Lava lava ndo atabaki pale maana hana la maana, akitoka ndo mwisho wake.Kuna kitu nadhani hakiko Sawa pengine hata hiyo percent ya kwenye mkataba hawapati. Acha tunywe supu nyama tutazikuta chini
Na kosa kubwa alilofanya ni kuweka urafiki karibu ili aonewe huruma akitaka jitoa...Rayvanny ajiandae tu kupotea kwenye ramani ya Muziki Hana lake Tena.
Hapa umeeleweka Sana mkuu
Ila Harmo alilipa hela akamalizana nao, huyu Ray inaonesha matarajio yake yamekuwa tofauti, wamchunge atakuwa tejaMtamsema diamond bure, mdogo wangu huyu hana shida na mtu aliyesain mkataba wa kufanya kazi na wasafi ni rayvan anayevunja mkataba sio diamond ni rayvan. Na katika makubaliano anayevunja hulazimika kumlipa anayeathirika kiasi cha pesa hivo anachoday simba lazima alipwe. Jamaa anatumia hela ndefu mno kuwakuza hawa wasaniii, hebu chukulia harmo alivyoanza alikuwa kitoto flan tu hakina mbele wala nyuma sasa harmo ana kila kitu
Release letter Ni Kama termination.Mm na mziki sio marafiki saaaana, naomba kujua zaidi asipopewa hiyo release letter itamzuia nini huyo Vanny Kufanya musiki wake? Yaan ndio inashikilia Sauti yake au nini hasa sijaelewa.
Kwenye mpira naelewa kuwa itamsadia kupata timu nyingine lkn kwenye mziki nataka ufafanuzi.
Hawa wanapenda amani ukiwa nao, ukibwaga manyanga tu unaamsha vita endelevu. Hizi labels nyingi ni kama biashara ya utumwa tu,kazi kumnufaisha mnyonyaji.Harmo yupi unayemuongelea, yule wa Kajala ama. Maana Harmo wa Kajala alilalamika kila kona alishtaki hadi kwa Jiwe ndo domo akaachia mambo na kubaki na bifu kali. Nilitegemea kwa ray wataelewana bila ugomvi maana kijana hakua na makeke kama wengine ila duh wachafu koge hawapendi amani daima
Ok nimekupata sasaRelease letter Ni Kama termination.
Bila hiyo huwezi kupata biashara yoyote official kutoka kwenye kampuni rasmi.
Hata ngoma zako, ukipeleka kwenye Music aggregators hawawezi kupokea kwasababu bado haki zako, wanamiliki wengine.
Mfano, Kama Rayvanny hajapewa release letter maana yake, wenye uwezo wa kwenda kudai haki zake Boomplay Ni Wasafi siyo yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakuja tyuuh.Mbona hujamtag sinza pazuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa yeye kuwagocha hao wali boko boko, wee unapungukiwa nn??? LolTunaleta ujamaa kwenye dunia ya ubepari. Domo simkubali hasa tuhuma zake za kuwagosha watoto mchelemchele. Lakini, kwa hili namsifu. Watoto wa kibongo wengi wasengewasenge lazima uende nao jino kwa jino kwenye mikataba.
Hivi hiyo account huwa ina umuhimu gani?hawezi kufungua account nyingine akaanza maisha upya?Mbona Dogo kawasaidia sana kuwaandikia nyimbo yaani alikuwa na mchango mkubwa WCB, why wanamfanyia hivo, but kwa uvumi niliosikia si ilisemekana anatakiwa alipe million 800, account yake iachiwe, awe huru
Ukifungua Account nyingine maana yake hata jina Rayvanny sio lako unatakiwa kubadili.Hivi hiyo account huwa ina umuhimu gani?hawezi kufungua account nyingine akaanza maisha upya?
Akianza upya kwanza atawachanganya mashabiki, maana watashindwa elewa ipi ni sahihi, lakini kupata idadi zawa ya wafuasi wa account ni kazi mpaka uje ufikishe idadi ya kukuingizia pesaHivi hiyo account huwa ina umuhimu gani?hawezi kufungua account nyingine akaanza maisha upya?
Basi usisaini, mbona simpo tu...na kama Kampuni ndio itaona ni lazima kuwa na wewe basi wao ndio walegeze masharti yao kabla ya hujasaini.Hii mikataba ni utumwa mambo leo, hawawezi kushikilia njia za mapato za Rayvan kama hivi. Kawaida kampuni iwe inaingiza mapato kwa mauzo ya album na concert tena kwa 40% au 60% tu. Lakini kuzuwia mpaka account ya YouTube ni kinyume cha sheria hata kwa term and condition ya YouTube yenyewe. Wanamuziki msisaini mikataba ya kinyonyaji namna hii
Huujui msemo wa kuwa maskini hana uchaguzi?Hii mikataba ni utumwa mambo leo, hawawezi kushikilia njia za mapato za Rayvan kama hivi. Kawaida kampuni iwe inaingiza mapato kwa mauzo ya album na concert tena kwa 40% au 60% tu. Lakini kuzuwia mpaka account ya YouTube ni kinyume cha sheria hata kwa term and condition ya YouTube yenyewe. Wanamuziki msisaini mikataba ya kinyonyaji namna hii
Tatizo njaa na kutojua sheria ya mkataba wengi ya wasanii wakisikia million akili zao zisharuka. Hapo hufanya makosa pili umaarufu wanaupenda sasa tatizo huja hapa.Basi usisaini, mbona simpo tu...na kama Kampuni ndio itaona ni lazima kuwa na wewe basi wao ndio walegeze masharti yao kabla ya hujasaini.
Nadhani wapo wengi ambao walishindwa kusaini na wakaendelea na shughuli zao kivyao.
Suala hapa Ni mkataba aliokubali kusaini. Kama alisaini lazima awe mpole. Vinginevyo yeye ndiye ataumia.Sasa kwani mavoko ametolewa na WCB
Kwa mara ya Kwanza namsikia Diamond ameendaa kumtambulisha Harmonize pale Radio One kipindi fulani Cha jioni Kama 12 jioni mpaka saa moja. Studio alikuwa Abdallah Mwaipaya.Mtamsema diamond bure, mdogo wangu huyu hana shida na mtu aliyesain mkataba wa kufanya kazi na wasafi ni rayvan anayevunja mkataba sio diamond ni rayvan. Na katika makubaliano anayevunja hulazimika kumlipa anayeathirika kiasi cha pesa hivo anachoday simba lazima alipwe. Jamaa anatumia hela ndefu mno kuwakuza hawa wasaniii, hebu chukulia harmo alivyoanza alikuwa kitoto flan tu hakina mbele wala nyuma sasa harmo ana kila kitu