Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Mimi msanii atakayepata mafanikio kisha aendelee kukaa Lebo nitamshangaa sana...Lebo zinaumiza sana huku mbeleni..nilimsikiliza vizuri konde ile siku alipoamua kufunguka..yaani Lebo mkataba wao ulivyo ni hata ukifanya kitu kwa jitihada zako Makato ni yake yake..alisema hadi anatoka wcb alirekodi zaidi ya nyimbo 50 ila alizolipiwa na Lebo hazizidi nane tu..

Ila ikija kwenye Makato wanataka 60 kwa 40..msanii lazima uumie..maana Wana msemo wao wanakusimamisha ,ukianza kutembea wanakuachia ujiongeze..hapo mchango wa Lebo unakuwa mdogo ila wanataka Chao.

Nawashauri wasanii wote.mikataba ya miaka kumi ni mingi mno..wekeni walau mitatu au mitano..hizi Lebo zinawafanya kama watumwa.hata Hawa kina mboso lavalava na zuchu..watatoka tuuu.ukikaa ndani ya lebo.labda kama Lebo ya baba y'ako..maana mfano mzuri wcb ni msanii Gani ana deal za maana pale kama diamond..? Jibu ni hakuna..mwangalie harmonize alipotoka pale alilamba madili mangapi? Naamini alilipa mil 600 ila baada ya mwaka ikarudi na faida kede kede...

Naamini hata rayvany akityliza akili atapata mafanikio na fedha zaidi kuliko alipokuwa Lebo..ila ajiandae kwa figisu za waswahili wa wcb..
 
Hawa watoto wanavyozidi kuondoka WCB Alikiba anazidi kupata ushindani sokoni.

Maana ushindani wake na Diamond ulikuwa unambeba sana Ally Kiba

Sasa hawa watoto wanaenda nje ya Wcb na kuanza kushindanishwa na Diamond.. hapo Ally Kiba anakuwa hashindanishwi na Diamond tena na anakosa soko
Umeona mbali
 
Mhhhh ukiondoka label kubwa kama wasafi kibongo bongo! Ddio mwanzo wa kupotea, Harmonize tangu atoe kwangalu, wimbo. Pekee mzuri aliotoa akiwa nje ya wasafi ni attitude, nyingine amebaki kulalama kama kichaa, mtu wa vijembe kama Binti wa kizaramo, kiki nyingi tu Ili abaki ana trend.

Ingekuwa vizuri kama Vanny boy atakuwa peke yake ila aendelee kufanya colabo na Simba, kama Mond/Simba anaenda nje kufanya kolabo na Davido, kizz Daniel kwa nini kufanya colabo na Vanny boy, Harmonize, au Alikiba, Iwe shida?? Hapo ndio Kuna uchawi
Bhasi hujuii mziki kijanaaa...!!
 
Mhhhh ukiondoka label kubwa kama wasafi kibongo bongo! Ddio mwanzo wa kupotea, Harmonize tangu atoe kwangalu, wimbo. Pekee mzuri aliotoa akiwa nje ya wasafi ni attitude, nyingine amebaki kulalama kama kichaa, mtu wa vijembe kama Binti wa kizaramo, kiki nyingi tu Ili abaki ana trend.

Ingekuwa vizuri kama Vanny boy atakuwa peke yake ila aendelee kufanya colabo na Simba, kama Mond/Simba anaenda nje kufanya kolabo na Davido, kizz Daniel kwa nini kufanya colabo na Vanny boy, Harmonize, au Alikiba, Iwe shida?? Hapo ndio Kuna uchawi
Ila wanauwezo wa kulisha kambi zao
 
Baada ya kuona Harmonize katoka WCB kayumba kidogo halafu akarudi kwenye mstari na yeye ameona kuwa anaweza.

Mondi na Zuchu wakipigana chini dada la dada naye atakuja na ujumbe Kama huu kuwa amekuwa na yuko tayari kutoka kwenye nyumba ya jamaa hili kuacha room kwa watu wengine.
Unahisi Zuchu bila promo za wcb ataweza?
 
Hawa watoto wanavyozidi kuondoka WCB Alikiba anazidi kupata ushindani sokoni.

