Raymond: Nilikata tamaa ya maisha


Hapo ndo kwenye point yangu
kama Raymond au Harmonize hawajui hata malipo ya jumla wamelipwa kiasi gani na Google
utasemaje 'wanalipwa'?
usikute wanacholipwa ni chini ya asilimia kumi ya kilichoingia...
 
Sikusema ninajua kwavile najua hutoamini,ila kama utaamini basi chukua hii MIMI NI MTU WA KARIBU NA WCB.
Ok tumewaelewa
 
Hapo ndo kwenye point yangu
kama Raymond au Harmonize hawajui hata malipo ya jumla wamelipwa kiasi gani na Google
utasemaje 'wanalipwa'?
usikute wanacholipwa ni chini ya asilimia kumi ya kilichoingia...
Ok, nimekupata.
 
Miaka minne kusota kwenye gemu dogo alikata tamaa huku wakongwe sie tulianza na enzi za GWM bado tunatafuta pa kutokea na wala hatujachoka kweli watoto wa siku hizi wanapenda mteremko
 
Dogo Kwa shaili kama nyegezi tetema kama jeneleta ni hatari hahahahahaha uchafu mtupu pale mkali wao ni harmonize tu basiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…