Kamuomba msamaha dada au mkwe!? [emoji23]Hatimaye [emoji249] kaomba msamaha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana, kujishusha pia ni uungwana.
Angeharibu zaidi,๐คฃAmekuwa dada tena, si mama mkwe๐ณ
Mkuu umenichekesha bila kikomo[emoji38] [emoji38] [emoji38] Ila kwa Baba Revo umepiga penyewe.Kama vanboy ni chui, basi mbosso awe fisi, zuchu awe nyati, babalevo awe nyumbu, mavoko awe twiga, make babu zao, mmoja anajiita Simba, mwingine anajiita tembo!!!
Hata yeye akiachia kipochi unyoya Chui anapiga tuu , [emoji2][emoji2]
Kajala anakuwaje tena dada yake. Sio mama mkwe tena ๐๐Rayvanny , Vannboy aka chuiii ,toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi , kupitia accnt yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hvi karbuni la kusambaa Kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula .....
Anaandika Vannyboy;-
"Duniani wakati mwingine kuna vitu
tunavifanya ambavyo pengine kwa macho yetu ya ujana tunaona ni sahihi lakini tunasahau upande mwingine wa pili ambao ni wazazi wanaoumia kwa namna moja au nyingine. Nichukue nafasi hii kumuomba radhi dada angu @kajalafrida na kuwaomba radhi wazazi na yoyote ambaye nilimkwaza kwa kupost video ambayo inawezekana imetafsiriwa vibaya ..kwasababu sisi ni binadamu na kamwe hatuwezi kukamilika"
Kimombo
"On Earth sometimes there are things
we do it which perhaps with our youthful eyes we see as right but we forget the other side which is the parents who are hurt in one way or another. I would like to take this opportunity to apologize to my sister @kajalafrida and to apologize to the parents and anyone I offended by posting a video that may have been misinterpreted..because we are human and can never be perfect"
View attachment 1717500
Big up Vanny boy , tupo pamoja mtu mbaya......๐
Kazingua toka lini Kajala kawa dada yake?Chui ๐๐๐
Wa kwanza mleta madaKuna watu wameumbuka.
Ooh Vanny boy hana kosa bla bla. Ndio mkome kuwa nyumbu na ushabiki maandazi siku nyingine mambo yaangalieni objectively.
#mnajijua.
Kisheria hana kosa, hata wewe unaweza ukakohoa njian ukatema mate, kisheria huna kosa ila kuna mwingine akakwazika so unamuomba msamaha ndo uungwana ...Kuna watu wameumbuka.
Ooh Vanny boy hana kosa bla bla. Ndio mkome kuwa nyumbu na ushabiki maandazi siku nyingine mambo yaangalieni objectively.
#mnajijua.
Majani alichukulia poa kabisa , hana tabu na mkwilima, aliyevimba ndo kaombwa msamaha ndo uungwana.Angewaomba radhi wazazi wote wawili wa mtoto sasa title inaonyesha kamwomba radhi mama pekee,rafiki yangu Majani si yupo au sio baba wa huyo binti?
Kiumri ni dada ake, jina la mama tutalihalalisha soon as possible , juzi Paula kapost yupo na mama ake wanaimba wimbo wa Vannyboy mtu mbaya ...wanakula Kwa kondeboy wanalala Kwa mtu mbadi๐Kajala anakuwaje tena dada yake. Sio mama mkwe tena ๐๐
Sheria ipi imemhukumu kuwa anakosa? Suala lilifika mpak kwenye vyombo vya Sheria lakini vimenywea , Salama mwenyewe aling'aka na kusema walioenda kushitaka hawajui sheria ..... Vannyboy kafanya uungwana tu kijamii, ila kisheria hana kosa.Wa kwanza mleta mada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo chui kawa kondoo mpaka mama mkwe anaumuita dada.Rayvanny , Vannboy aka chuiii ,toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi , kupitia accnt yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hvi karbuni la kusambaa Kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula .....
Anaandika Vannyboy;-
"Duniani wakati mwingine kuna vitu
tunavifanya ambavyo pengine kwa macho yetu ya ujana tunaona ni sahihi lakini tunasahau upande mwingine wa pili ambao ni wazazi wanaoumia kwa namna moja au nyingine. Nichukue nafasi hii kumuomba radhi dada angu @kajalafrida na kuwaomba radhi wazazi na yoyote ambaye nilimkwaza kwa kupost video ambayo inawezekana imetafsiriwa vibaya ..kwasababu sisi ni binadamu na kamwe hatuwezi kukamilika"
Kimombo
"On Earth sometimes there are things
we do it which perhaps with our youthful eyes we see as right but we forget the other side which is the parents who are hurt in one way or another. I would like to take this opportunity to apologize to my sister @kajalafrida and to apologize to the parents and anyone I offended by posting a video that may have been misinterpreted..because we are human and can never be perfect"
View attachment 1717500
Big up Vanny boy , tupo pamoja mtu mbaya......[emoji120]
Hata yeye akiachia kipochi unyoya Chui anapiga tuu , [emoji2][emoji2]
Kiumri ni dada ake , jina la mama tutalihalalisha soon as possible , juzi Paula kapost yupo na mama ake wanaimba wimbo wa Vannyboy mtu mbaya ...wanakula Kwa kondeboy wanalala Kwa mtu mbadi[emoji2]
Mambo yashaisha kitambo, Ila watu walikuwa bado na duku duku moyoni, so kiungwana zaidi ๐Mbona kachelewa sana kuomba msamaha, mpaka mambo yawe magumu kijana ana kiburi
Sent using Jamii Forums mobile app