Ratiba ya kuagwa mwili wa hayati Rais Magufuli; Mikoa minne kuuaga mwili, kuzikwa Chato

Ratiba ya kuagwa mwili wa hayati Rais Magufuli; Mikoa minne kuuaga mwili, kuzikwa Chato

Aende tu ndugu zangu ameleta shida nyingi mno huko nchini Tanzania
 
Huyu jamaa bado yuko ofisini? Anapaswa afukuzwe kazi mara moja.

Yaani siku zote mzee haonekani hadharani, kumbe mzee anaumwa mahututi, yeye kakaa kimya, sasa mzee amekufa ndio anakuja kutupa ratiba ya mazishi. Sasa ili iweje?

Maiti ina faida gani kwetu kuliko mtu mwwnye uhai?
Ratiba ya mazishi takes 2 days? They were congratulating on job well done- they killed him, they told us he was ok only to change the story to amekufa in 24 hours.
 
Ilinipitia nikapona...
Plan ni kubaki watu 500ml ifikapo 2030.... soma Georgia guidestones

Ukimaliza kufurahia jua tuko njiani na corona unayo for another 9 years nonstop ...
Kama nakuona mkuu jinsi Covid ilivyokuacha na butwaa
 
RIP JPM, japo bado siamini.

Mtu wa ajabu sana wewe!! Huamini kama binadamu anaweza kufa?? Sijui wewe ni imani gani lakini hata wasio na imani huamini katika kufa!

Au ni kujipendekeza tu kwa marehemu? Umenifanya nifikirie kumbe kiwango cha ujinga (adui wetu mkuu) bado ni cha juu sana. Umetia aibu!!!
 
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha

1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia

2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini

3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi

4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu

5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya

6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara

7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao

8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc

9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"

10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato

11..Magufuli alikuwa mdini, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa imani moja

12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu

13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu

Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.

Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa

Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
Jifunze kusamehe Bwashee,mi Tra walinifilisi Bwashee ila nimesamehe.
 
Isingetosha kuaga DSM na Chato tu? Au Dodoma na Chato tu? JPM hakupenda matumizi makubwa ya pesa za walalahoi. Hiki kinachopendekezwa kufanyika sio "magufulification" kabisa
Wameanza mapema mno kufuja mali ya Umma. Mchwa watazitafuna sana...
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Huyu jamaa bado yuko ofisini? Anapaswa afukuzwe kazi mara moja.

Yaani siku zote mzee haonekani hadharani, kumbe mzee anaumwa mahututi, yeye kakaa kimya, sasa mzee amekufa ndio anakuja kutupa ratiba ya mazishi. Sasa ili iweje?

Maiti ina faida gani kwetu kuliko mtu mwwnye uhai?
Namchukia Abbas hata sielewi ni kwa nini!!
 
19.03.2021
Dar es Salaam, Tanzania

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuapishwa atoa hotuba fupi na ratiba ya mazishi.

Rais Samia Suluhu Hassan atangaza 21 za maombolezo na ratiba ya kumuaga hayati rais John Pombe Joseph Magufuli




Source: Ikulu mawasiliano
 
Mtu wa ajabu sana wewe!! Huamini kama binadamu anaweza kufa?? Sijui wewe ni imani gani lakini hata wasio na imani huamini katika kufa!

Au ni kujipendekeza tu kwa marehemu? Umenifanya nifikirie kumbe kiwango cha ujinga (adui wetu mkuu) bado ni cha juu sana. Umetia aibu!!!
Wewe ni takataka
 
Huyu jamaa bado yuko ofisini? Anapaswa afukuzwe kazi mara moja.

Yaani siku zote mzee haonekani hadharani, kumbe mzee anaumwa mahututi, yeye kakaa kimya, sasa mzee amekufa ndio anakuja kutupa ratiba ya mazishi. Sasa ili iweje?

Maiti ina faida gani kwetu kuliko mtu mwwnye uhai?
Taarifa ya ugonjwa ya raisi, huwa hazitolewi kirahis ivyo kama raia wengine
 
19.03.2021
Dar es Salaam, Tanzania

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuapishwa atoa hotuba fupi na ratiba ya mazishi.

Rais Samia Suluhu Hassan atangaza 21 za maombolezo na ratiba ya kumuaga hayati rais John Pombe Joseph Magufuli




Source: Ikulu mawasiliano

RIP
 
Jamani kumbe Magufuli alishatangulia mbele za haki ... Dah, sikuwa na taarifa!! Sasa nchi itaendaje? Doh
 
Mtu wa ajabu sana wewe!! Huamini kama binadamu anaweza kufa?? Sijui wewe ni imani gani lakini hata wasio na imani huamini katika kufa!

Au ni kujipendekeza tu kwa marehemu? Umenifanya nifikirie kumbe kiwango cha ujinga (adui wetu mkuu) bado ni cha juu sana. Umetia aibu!!!
Acha ujuaji mkuu, huwezi ukajua hisia zake zipo deep kwa kiasi gani.
 
Back
Top Bottom