Rayvanny amuomba radhi Kajala Masanja

Rayvann huyo binti hana mzazi mmoja pekee ana Baba na Mama,sasa unavyoamua kumuomba msamaha mama Paula pekee inamaana kuhusu mimi baba yake unanipuuzia
 
Rayvann huyo Binti hana mzazi mmoja pekee ana Baba na Mama,sasa unavyoamua kumuomba msamaha Mama Paula pekee inamaana kuhusu mimi Baba yake unanipuuzia
Nakuja PM
 
Angewaomba radhi wazazi wote wawili wa mtoto sasa title inaonyesha kamwomba radhi mama pekee,rafiki yangu Majani si yupo au sio baba wa huyo binti?
Nipo rafiki yangu, naona Dogo ameamua kunipotezea kana kwamba hanitambui
 
Kwahiyo tutegemee video nyingine ambamo Majani atakua muhusika mkuu.
 
Mjomba mchumali na kihelehele chake sijui vipi, naona mchezo umeisha tayari. Mtoto ataendelea pigwa miti, private tu..

Okwaaa Slowly
Achana na kifutu huyo , kesho anafanya usajili na keshokutwa anadai anapiga show Addis Ababa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Kondeboy sa hv ni Aslay aliyechangamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…