Rayvanny aanguka na kuvunjika mkono stejini

Rayvanny aanguka na kuvunjika mkono stejini

Nimeingalia ile video zaid ya mara 10 nimejiridhisha kuwa lile tukio limekua staged mana kuanguka kule ni kwakupanga kabisa yan unaona anajibetua kabisa na anaangalia pakudondokea labda nahisi wasafi hawakutaka kwenda kwenye afterpaty wakaona watengeneze sababu solid
 
Nimeingalia ile video zaid ya mara 10 nimejiridhisha kuwa lile tukio limekua staged mana kuanguka kule ni kwakupanga kabisa yan unaona anajibetua kabisa na anaangalia pakudondokea labda nahisi wasafi hawakutaka kwenda kwenye afterpaty wakaona watengeneze sababu solid
Hiyo ndo sababu
 
Back
Top Bottom