Raymond wa Wasafi ana uhusiano gani na huyu kijana wa kiume?

Wanastahili kuwekwa karibu na kusaidiwa kuliko kuwatenga na kuwafanyia vitendo vya kikatili bila kujua historia zao.
 
Ndio unaamini kwamba dunia sa hivu vululuvululu......hii ni laana na inawindda watu pia no one us safe usipokuwa makini
 
Hiki kipuuzi kinatafuta kiki

Nadhani badala ya sheria ya fao la kujitoa,wangerekebisha ile ya ushoga yani mtu akijitangaza tu apigwe mvua za kutosha
 
mi naona wote ni wa moja tu , sipendi mtoto wangu awe mtanashati wa kupitiliza mpaka kuvutia mabazazi wapanda dau.
 
Reactions: MC7
Khaa kumbe ni huyu c yule kule fb anatmia jina la kidoti wa mopa??? duuuuuh pole yake huyo alomzaa nahis hili jambo solution ni kuwasaidia kimatibabu zaidi
 
samaki mkunje....... , bado mapema huyo dogo anaweza saidiwa kama zitachukuliwa jitiada za makusudi
 
samaki mkunje....... , bado mapema huyo dogo anaweza saidiwa kama zitachukuliwa jitiada za makusudi
how, mpaka anakuja kugunduliwa hivyo kesha bobea. Anagombea wanaume . Kama kadondokewa na kitovu ndio mbaya zaidi, hakuna namna!
 
Mwambie rafiki yako aache upumbavu hizo tabia zenu za kijinga acheni bado watoto wadogo sana nyinyi!
 
Kuna haja ya kumsisitiza makonda katika matamko yake yote yasiyotekelezeka hili la hawa vijana mbadala inabidi washughulikiwe kwa nguvu zote .
Pia hakuna jinsi ni lazima like kaya itoe ripoti kwa mjumbe wa nyumba kumi juu ya uwepo wa watu hao kwenye familia zao ili kudhibiti usambaaji wa gonjwa hilo.
 
Kuna haja ya kumsisitiza makonda katika matamko yake yote yasiyotekelezeka hili la hawa vijana mbadala inabidi washughulikiwe kwa nguvu zote .
Pia hakuna jinsi ni lazima like kaya itoe ripoti kwa mjumbe wa nyumba kumi juu ya uwepo wa watu hao kwenye familia zao ili kudhibiti usambaaji wa gonjwa hilo.
 


Hivi ni kweli mnaona raha mnapofirimbwa kama anazojisikia mwanamke au mnapata maumivu ila sababu ya pesa mnavumilia tu? na wewe kama wewe ilikuaje ukaanza huo mchezo ? je unajutia ? na nini ambacho hakikufanyika inaonavyo wewe kikakusabanishia uwe ulivyo ? sorry kwa maswali maana watu wengi hawana uelewa na nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…