Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Ni wakati wa kutoa pole,kwani hufariji wakati mgumu,hakuna mtu anayependa shida kwa makusudi,ni bahati mbaya tu.
 
Kana watu wengi sana wa kusaidia, watu hawana hata uhakika wa kula, uje kumsaidia mtu aliyeamua kuteketeza pesa zake kwenye madawa, kasaidiwa na kikwete hadi ikulu alienda na si ajabu alivuta na mpunga kutoka kwa x-baba wa kaya
 
Mungu wangu!
Mdakuzi umeona sasa?
Nilisema mimi,zisipofanyika jitihada za haraka na dhati tutampoteza huyu.

Hivi kwa hali aliyofikia anaachiwa wa nini huyu jamani?
Si afungiwe ndani tu?
Sasa huko anakoshinda na mateja akizidiwa si wanajisevia watakavyo?
Jamani naumia hadi machozi yananitoka.
Ray C lifestyle uliyojichagulia inagharimu maisha yako sasa!
Atakuwa kaugua dengue tena huyu si unajua akienda Mwananyamara wanakuta dengue
 
Usipende kusema usiyoyajua.
Lord Eyes hausiki,walikutana gari likiwa limeshawaka.
Kuna siku RayC alikuwa ana hojiwa kwenye television kwenye kipindi cha Mboni kama sijakosea alisema Lord eyes ndiye aliyemuingiza kwenye ulaji wa madawa!

Anasema Mama yake alimkanye sana lakini hakusikia..alisema Lord eyes alikuwa anamuwekea kwenye vinywaji.
Hii point yako kama ningekuwa sijui hizo habari ningesumbuka kichwa sana sababu ya uwasilishaji wako.
Anyways, asante kwa kujazia nyama.
 
Atakuwa kaugua dengue tena huyu si unajua akienda Mwananyamara wanakuta dengue
uploadfromtaptalk1460465882171.png
 
Kuna siku RayC alikuwa ana hojiwa kwenye television kwenye kipindi cha Mboni kama sijakosea alisema Lord eyes ndiye aliyemuingiza kwenye ulaji wa madawa!

Anasema Mama yake alimkanye sana lakini hakusikia..alisema Lord eyes alikuwa anamuwekea kwenye vinywaji.
Ruttashobolwa....
Naomba usifanye ligi na mimi katika hili please.
Mimi ninachokisema hapa nina uhakika 100%
Sijasikia kwenye vyombo vya habari, (hili Ray C hawezi kusema ukweli hata iweje) ni kupitia chanzo cha kuaminika ndani ya familia yake.

Mbona huwa anakataa hajarudia madawa ya kulevya?
Mtu kama huyo unamuamini vipi?

Hivi hujajifunza ulipoleta ligi na mimi kuhusu Ben Pol?
Mwisho ukasanda mwenyewe?
Mimi huwa sisemi vitu nisivyovijua,asante.
 
Ruttashobolwa....
Naomba usifanye ligi na mimi katika hili please.
Mimi ninachokisema hapa nina uhakika 100%
Sijasikia kwenye vyombo vya habari, (hili Ray C hawezi kusema ukweli hata iweje) ni kupitia chanzo cha kuaminika ndani ya familia yake.

Mbona huwa anakataa hajarudia madawa ya kulevya?
Mtu kama huyo unamuamini vipi?

Hivi hujajifunza ulipoleta ligi na mimi kuhusu Ben Pol?
Mwisho ukasanda mwenyewe?
Mimi huwa sisemi vitu nisivyovijua,asante.
Teh Teh...
Mimi nimesema nilichosikia kutoka kwa Rayc....!
 
Kwa nini wasingekuwa wanakunywa hata konyagi mwitu tu kuliko kula hayo matakataka😀
 
madawa bado yapo kwenye damu yani kama ikiwezekana atoe damu aweke nyengine aisee ile kitu ya alosto bado inamuandama na hiv ameacha kunywa methadone ndo kabisaaaa . ndugu zangu msijaribu hata kutest pafu moja coz hutaacha kurudia sababu ya utamu wake
Mh! Blood transfusion gharama yake sio ya kitoto lakini.
 
Back
Top Bottom