengine.Oyaa huu ni Uzi wa FIFA confederation cup na kinachopostiwa hapa ni kile kinachohusu mechi za kombe la mabadala.
Sasa wewe hizo habari cha Chelsea peleka kwenye nyuzi za Chelsea,
Anyway unaangalia game?