Rayvanny aendelea kuvunja records za mauzo: Awa msanii wa kwanza East Africa kuingia Golden Club

Rayvanny aendelea kuvunja records za mauzo: Awa msanii wa kwanza East Africa kuingia Golden Club

Hapo ni mil100* 0.4 = mil40, views mil 60 zilizobaki hela zinaenda kwa Diamond
 
Mazuzu wanamfananisha rayvany na konde boy sasa konde boy angekuwa wasafi huyo rayvan angemkamata kwa viewers atoke kwanza wasafi halafu ndio tumlinganishe na konde boy unadhani fitna anazofanyiwa konde boy rayvan anaziweza.
Kisingizio cha eti anafanyiwa fitna ni upumbavu wa hali ya juu, supported by Clouds media, EA TV na ile TV ya Majizo. Kuna You Tube na digital platforms kibao yaani vyote hivyo hakuna wa kumuingilia.
Diamond Platinumz alibaniwa wakati hawana ujanja wa digital platforms wala You Tube na main stream media zilimbania pia lakini kwa kutumia mbinu ya kusambaza CDs mtaa kwa mtaa bado aliburuza wasanii wote hivyo hicho kisingizio cha kitoto achana nacho.
Hivi huyo Mmakonde ana hit song gani(walau moja tu) ambayo ni hit na imetikisa mpaka kimataifa, zaidi ya kelele za kujilinganisha na Diamond pale bangi inamkolea na kwa sasa vimbwanga vya mabango havumi kwa muziki wake kabisa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
aanze kazi akiwa nje ya lebo ya wasafi hapo ndio tutajua ni bora kuna vitu lebo za bongo hatuviwezi hivi hamo leo ni wakupiga show za mziki mnene unapanda jukwaa na underground wa singeli unacopy nyimbo za watu ndio uongeze vyako japo ni kazi ya usanii lakini hakutakiwa awe hivyo na vanni boy nae anaelekea huko huko ajikaze sana kupata hayo mafanikio nje ya wasafi lebo
 
mfano hamo toka asepe wasafi hana hit song shows hana za mana viwers youtube hakuna yaan anazidiwa hadi na zuchu dah sio audiomark sio boomply itune yaan kila kona [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anapiga shows majukwaa ambayo msanii wako pendwa hatokaa aguse.

Ana tuzo ambayo msanii wako pendwa hatokaa aishike.

Anauza muziki wake kuliko wasanii wako pendwa ukiwajumlisha pamoja.

Kwa kifupi thamani yake ni kubwa kuliko wasanii wako pendwa combined.
[emoji851][emoji851][emoji851]
 
Back
Top Bottom