Kumfulia mmeo Amsterdam ni matusi?Matusi ni dalili ya kukosa point au empty head.
Umeshawahi kuona waungwana wakitukana?
Matusi ni maneno yasemwayo na Malaya na walevi wa pombe chafu. Wewe Ni mwanamke Malaya na mlevi wa pombe chafu.
hivi 06:00 - 07:40 ni only 40 minutes!
- DAR - GEITA ==> 06:00 - 07:40 ==> 40 minutes.
- GEITA - MWANZA ==> 08:20 - 08:50 ==> 30 minutes.
- MWANZA - DAR ==> 09:00 - 11:00 ==> 60 minutes.
Inaonekana kuna mahali inatembelea gia kubwa ku-justify hiyo route.
Wanalazimisha ndege zinazoenda Mwanza zipitie Chato!Unaweza kukuta hakuna hata abiria mmoja anayeshukia Chato ila ndege inalazimika kupita Chato ndio iende Mwanza!Na ATCL Wana Booking office kabisa pale Chato nimewahi kuziona pale lakini mtu anatema nyongo hapa kuwa uwanja umegeuzwa kuanikia mpunga.
Wabongo wanafika sana.
Basi na wewe ni punda tuhivi hamjajiuliza why hito ratiba ni ya tarehe 13 October 2021 tu???
baada ya hilo tukio la tarehe 13 october huo uwanja unaendelea kuwa malisho ya mbuzi na punda.
Haya tuma salamu kwa mataga wenzako 200 popote walipo.Basi na wewe ni punda tu
Na hii ndio hoja.Kuwa na ratiba ni jambo moja, lakini kupata wateja wengi kukidhi mahitaji ya kibiashara ni jambo lingine.
Watu wengi wanapotoshwa sana na taarifa za mitandaoni.Mbona ipo siku zote hii route na watu wanakwea mwewe kama kawaida..unawatiliaga maanani watu wa humu wanaopaitaga gbadolite?
Na hii ndio hoja.
Aisee habari njema sana hizo thanks kwa update. Na bado mijamaa hiyohiyo itakuwa ya kwanza kupeleka barua za maombi ya kazi kiwanda kikitangaza ajira.Watu wengi wanapotoshwa sana na taarifa za mitandaoni.
Wapo waliosema kiwanda cha sukari cha Bhakresa cha Bagamoyo hakitafanya kazi sababu mwekezaji hakutaka kujenga kalazimishwa kwa nguvu na JPM.
Sasa kinakaribia kufanya kazi.
Aisee habari njema sana hizo thanks kwa update. Na bado mijamaa hiyohiyo itakuwa ya kwanza kupeleka barua za maombi ya kazi kiwanda kikitangaza ajira.Watu wengi wanapotoshwa sana na taarifa za mitandaoni.
Wapo waliosema kiwanda cha sukari cha Bhakresa cha Bagamoyo hakitafanya kazi sababu mwekezaji hakutaka kujenga kalazimishwa kwa nguvu na JPM.
Sasa kinakaribia kufanya kazi.
Fiktoria saita ...ukuye Mwanza nikupe satoWanakwenda kuzima mwenge.
Ingia kwenye portal ya atcl fanya kubook safari ya Geita (Chato) kwa tarehe uitakayo. Safari zipo siku zote nyie mnaishia kumaliza wino wa simu zenu tu kujoke uwanja sijui ugeuzwe eneo la kuanikia mahindiHizo safari hazitamaliza hata mwezi kabla ya kuvunjwa.
Hapana inawezekana mjane bado yuko huko.Shirika litakufa, badala ya kufanya biashara linafanya siasa
Kuna mlinzi mmoja alinifuata pale Chato Airport na kunitaka nifute picha zote nilizopiga pale kabla ya safari...Ingia kwenye portal ya atcl fanya kubook safari ya Geita (Chato) kwa tarehe uitakayo. Safari zipo siku zote nyie mnaishia kumaliza wino wa simu zenu tu kujoke uwanja sijui ugeuzwe eneo la kuanikia mahindi