mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Halafu mbona picha zake tu hapo juu kama za mdoli na masharti yote haya!!! Hata hapo kifuani pameshuka sasa vigezo vyote hivyo vya nini wakati huku kwetu uswazi unaoa mwanamke tangu amezaliwa hajawahi kufuta hata mara moja!!!!! Sembuse huyo muhaya katimiza wanaume hata mia moja halafu nae aweke masharti!!