Rayvanny amuomba radhi Kajala Masanja

Rayvanny amuomba radhi Kajala Masanja

Rayvanny , Vannboy aka chuiii ,toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi , kupitia accnt yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hvi karbuni la kusambaa Kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula .....

Anaandika Vannyboy;-

"Duniani wakati mwingine kuna vitu
tunavifanya ambavyo pengine kwa macho yetu ya ujana tunaona ni sahihi lakini tunasahau upande mwingine wa pili ambao ni wazazi wanaoumia kwa namna moja au nyingine. Nichukue nafasi hii kumuomba radhi dada angu @kajalafrida na kuwaomba radhi wazazi na yoyote ambaye nilimkwaza kwa kupost video ambayo inawezekana imetafsiriwa vibaya ..kwasababu sisi ni binadamu na kamwe hatuwezi kukamilika"


Kimombo

"On Earth sometimes there are things
we do it which perhaps with our youthful eyes we see as right but we forget the other side which is the parents who are hurt in one way or another. I would like to take this opportunity to apologize to my sister @kajalafrida and to apologize to the parents and anyone I offended by posting a video that may have been misinterpreted..because we are human and can never be perfect"

View attachment 1717500
Big up Vanny boy , tupo pamoja mtu mbaya......🙏
Kajala anakuwaje tena dada yake. Sio mama mkwe tena 🙄🙄
 
Rayvanny hanaga baya na mtu. Most talented artist kwenye kizazi hiki cha bongofleva.
Comment bora kabisa ya mwaka, tunaomba serikali ya uchumi wa kati imuwekee ulinzi huyu mtu.
 
Kuna watu wameumbuka.

Ooh Vanny boy hana kosa bla bla. Ndio mkome kuwa nyumbu na ushabiki maandazi siku nyingine mambo yaangalieni objectively.

#mnajijua.
Kisheria hana kosa, hata wewe unaweza ukakohoa njian ukatema mate, kisheria huna kosa ila kuna mwingine akakwazika so unamuomba msamaha ndo uungwana ...
 
Angewaomba radhi wazazi wote wawili wa mtoto sasa title inaonyesha kamwomba radhi mama pekee,rafiki yangu Majani si yupo au sio baba wa huyo binti?
Majani alichukulia poa kabisa , hana tabu na mkwilima, aliyevimba ndo kaombwa msamaha ndo uungwana.
 
Wa kwanza mleta mada
Sheria ipi imemhukumu kuwa anakosa? Suala lilifika mpak kwenye vyombo vya Sheria lakini vimenywea , Salama mwenyewe aling'aka na kusema walioenda kushitaka hawajui sheria ..... Vannyboy kafanya uungwana tu kijamii, ila kisheria hana kosa.
 
Rayvanny , Vannboy aka chuiii ,toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi , kupitia accnt yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hvi karbuni la kusambaa Kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula .....

Anaandika Vannyboy;-

"Duniani wakati mwingine kuna vitu
tunavifanya ambavyo pengine kwa macho yetu ya ujana tunaona ni sahihi lakini tunasahau upande mwingine wa pili ambao ni wazazi wanaoumia kwa namna moja au nyingine. Nichukue nafasi hii kumuomba radhi dada angu @kajalafrida na kuwaomba radhi wazazi na yoyote ambaye nilimkwaza kwa kupost video ambayo inawezekana imetafsiriwa vibaya ..kwasababu sisi ni binadamu na kamwe hatuwezi kukamilika"


Kimombo

"On Earth sometimes there are things
we do it which perhaps with our youthful eyes we see as right but we forget the other side which is the parents who are hurt in one way or another. I would like to take this opportunity to apologize to my sister @kajalafrida and to apologize to the parents and anyone I offended by posting a video that may have been misinterpreted..because we are human and can never be perfect"

View attachment 1717500
Big up Vanny boy , tupo pamoja mtu mbaya......[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo chui kawa kondoo mpaka mama mkwe anaumuita dada.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Sikuwahi kuwaza kama Vanny boi ana shabiki anayempenda kiasi japo mimi WCB nzima namkubali sana mwamba kuliko yeyote ila sijakufikia mkuu.
Kiumri ni dada ake , jina la mama tutalihalalisha soon as possible , juzi Paula kapost yupo na mama ake wanaimba wimbo wa Vannyboy mtu mbaya ...wanakula Kwa kondeboy wanalala Kwa mtu mbadi[emoji2]
 
Back
Top Bottom