Ray C: Nitapambana na Global Publishers Mahakamani

Ray C anazingua tu. Bado anabwiya maunga kama kawa. Hata kama Gobal publisher ni wazushi lakini hii ya Ray C ni kweli bado anakula ngada
Thibitisha unachoongea usiwe kama Global maneno yasiyo na ushahidi hayana maana hapa kama na ww uko huko global tuambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…