Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Hiyo mentality yakusema unafanyika figisu siku zote ipo kwa watu dhaifu, wenye inferior complex na wenye kutafuta sympathy ya jamii ila strong person wanaamini kwenye uwezo wao mfano mzuri kuna kipindi fulani kuna kundi la baadhi la wasanii walikuwa wanalalamika kuwa Ruge anawafanya wasifanye vizuri kimziki Mungu si Athumani akumchukua Ruge lakini watu wale wale walikuwa wanatoa hayo malalamiko wameshindwa kufunya vizuri mpaka Leo kwenye industry ya mziki japo waliokuwa wanamlalamikia ameshafariki muda mrefu kwa ilivyo hapo unadhani shida hapo ilikuwa kwa Nani?
Haina haja ya kuniandikia mgazeti wote huu,, sihitaji ligi wala kuthibitisha chochote kwako
 
Nadhan hawa wasanii wachanga wasome historia vizur,rayvanny anasema yeye ndo msanii wa kwanza kupanda kwenye majukwaa makubwa,hajui kwamba kuna watu walisha perform kwenye majukwaa makubwa kitambo kabla ya internet na instagram? Anawajua TATU NANE BAND? haws waliperform ulaya kwenye stage kubwa,je anawajua JAGWA MUSIC?

Aende tu youtube aangalie zile perfomance za holland pale amsterdam,sweden,atafuta hii kauli yake,anawajua xplastaz? Kina faza nelly? Hawa walisha perfom mpaka Sao paul brazil kwenye matamasha achilia mbali show zao hollande,swedish...namalizia na sugu aka taita huyu nae atasemaje kama Ray vanny anasema ndo msanii wa kwanza kuperfom kwenye international stage? Je anajua xplastaz walishiriki BET CYPHER? na akachana kiswahili mbele ya KRS one? Tuwafundishe historia wadogo zetu
Pia hajui God Father wa 2pac alitoka Arusha. Au Loon wa BadBoy aliimba na Nako2Bako.
 
Baada ya kuona Harmonize katoka WCB kayumba kidogo halafu akarudi kwenye mstari na yeye ameona kuwa anaweza.

Mondi na Zuchu wakipigana chini dada la dada naye atakuja na ujumbe Kama huu kuwa amekuwa na yuko tayari kutoka kwenye nyumba ya jamaa hili kuacha room kwa watu wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu zuhura ataishia kuanzisha bendi ya taarabu na mama ake.
 
Back
Top Bottom