Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Alafu wanamfata wenyewe.. hatumii nguvu asee
 
Nnimeumia kama Mzazi aseeehhh!!KAJALA amefeli sana kimaleZi. Maisha yake ya hoovyo aliyoishi naona anayapeleka kwa mtoto! Daah!Tuombee vizaZi vyetu
hata kama mabovu wewe ulipata mazuri.sema vyote lakin umekosea kujirekodi video na mwanafunzi.yule.ni mtoto bado.Tamwa bahat hawajakuona ila mzee ungeenda na mmaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata kama mabovu wewe ulipata mazuri.sema vyote lakin umekosea kujirekodi video na mwanafunzi.yule.ni mtoto bado.Tamwa bahat hawajakuona ila mzee ungeenda na mmaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto anamilikije simu? Anakuwaje na acc insta anaiendesha mwenyewe,kama ni mtoto isingeingia,uchi wake tayari ni kopo tu
 
kwa sheria zetu,tamaduni zetu.ndio ukisikia hzi tamaduni zetu huwa hatujiulizi wanamaanisha nin.
yule still ni mtoto na ana akil za kitoto.that musician was not supposed to take advantage of the girl.hata kama alikua venye superstar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto anamilikije simu? Anakuwaje na acc insta anaiendesha mwenyewe,kama ni mtoto isingeingia,uchi wake tayari ni kopo tu
sasa kwa dunia ya sasa kuendesha acc insta inamshinda nan.watoto hawa wanajua kupekua sim wewe unaend mahal unakuta katoto ka miaka 3, au 4 kanaigia youtube kanaingia app stor kanadowlod game kanacheza.tecnolojia imetufikisha hapo.swali angekua yule dada yako ungefurah?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio, hii ndio fani yake ili aishi hapa mjini kama paula angewaza kama mama anafanya hivi watu wanamsema vibaya hivi ngoja mimi nisome kwa bidii nimtoe huko sio unajiingiza huko .

Maisha ya kulelewa na mama ni mazuri aisee yeye paula ndio zuzu ukichangia na baba yake hakumlea .
 
Maisha ya kulelewa na mama ni mazuri kama akiwa nidhamu,hatukatai kuwa na mahusiano kwani kila mtu anayo,ila angalia wewe ni nani na mwanao anajifunza nini kupitia ww kubadilisha wanaume na yy anaona.

Monalisa yule pale ana watoto watatu,kila mmoja na baba yake lkn hushawahi kumuona ana wapost wanaume anao date nao,au kupigwa denda in public ? na unaweza ukakuta Monalisa anadate na wanaume wengi kuliko Kajala ila mambo yake hayanyi mbele watoto wake.

Kama anataka kujiachia ,ajiachie kama akimpata wanaume aliye tayari kupeleka mahali kwa mzee Masanja na wahalalishe mahusiano yao kwa ndoa,then ajiachie atakavyo na huyo mme wake na si kubadilisha wanaume mbele ya watoto wako.Kataa au kubali matendo ya mzazi yawe mazuri au mabaya mara nyingi ndiyo yanayo mjenga mtoto.

Hajachelewa kwa Paula,amnyang'anye simu,afute acc zake zote za social media na ampige marufuku ya kutumia simu.Ampeleke shule advance ambayo ina malezi mazuri na isiyo ruhusu kutumia simu na yeye mwenyewe awe na nidhamu la sivyo dogo atapotea mazima.
 
Kwa hyo mkuu we hoja yako ni ipi inayokupa nguvu kwamba Vanboy atafungwa ili tukusaidie?? 1. Paula kuleweshwa: huo ni uongo mtupu, Ushahidi upo wa kutosha
2.Umri: binti yupo 19 huko
3.Shule: sio mwanafunzi , tutajie shule anayosoma... Hapa sijagusia masuala ya private candidate
4. Paula kumgeuka Rayvanny: Hii haipo labda Yesu aje , Paula anampenda Rayvanny to the maximum
5. Hoja ya Paula kupata mimba: wacha nitabasamu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
6.Amerekodiwa wakifanya Mapenzi : Nacheka kidogo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ istoshe aliyekuwa anarekodi ni Paula mwenyewe wakifurahi hakuna indicator yyte ya menina na amberruty
6. Kuvujisha video ya Faragha bila ridhaa ya mhusika : Hakuna ajuaye kama Paula hakuridhia japo indicator zinaonyesha Paula alikuwa full aware

Hoja inayobak hapa yenye nguvu ni kosa la kuweka video ya Faragha ya mtu na mpenzi wake kwenye public .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…