mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
Kuwa na frame ya kuuza nyama ya nyani sio uhakika wa kufanya biashara kwa Tanzania hii, ata soko la dhahabu ofisi ipoNa ATCL Wana Booking office kabisa pale Chato nimewahi kuziona pale lakini mtu anatema nyongo hapa kuwa uwanja umegeuzwa kuanikia mpunga.
Wabongo wanafika sana.