Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

yani ni zaidi ya kujitafsiri ni mtu wa aina gani!huyu jamaa hana washauri?
hajui lipi la kulipa kipaumbele na hajui lipi la kuacha!
NA HILI LA RAY C NALO ILIMPASA KUJITANGAZA NAMNA HII?
SO SO SO CHEAP for a state house jamani!we need a break !
 
huyu ni mtu anapenda ujiko..watanzania wanateseka kwa kukosa pesa kidogo tu..
 
Thanx mr president kwa niaba ya wote walioguswa na tatizo la RAY C niko chini ya mwembe naburudika na hits kali za Ray 2 the C
pona haraka uje uwabambe !get well sooner RAY C! ulikosea kidogo but we still LOVE U RAY C n we mic u so ...!
 
Give credit where it is due....even JESUS though was able to raise all the dead people but he did only to three persons
asigwa NO!
WASIO NA MAMA WADOGO WAKUU WA WILAYA WANATIBIWA NA NANI?
wasio na majina hapa wanatibiwa wapi
hiki kizazi kinachoangamia kila siku kwa ajili ya madawa ya kulevya kinatetewa na nani?
 
Last edited by a moderator:
Kilichoniacha mdomo wazi katika tukio hilo ni jinsi JK alivyokuwa anatabasamu wakati anafagiliwa na Ray.
Hakika lile tabasamu la mkuu wa nchi ni nadra, sielewi aliguswa na nini hadi kuwa na furaha ya aina ile.
Hongera JK kwa tabasamu mwanana.

Watu bana wewe ulitaka rais amwage machozi.
 
kuna picha yake iko Facebook na kweli blog mbali mbali! mweenye kuweza kuibandika hapa atuwezeshe.
 
Ningemwona wa maana kama angetangaza mkakat wa kuthbiti uingizwaji na ma2mizi ya dawa za kulevya!
 
Mimi Nina nyumba Europe, Kama anataka matibabu zaidi aishi kwangu, Pia nawezakumsaidia hela ya dawa, akitaka nawezakumsaidia mambomengi na ya usanii zaidi.
 
Ray C nae! Angekuwa na akili angemuambia

"Nashukuru sana kwa msaada wako baba riz one, ila naomba uwataje kama ulivyo ahidi kuwa unawajua wauza madawa ya kulevya na kuwashughulikia ili wale wenzangu ambao nao wameathirika watambue juhudi zako, lakini pia nao uwape msaada kama mimi"

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
NA WALE WENGINE WANAOJAZANA VITUO VYA MAGARI WATIBIWE NA NANI!
HUU UMAARUFU BEI RAHISI HUU!UNAZIDI KUKUCHAFUA KULIKO KUKUJENGA !
wasio na majina wanatibiwa nani?

nimekosa hata la kuwajibu!
 
Kilichoniacha mdomo wazi katika tukio hilo ni jinsi JK alivyokuwa anatabasamu wakati anafagiliwa na Ray.
Hakika lile tabasamu la mkuu wa nchi ni nadra, sielewi aliguswa na nini hadi kuwa na furaha ya aina ile.
Hongera JK kwa tabasamu mwanana.

Dah, Mkuu na mimi hilo tabasamu liliniacha hoi maana lililotolewa mwanzo mwisho...
 
Sasa mkuu asungwelemwaifunga hautakiwi kuja na hisia wakati msamalia mwema kamsaidia mgonjwa
 
Last edited by a moderator:
nafikiri rais sasa apambane na waingiza madawa ili kuokoa wengi zaidi
 
556341_521242087894563_1401453539_n.jpg


Raisi ameokoa maisha! Akhsante na hili ni jambo sahihi!
 
asigwa NO!
WASIO NA MAMA WADOGO WAKUU WA WILAYA WANATIBIWA NA NANI?
wasio na majina hapa wanatibiwa wapi
hiki kizazi kinachoangamia kila siku kwa ajili ya madawa ya kulevya kinatetewa na nani?
Watanzania akili zao zinanichekesha sana ...Kikwete katoa kama msaada personal....swali la kujiuliza wewe umewahi saidia wangapi??? Hiyo pesa aliyotoa Kikwete ni kubwa sana mpaka wewe ikushinde kutoa??? Give credit where it is due......
 
Ray c unakumbuka siku Fulani tukiwa katika hoteli fulani Mwaka Jana Zanzibar Malindi ulipenda kitu nilikuwa NAyo mkononi? Hasa na mnzako? SasA Kama vipi njoo.
 
Namuomba JK kwa moyo huo huo akawasaidie wale watoto na mjane wa Daud Mwangosi kule Iringa!!!maana wamemkatisha maisha kijana wa watu kwa jazba za kuitetea CCM yake!awasaidie ile familia!!ule utu wake usiishie kwa ma super star wenzake!wale watoto na mjane kule wanahitaji sana msaada kwa sasa
 
Betty Chalamila-Mkwasa.
MKUU WA WILAYA NA MAMA MDOGO WA RAY C.
Jaribu wewe kabwela usiye na ndugu kiongozi uone m
 
Back
Top Bottom