Rayvanny atakiwa kuilipa Wasafi Milioni 50 baada ya kufanya shoo kwenye ndoa ya Bilnas

Ni kweli,ila hata Ile ya Karl peters na Mangungo wa msovero Ilikuwa mikataba!
Tatizo ni mikataba ya kinyonyaji!
 
Hongeea Rayvan
 
Ni kweli,ila hata Ile ya Karl peters na Mangungo wa msovero Ilikuwa mikataba!
Tatizo ni mikataba ya kinyonyaji!
Nadhani kinachowafelisha hawa wasanii mpaka tunakuja kuwalaumu mwishoni ni pale hii mikataba wanapopewa wanakuwa na njaa sana, ukijumlisha na ndoto za kuonekana kideoni, show za hapa na pale na mademu wakali wanasaini tu bila kuwa na mwanasheria baadae ndio inawafunga

Tukumbuke mkuu, “ignorance of the law is no excuse”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…