Maana ushindani wake na Diamond ulikuwa unambeba sana Ally Kiba

Sasa hawa watoto wanaenda nje ya Wcb na kuanza kushindanishwa na Diamond.. hapo Ally Kiba anakuwa hashindanishwi na Diamond tena na anakosa soko
Kwamba wanagawana wafuasi
 
Mimi msanii atakayepata mafanikio kisha aendelee kukaa Lebo nitamshangaa sana...Lebo zinaumiza sana huku mbeleni..nilimsikiliza vizuri konde ile siku alipoamua kufunguka..yaani Lebo mkataba wao ulivyo ni hata ukifanya kitu kwa jitihada zako Makato ni yake yake..alisema hadi anatoka wcb alirekodi zaidi ya nyimbo 50 ila alizolipiwa na Lebo hazizidi nane tu..ila ikija kwenye Makato wanataka 60 kwa 40..msanii lazima uumie..maana Wana msemo wao wanakusimamisha ,ukianza kutembea wanakuachia ujiongeze..hapo mchango wa Lebo unakuwa mdogo ila wanataka Chao..
Nawashauri wasanii wote.mikataba ya miaka kumi ni mingi mno..wekeni walau mitatu au mitano..hizi Lebo zinawafanya kama watumwa.hata Hawa kina mboso lavalava na zuchu..watatoka tuuu.ukikaa ndani ya lebo.labda kama Lebo ya baba y'ako..maana mfano mzuri wcb ni msanii Gani ana deal za maana pale kama diamond..? Jibu ni hakuna..mwangalie harmonize alipotoka pale alilamba madili mangapi? Naamini alilipa mil 600 ila baada ya mwaka ikarudi na faida kede kede...
Naamini hata rayvany akityliza akili atapata mafanikio na fedha zaidi kuliko alipokuwa Lebo..ila ajiandae kwa figisu za waswahili wa wcb..
Wasanii waliokuwa Konde Gang wana mikataba ganii ya maana (wanapewa percentage ngapi)? na ya mikataba yao ya miaka mingapi?

Halafu kama label ni kitu kibaya mbona yy alivyotoka kaanzisha label na hao wasanii waliokuwa kwenye label yake wame achieve nini?

Hizo nyimbo 10 kwa nini hakuzirekodi kabla ya kusainiwa na WCB? Harmonize katoka baada ya miaka 3 tokea kusainiwa na WCB, hizo gharama za miaka 3 alikuwa anatoa nani?

Kuhusu mkataba Mbosso ana deal na Sumsung, Zuchu Infinix, vip hao wasanii wa kwenye label nyingine wana mkataba gani wa maana mpaka hivi sasa.

Kibongo bongo kurekodi sio issues kwani wasanii wa kibongo hawa waheshimu maproducer yaani maproducer ndio wanyonge wao ,wasanii wengi wana rekodi bure.Sasa jiulize zile video za Godfather South Africa na Moe Musa UK nani alikuwa analipia? Promotion kwenye media kuanzia Tanzania, East Africa na vyombo vikubwa vya kimataifa (MTV Africa na Trace) alikuwa anafanya nani?.
 
Mhhhh ukiondoka label kubwa kama wasafi kibongo bongo! Ddio mwanzo wa kupotea, Harmonize tangu atoe kwangalu, wimbo. Pekee mzuri aliotoa akiwa nje ya wasafi ni attitude, nyingine amebaki kulalama kama kichaa, mtu wa vijembe kama Binti wa kizaramo, kiki nyingi tu Ili abaki ana trend.

Ingekuwa vizuri kama Vanny boy atakuwa peke yake ila aendelee kufanya colabo na Simba, kama Mond/Simba anaenda nje kufanya kolabo na Davido, kizz Daniel kwa nini kufanya colabo na Vanny boy, Harmonize, au Alikiba, Iwe shida?? Hapo ndio Kuna uchawi
Una wivu wa kike, Harmonize ametoka wasafi bado yuko kwenye trend yake ile ile ,nyimbo anazotoa hamna isiyopigwa si mtaani ,kwenye tv au redioni
 
Rayvanny amekuwa smart Sana na WCB kiujumla umeona kuondoka kwake kuna mapovu ya mashabiki wa WCB? so hiyo vita sioni kwasababu move yake ina ustaarabu na ndio maana mashabiki wa Wasafi ukienda kwenye page yake kapata reaction nzuri Sana tofauti na move ya Harmonize.Faida ya Rayvanny atakayopata atakuwa na mashabiki wa Wasafi na atatengeneza mashabiki wengine wapya
Sasa mashabiki wapate mapovu kwa mtu ambaye wa kawaida? Maana unaona ukimya wake hamna anayemfuatilia.

