1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji16] [emoji16]Hata kura sikupiga. Hongera zake
[emoji4]Tunasubiri picha na pozi la taifa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nackia harufu ya Sepenga hapa[emoji87] [emoji87]uwiiiii[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177] Hongera zake
Tunasubiri picha na pozi la taifa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We mpuuzi hapa kiba anaingiaje, acha chuki za kijinga na uwe unafuatilia habari ndo utajua kama kiba aliishia kwenye kili au aliendelea.....sasa endeleza huu ungese uone ninavyokukeshea..... Congrats to rayvanny! Team TanzaniaAli Kiba anazeeka bila tuzo za maana, alibebwa Kili na ikajifia moja kwa moja.
Mmmhhh [emoji5] za kupotea [emoji17] [emoji17] [emoji17][emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]daah! huyu dogo nime mkubali kishenzi yaan hii tuzo si mchezo. kwa kuwa Wanyama kapewa mtaa
dogo tumpe hata barabara ya Mawasiliano ile iwe Rayvanny road
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
aaah!Mmmhhh [emoji5] za kupotea [emoji17] [emoji17] [emoji17]
sasa punguza kupanic bas, unakuwa mkali mnoWe mpuuzi hapa kiba anaingiaje, acha chuki za kijinga na uwe unafuatilia habari ndo utajua kama kiba aliishia kwenye kili au aliendelea.....sasa endeleza huu ungese uone ninavyokukeshea..... Congrats to rayvanny! Team Tanzania