Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Ila hiki kizazi ni cha hovyooo!!!

Anyway, wafuasi wa WCB wameonekana huko Kidimbwi wakisherehekea baada ya kutumia nguvu kuubwa kumtetea Rayvanny.

Wazazi zaeni tu.

Wewe sijui ulikuwa wapi ??

Video πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Attachments

  • new_kondegirl_20210216_1.mp4
    4.2 MB
Mmakonde mshamba Sana ana chuki za kijinga, anashabikia vanny afungwe ili yeye apate nn
 
Nashangaa wabongo wanavyopapatika, I think vanny did a calculated risk! Kwani Kuna mtu hajui ukibambia mwanafunzi unaenda jela
 
Me binafsi kuniuzi anajifanya ana uchungu kuliko pfunk mwenyewe watu wanafiki Kama hawa Ni wakupigwa chaba badala ya kufocus na mziki wake anaingilia issue ambazo hazimuhusu
 
Kwambaliii naona harmonize ana hisi harufu ya zile mil 500 alzotoa wcb zinataka kurudi maana sio kwa juhudi hizo
 
Hivi nyinyi wanaume wa huko dar mna hida gani lakini?

Huu ni Uzi wa ngapi kumshikilia huyo mmakonde?

Mnashindwa hata na Dada zenu
 
Me binafsi kuniuzi anajifanya ana uchungu kuliko pfunk mwenyewe watu wanafiki Kama hawa Ni wakupigwa chaba badala ya kufocus na mziki wake anaingilia issue ambazo hazimuhusu
OK mambo ya kajala wewe yanakuhusu nini?
Una undugu nao?

Easy tu
 
Huyo binti mtu mzima,miaka ya 2002 alikua ameshazaliwa,ukipita hapo kwa majani unamkuta kabebwa na mama yake...kajala alikua kisu hatari
 
WCB wanasemaje ? Kitendo cha kunyamaza kwao kunaashiria wanakubaliana na Rayvanny na wako tayari kumlinda.

Kitendo cja salam kupromote nyimbo ya Rayvanny ni kuonyesha WCB kumkubali mdhalilishaji, fuska anaefanya mapenzi na wasichana wa umri mdogo.

Ni wakati wa WCB kutoa kauli kumuunfa mkono au kumkana Rayvanny na vitendo vyake vya kifuska na kiudhalilishaji kwa makusudi mtandaoni.
 
Mwamba inakuuma Sana, fresh lakni .... Subir Paula afikishe miaka 40 ndo utampata kama konde boy alivyosubir kwa kajala , Acha Kwanza mtot mzur soap soap aendelee kulamba koni ya mtu mbaya vanny boy
 
Mwamba inakuuma Sana, fresh lakni .... Subir Paula afikishe miaka 40 ndo utampata kama konde boy alivyosubir kwa kajala , Acha Kwanza mtot mzur soap soap aendelee kulamba koni ya mtu mbaya vanny boy


WCB watadhalilishaji wa kijinsia. Na wafuska. Wanakubali na kuchochoa ufuska kwemye jamii kwa kuposti picha zisizo na maadili. Wazipost tena basi kama zina maadili.
 

Yote Tisa kumi , Vanny boy anakojoa pazuri wazee ,konde boy sjui anakwama wap , ukimchek mama zuu yupo kushoto kushoto tuu, Sara naye alikuwa Hana tako πŸ˜€πŸ˜‹
Lazima watu wamuonee wivu Tu mtu mbadi Vanny boy .....hii ndo inaitwa beautiful tight pussy .... Vijana tafuteni hela acheni utaniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‹
 
Yaan wee lol, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan wee lol, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho kuna test ujue πŸ˜‹πŸ˜€ naona unaranda Randa Tu humu usku wa manane
 
Mtu ana miaka 19 ni mdogo.. Acha umama ww..

Vile ana 19 ndio umdhalilishe mitandaoni? Nyie wababa acheni kutetea huu upuuzi, mna watoto, dada, rafiki hata jirani.

Two wrong do not make a right. Hata kama angekua na picha za bibi kizee kuzirusha mtandaoni ni udhalilishaji wa haki za binadamu, kijinsia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…