Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Ni kweli,ila hata Ile ya Karl peters na Mangungo wa msovero Ilikuwa mikataba!Watu wanasahau maana ya mkataba, it is binding by the law, Rayvann nadhani anaelewa hili kabisa maana kakaa pale muda mrefu, mengine ni kumtafutia tu Diamond lawama zisizo na msingi.
Ukishaingia mkataba ni wajibu wako kuzisimamia, kuziheshimu na kuzifuata terms na standards zilizomo humo ndani
Tatizo ni mikataba ya kinyonyaji!