[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angesema hata kibwengo [emoji2][emoji2]
Nipo rafiki yangu, naona Dogo ameamua kunipotezea kana kwamba hanitambuiAngewaomba radhi wazazi wote wawili wa mtoto sasa title inaonyesha kamwomba radhi mama pekee,rafiki yangu Majani si yupo au sio baba wa huyo binti?
You're welcome Nigga.!Nakuja PM
Mazingira ya kuliwa tunda kimasihara.
Wahuni hawana maana kabisaMazingira ya kuliwa tunda kimasihara
Lavalava awe swala!!!
AaaaaaahLavalava Nyau.
Usiumize sana kichwa, hao ni watani zangu na tunatania, hakuna ambalo seriuous hapa.. mkuuUnachoandika hapa na jina la ID yako ni vitu viwili tofauti.
Anavyo vimba, atanyinyea na kujinyeaa asee..Achana na kifutu huyo , kesho anafanya usajili na keshokutwa anadai anapiga show Addis Ababa πππ Kondeboy sa hv ni Aslay aliyechangamka