Ratiba ya safari za ATCL kuelekea Chato Airport

Ratiba ya safari za ATCL kuelekea Chato Airport

Na ATCL Wana Booking office kabisa pale Chato nimewahi kuziona pale lakini mtu anatema nyongo hapa kuwa uwanja umegeuzwa kuanikia mpunga.
Wabongo wanafika sana.
Kuwa na frame ya kuuza nyama ya nyani sio uhakika wa kufanya biashara kwa Tanzania hii, ata soko la dhahabu ofisi ipo
 
Booking office inapanda ndege?
Hata mataa ya kuongozea magari yapo pale lkn do they serve any purpose?
Ukienda benki ma teller wanachati tu kwenye simu zao.
Hotel occupancy is less than 30%•
Laws of demand and supply ndio Zina influence business, never politics.
[emoji106]
 
Ujenzi wa Chato airport tumeingizwa chaka sema ndio hivyo tu watu kwa maana ya viongozi wanaona haya kulisema wazi lakini ukweli pesa imepotea kwa sababu ya ubinafsi wa mtu mmoja.
Unaongea huku umepakatwa na Amsterdam
 
Jamani acheni upotoshaji, hiyo route ipo kila wiki na abiria wapo wa kutosha ukijumlisha na wale wa Mwanza. Huduma hiyo kwa wasafiri wa Biharamlo,Ngara, Kakonko, Nyakanazi na Kibondo ni kiunganishi kizuri na Dar es salaam.
Alaaniwe mke wa Amsterdam huko ubelgiji kwa kupotosha watu.
 
Ujenzi wa Chato airport tumeingizwa chaka sema ndio hivyo tu watu kwa maana ya viongozi wanaona haya kulisema wazi lakini ukweli pesa imepotea kwa sababu ya ubinafsi wa mtu mmoja.
Mkuu ubinafsi unaousema umesaidia baadhi ya maeneo yaliyosahaulika lakini yanafanya kazi zake kwa ukaribu na Dar es salaam. Mfano, Kuna makambi ya wakimbizi matatu pale Kibondo.

Safari ya basi kutoka Dar-Kibondo ni masaa 20 na ni lazima ulale Kahama. Lakini kwa ndege kupitia Chato ni masaa 7 tu. Unaondoka Dar asubuhi, jioni kwenye saa mbili uko location.
 
Ambaye ni mwehu tu hatajua kuwa hiyo route ni kwaajili ya siku ya kumbukizi ya Nyerere ambapo mwenge utazimwa huko Chattle.
Ratiba hiyo ilipangwa kabla jiwe hajafa ili wakamwabudu huko
 
Jamani acheni upotoshaji, hiyo route ipo kila wiki na abiria wapo wa kutosha ukijumlisha na wale wa Mwanza. Huduma hiyo kwa wasafiri wa Biharamlo,Ngara, Kakonko, Nyakanazi na Kibondo ni kiunganishi kizuri na Dar es salaam.
KIBONDO- CHATO kwa gari ni nusu ya Safari ya
KIBONDO-DAR si kwa km Bali kwa masaa + comfortability
 
Mkuu ubinafsi unaousema umesaidia baadhi ya maeneo yaliyosahaulika lakini yanafanya kazi zake kwa ukaribu na Dar es salaam. Mfano, Kuna makambi ya wakimbizi matatu pale Kibondo.

Safari ya basi kutoka Dar-Kibondo ni masaa 20 na ni lazima ulale Kahama. Lakini kwa ndege kupitia Chato ni masaa 7 tu. Unaondoka Dar asubuhi, jioni kwenye saa mbili uko location.
Dar to Kibondo kupitia Chato kwa ndege ni masaa 7?
 
Nasikia upo ivi kwa sasa
images%20(9).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongea huku umepakatwa na Amsterdam
Mimi nipo uswahilini ndugu sijawahi kufika huko lakini nina haki ya kukosoa pale ninapoona kunastahili kukosolewa iwe ccm au wapinzani.
Mimi simshabikii mjinga yeyote hata awe nani.
 
Matusi ni dalili ya kukosa point au empty head.
Umeshawahi kuona waungwana wakitukana?
Matusi ni maneno yasemwayo na Malaya na walevi wa pombe chafu. Wewe Ni mwanamke Malaya na mlevi wa pombe chafu.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ukweli na matusi, jamaa kasema ukweli. Na mimi nakuuliza tena, je zimeshakauka underwear za wakili wetu msomi mlami?
 
Mkuu ubinafsi unaousema umesaidia baadhi ya maeneo yaliyosahaulika lakini yanafanya kazi zake kwa ukaribu na Dar es salaam. Mfano, Kuna makambi ya wakimbizi matatu pale Kibondo.

Safari ya basi kutoka Dar-Kibondo ni masaa 20 na ni lazima ulale Kahama. Lakini kwa ndege kupitia Chato ni masaa 7 tu. Unaondoka Dar asubuhi, jioni kwenye saa mbili uko location.
Maji yakishamwagika hayazoleki tutatafuta chochote kuhalalisha makosa yaliyokwisha fanywa na hiyo ndio ile niliyosema wakubwa wanaona haya kumsema vibaya mkubwa mwenzao.
Tuseme ukweli tu kuwa bwana mkubwa alitumia madaraka yake kwa manufaa yake binafsi na ndio maana akaujenga kijijini kwao.
 
Naomba mwenye ratiba za Rukwa pia anipatie maana nataka niende huko
 
Back
Top Bottom