Rally Bwalya alipouzwa na Simba hamna anayelalamika , ila Miquison na Chama kelele ilikuwa kubwa maana watu wanajua umuhimu wao.
 
Mhhhh ukiondoka label kubwa kama wasafi kibongo bongo! Ddio mwanzo wa kupotea, Harmonize tangu atoe kwangalu, wimbo. Pekee mzuri aliotoa akiwa nje ya wasafi ni attitude, nyingine amebaki kulalama kama kichaa, mtu wa vijembe kama Binti wa kizaramo, kiki nyingi tu Ili abaki ana trend.

Ingekuwa vizuri kama Vanny boy atakuwa peke yake ila aendelee kufanya colabo na Simba, kama Mond/Simba anaenda nje kufanya kolabo na Davido, kizz Daniel kwa nini kufanya colabo na Vanny boy, Harmonize, au Alikiba, Iwe shida?? Hapo ndio Kuna uchawi
Harmonize anaimba wewe msikilize vizuri.
 
Mawazo ya Kimaskini kabisa hayo,
Ondoka enzi za Ujima, fungua Fikra zako wewe pekee ndio Mkombozi wa wewe na sio mwingine.
Mbona ray hakujikomboa kabla ya kwenda wcb, hakuwa na mafanikio aliyonayo sasa nini kilimzuia kufikia alipo sasa???

Mziki unahitaji mtaji mkubwa na mipango thabiti, wako wapi kina Nuh mziwanda, baraka da prince, Sajna nawengine wengi walioamua kufata icho unachokiita mkombozi wako ni wewe mwenyewe??

Unajikomboaje kwenye jambo linalohitaji pesa na wewe huna pesa???
 
Kama Kweli kuondoka Usafini Basi
Msaani Rayvanny ameweka vedio fupi kwenye akaunti yake ya Instagram, anayoeleza kuwa alikuwa WCB, Wasafi kwa muda wa miaka 6, amepata vitu vingi ikiwemo tuzo kubwa mbalimbali pia kuwa msanii wa kwanza kupanda katika majukwaa makubwa Duniani.

Amesema kuwa anamshukuru Diamond kwa kumpa nafasi amabyo imefanya kipaji chake alichopewa na Mungu kuonekana na kukua hadi kufikia hatua ya mafanikio aliyofikia.

Amesema mtoto anapokua inabidi atke nyumba aende kujitegemea na kuanza maisha mapya na hiyo inakuwa fursa kwa vijana wengine pia kupata fursa na yeye kuweza kutengeneza fursa kwa wengine.

Amesema WCB, imemlea, imemkuza na imemuonesha upendo mkubwa sana amshukuru Diamond na kumuombea baraka tele kwa upendo wake kwake.

Pia soma:

Ajiandae tu kupotea kwenye ramani ya Muziki.WCB ilikuwa inawabeba Sana.
Ni mtazamo wangu tu.
 
Sasa mashabiki wapate mapovu kwa mtu ambaye wa kawaida? Maana unaona ukimya wake hamna anayemfuatilia.

Rally Bwalya alipouzwa na Simba hamna anayelalamika , ila Miquison na Chama kelele ilikuwa kubwa maana watu wanajua umuhimu wao.
Rayvanny wa kawaida kumfananisha na nani
 
Mhhhh ukiondoka label kubwa kama wasafi kibongo bongo! Ddio mwanzo wa kupotea, Harmonize tangu atoe kwangalu, wimbo. Pekee mzuri aliotoa akiwa nje ya wasafi ni attitude, nyingine amebaki kulalama kama kichaa, mtu wa vijembe kama Binti wa kizaramo, kiki nyingi tu Ili abaki ana trend.

Ingekuwa vizuri kama Vanny boy atakuwa peke yake ila aendelee kufanya colabo na Simba, kama Mond/Simba anaenda nje kufanya kolabo na Davido, kizz Daniel kwa nini kufanya colabo na Vanny boy, Harmonize, au Alikiba, Iwe shida?? Hapo ndio Kuna uchawi
Hivi umejaribu kujipa muda kufuatilia kitaa kati ya nyimbo za Diamond na Harmonize zipi zinasikilizwa sana kwasasa?
 
Back
Top Bottom