chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
WCB kama hakuna mlezi wa kuwapa mawazo ya kimaisha kuhusu huko mbele mtakuwaje na pesa zenu basi.
Huyu kijana Rayvan jambo ulilolifanya kujitosa mpaka kumpeleka nje mchumba.
Nimekuonea huruma kwa hayo yanayosikika mtaani sijui jina linaitwa connection
Huyu kijana Rayvan jambo ulilolifanya kujitosa mpaka kumpeleka nje mchumba.
Nimekuonea huruma kwa hayo yanayosikika mtaani sijui jina linaitwa connection