Ray Asema Yeye Ndiyo Msanii Tajiri Kuliko Wote Hapa Bongo


Mwenyenazo hasemi......
 
Uyu kijana nakumbuka enzi hizo anaanza anza ndio kijana niliyekua namfahamu kwao kukiwa na pesa kidogo ya kubadirishia mboga na chumvi...hivyo kama kweli wakati anatafuta za kwake na alikua makini basi atakua na pesa ya kutosha tu
 
Sawa, tuchukulie ray ni tajiri, je, kwa utajiri wake kaifanyia nini jamii?
Mengi, Bahresa, Abood na wengineo watasemaje?
 
Duuhh live arv zinatumika hapa na vp na zembwela mbona mnamtaja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…