Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Management ya Harmonize [emoji119] heko kwao....wamevuta attention na wameachia nyimbo nzuri sana....
 
Yaap ndio nilichokua nakitaka "UELEWE" na ushaelewa hapo unakaza ubongo tu.
Una points zilezile labda tu uelewa wako ni mdogo ndio maana tumevutana kwa muda kidogo ila nashukuru umeelewa. Sasa ivi naona unatype kwa kurudia rudia maneno yaleyale bila shaka ni katika hali ya kujifariji.

Reply ijayo usihusishe maneno haya umeyaandika sana 😁😁
"Unaforce tunafanane"
Nifanane na mtu sikujui tafakari kwanza kabla ya kutype usikurupuke.
"Wewe na kaka zako kuoga pamoja"
Hii nayo hainihusu na haihusiani na kinachoongelewa hapa narudia fikiri kabla ya kutype.
"Wewe ukiona tupu za Me akili sijui zinahamia wapi"
Nimekuambia mimi akili hairuki wala haistuki lakini bado huelewi umekalili kitu kimoja sababu huna points nyingine za kutetea hoja zako.

Yoote hayo nimeyatolea ufafanuzi still huelewi bro una elimu gani 🤔🤔 mbona ni slow learner namna hiyo.
 
Unapata tabu sasa hunijui alafu unahangaika na mimi 😎😎 kisa tu nimeomba CONNECTION.

Ndio maana nikakwambia hunijui,mara uelewa wako mdogo,hizi id fake zina kudanganya yaani maneno yana kutoka kisa mimi kuomba CONNECTION.

Nina point zile sababu sioni mimi unacho kipigia kelele ndio maana nimekushangaa unavyo force tufanane,una gubu kama wake wenza wanapo kosa huduma kwa mume.

Yaani unaumia kisa CONNECTION 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,ndio mimi nazi subiria hapa ziwekwe na wajumbe na huku WhatsApp kunanzia group la mtaa niliokulia,O-level ,A-level na chuo na zi subiri.


Sasa wewe kama unaumia pole ndugu yangu,mimi sioni cha ajabu.
 
Duuh tatizo hili aisee,
Kuna wanaume wachache sana duniani.
Haya vuta subra utatumiwa ndgu yangu.
 
Management ya Harmonize [emoji119] heko kwao....wamevuta attention na wameachia nyimbo nzuri
Nop, wimbo wametoa kuonekana wana akili ila ni michezo wanayoicheza WCB kila mara inapokuwepo kiki huyu anaiga tu na utofauti kati ya kiki hii na za WCB ni kuwa ni inamdhalilisha sana na haiondoki, yeye atoe wimbo au asitoe kashfa inabaki tu.
 
We ruka ruka neng'eneka hapa ila acha namba yako kwa chini hapo
Wajuba wakiipata tu tukuchafulie nawewe inbox yako whatsapp
😂😂😂😂😎
 
Nikiweka hapa ntapopolewa Mimi badala rayvany cha muhimu jamaa kabonga hakuimba ila nenda yutubu usikikize mziki unaharibiwa na kizazi cha shetani
 
Hao wenyewe wote wameshapotea ktk ramani ya muziki. Wanatembelea kiki tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…