HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Lava lava ndo atabaki pale maana hana la maana, akitoka ndo mwisho wake.Kuna kitu nadhani hakiko Sawa pengine hata hiyo percent ya kwenye mkataba hawapati. Acha tunywe supu nyama tutazikuta chini