Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Rayvanny aaga rasmi WCB- Wasafi, ashukuru kwa fursa aliyopewa ya kuwa mwanafamilia wa Wasafi

Keshaweka million 500 kuvunja mkataba au anategemea amtungie mama Samia wimbo amlipie
 
Alikuwa label nyingine ya kinyonyaji ile ya manzese
Ili mfikisha wapi na sasa yuko wapi???

Kama ananyonywa na wcb na anamafanikio haya tunayoyaona basi wapo ambao hawako wcb na hawanyonywi ambao tungeshaona mafanikio yao makubwa kuzidi aliyonayo ray.

Ila Rayvan yuko kwenye top five ya wasanii wenye mafanikio kimuziki.

Angekua ananyonywa angekwepo hapo alipo sasa???
 
Timu chai jaba wanatamani kumletea bifu ila wamekosa sababu nasubiria kolabo yake na Harmo tuone mapovu
 
Ili mfikisha wapi na sasa yuko wapi???

Kama ananyonywa na wcb na anamafanikio haya tunayoyaona basi wapo ambao hawako wcb na hawanyonywi ambao tungeshaona mafanikio yao makubwa kuzidi aliyonayo ray.

Ila Rayvan yuko kwenye top five ya wasanii wenye mafanikio kimuziki.

Angekua ananyonywa angekwepo hapo alipo sasa???
Ana mafanikio gani ikiwa hata nyumba hana na kodi analipiwa na WCB!
 
Huwezi toka wcb et bado ukasema umetoka kwa amani ,...

Rayvanny ajiandae kupambana vita ,tana vita Kali kweli kweli ...

Atafute mbinu kutoka kwa Konde boy...
Rayvanny amekuwa smart Sana na WCB kiujumla umeona kuondoka kwake kuna mapovu ya mashabiki wa WCB? So hiyo vita sioni kwasababu move yake ina ustaarabu na ndio maana mashabiki wa Wasafi ukienda kwenye page yake kapata reaction nzuri Sana tofauti na move ya Harmonize.Faida ya Rayvanny atakayopata atakuwa na mashabiki wa Wasafi na atatengeneza mashabiki wengine wapya
 
Dogo ulozi wa Diamond ulikuwa unambeba , jamaa aliwakingia kifua Sana WCB wao wakawa wanateremka tuu bila kutoa makafara , now ndo atalionja joto la jiwe , mwenzake Harmonize wahuni wamemkamata wanakula naye 50/50 kila sku naye anaroga kinyama
 
Msaani Rayvanny ameweka vedio fupi kwenye akaunti yake ya Instagram, anayoeleza kuwa alikuwa WCB, Wasafi kwa muda wa miaka 6, amepata vitu vingi ikiwemo tuzo kubwa mbalimbali pia kuwa msanii wa kwanza kupanda katika majukwaa makubwa Duniani.
Nadhan hawa wasanii wachanga wasome historia vizur,rayvanny anasema yeye ndo msanii wa kwanza kupanda kwenye majukwaa makubwa,hajui kwamba kuna watu walisha perform kwenye majukwaa makubwa kitambo kabla ya internet na instagram? Anawajua TATU NANE BAND? haws waliperform ulaya kwenye stage kubwa,je anawajua JAGWA MUSIC?

Aende tu youtube aangalie zile perfomance za holland pale amsterdam,sweden,atafuta hii kauli yake,anawajua xplastaz? Kina faza nelly? Hawa walisha perfom mpaka Sao paul brazil kwenye matamasha achilia mbali show zao hollande,swedish...namalizia na sugu aka taita huyu nae atasemaje kama Ray vanny anasema ndo msanii wa kwanza kuperfom kwenye international stage? Je anajua xplastaz walishiriki BET CYPHER? na akachana kiswahili mbele ya KRS one? Tuwafundishe historia wadogo zetu
 
Nadhan hawa wasanii wachanga wasome historia vizur,rayvanny anasema yeye ndo msanii wa kwanza kupanda kwenye majukwaa makubwa,hajui kwamba kuna watu walisha perform kwenye majukwaa makubwa kitambo kabla ya internet na instagram? Anawajua TATU NANE BAND? haws waliperform ulaya kwenye stage kubwa,je anawajua JAGWA MUSIC? aende tu youtube aangalie zile perfomance za holland pale amsterdam,sweden,atafuta hii kauli yake,anawajua xplastaz? Kina faza nelly? Hawa walisha perfom mpaka Sao paul brazil kwenye matamasha achilia mbali show zao hollande,swedish...namalizia na sugu aka taita huyu nae atasemaje kama ray vanny anasema ndo msanii wa kwanza kuperfom kwenye international stage? Je anajua xplastaz walishiriki BET CYPHER? na akachana kiswahili mbele ya KRS one? Tuwafundishe historia wadogo zetu
Matamasha ya bonanza hayo sio kama stage kubwa kama MTV sio kila anaeenda kuperfom ulaya au america anaenda kuimba stage za maana. Rayvanny kaperfom tamasha la MTV international hao kina jagwa wanaperfom mabonanza kama uku mtu aimbe bagamoyo pale
 
Back
Top Bottom