Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

Leo ...mnakunywa double kick then mnaanza kumfananisha Ngwear na na Maboya waimba matusi na nyegezi ....wabongo mnaokunywa Gongo. Na kimpimu mmepagawa.
 
Huyu ndo msanii bora kwa wanaume ninayemkubali kwa sasa kila siku ngoma kama
[emoji117]Unaibiwa
[emoji117]EX boyfrend
[emoji117]Vumilia
[emoji117]Naogopa
[emoji117]Pochi nene
[emoji117]Number one
[emoji117]Teamo

Nk huwa nasikiza sana
 
Mada ya vinuka boksa, 😂😂😂 huyo mrembo mwenzenu hafikii hata nusu ya kipaji cha ngwea

Wewe usifananishe huo uchafu na marehum Albert.

Kufananisha huyo kiumbe na Ngwair ni matumizi mabaya ya UFANANISHO. Umekosea tasnia ya muziki Tanzania.

Mnajaza upepo yaan Albert mangwea unamkompeya na Nyumbu

Leo ...mnakunywa double kick then mnaanza kumfananisha Ngwear na na Maboya waimba matusi na nyegezi ....wabongo mnaokunywa Gongo. Na kimpimu mmepagawa.
Okey naona mnatokwa povu Sana Vanyboy kufananishwa na Ngwear , bas tupeni data za Ngwear na mafanikio yake ambayo mpak Vannyboy aonekane taka taka mbele yake .... Wabongo tupo vizur Sana kukikuza kilichopita na kutokikubali tulicho nacho ....

Wengi hapa mnacomment kinafk , wengine hata Ngwear hammjui Ila bas tu muonekane mnajua ...haya mwageni data basi Kwenye Nyanja zifuatazo ....
1/Uwezo wa kuimba aina tofaut za kuimba eg Hip hop, RB, rhumba, slow, n.k
2/Kiwango cha kupenya soko la kimataifa
3/ Tuzo alizochukua kitaifa na kimataifa
4/International collaboratin
5/Mauzo ya albam au single
6/Popularity ndani na nje ya nchi
N.K....
Leteni data za Ngwear bas ......
 
Okey naona mnatokwa povu Sana Vanyboy kufananishwa na Ngwear , bas tupeni data za Ngwear na mafanikio yake ambayo mpak Vannyboy aonekane taka taka mbele yake .... Wabongo tupo vizur Sana kukikuza kilichopita na kutokikubali tulicho nacho ....

Wengi hapa mnacomment kinafk , wengine hata Ngwear hammjui Ila bas tu muonekane mnajua ...haya mwageni data basi Kwenye Nyanja zifuatazo ....
1/Uwezo wa kuimba aina tofaut za kuimba eg Hip hop, RB, rhumba, slow, n.k
2/Kiwango cha kupenya soko la kimataifa
3/ Tuzo alizochukua kitaifa na kimataifa
4/International collaboratin
5/Mauzo ya albam au single
6/Popularity ndani na nje ya nchi
N.K....
Leteni data za Ngwear bas ......
Nonsense, sijaisoma hata
 
Okey naona mnatokwa povu Sana Vanyboy kufananishwa na Ngwear , bas tupeni data za Ngwear na mafanikio yake ambayo mpak Vannyboy aonekane taka taka mbele yake .... Wabongo tupo vizur Sana kukikuza kilichopita na kutokikubali tulicho nacho ....

Wengi hapa mnacomment kinafk , wengine hata Ngwear hammjui Ila bas tu muonekane mnajua ...haya mwageni data basi Kwenye Nyanja zifuatazo ....
1/Uwezo wa kuimba aina tofaut za kuimba eg Hip hop, RB, rhumba, slow, n.k
2/Kiwango cha kupenya soko la kimataifa
3/ Tuzo alizochukua kitaifa na kimataifa
4/International collaboratin
5/Mauzo ya albam au single
6/Popularity ndani na nje ya nchi
N.K....
Leteni data za Ngwear bas ......

Punguza mipombe ya kienyeji you are going to fall on Mud. And guyz will shake ur batoksii take care
 
Okey naona mnatokwa povu Sana Vanyboy kufananishwa na Ngwear , bas tupeni data za Ngwear na mafanikio yake ambayo mpak Vannyboy aonekane taka taka mbele yake .... Wabongo tupo vizur Sana kukikuza kilichopita na kutokikubali tulicho nacho ....

Wengi hapa mnacomment kinafk , wengine hata Ngwear hammjui Ila bas tu muonekane mnajua ...haya mwageni data basi Kwenye Nyanja zifuatazo ....
1/Uwezo wa kuimba aina tofaut za kuimba eg Hip hop, RB, rhumba, slow, n.k
2/Kiwango cha kupenya soko la kimataifa
3/ Tuzo alizochukua kitaifa na kimataifa
4/International collaboratin
5/Mauzo ya albam au single
6/Popularity ndani na nje ya nchi
N.K....
Leteni data za Ngwear bas ......
Sijui kichwa chako kina maji kiasi gani! Umeamua kufanisha hawa watu kwa tuzo za udongo au uwezo wa kuimba?

Kama ni uwezo wa kuimba kwanini hujamfanisha na huyo binti na binti wenzake wanaoimba RnB na Singeli. Ngwair si tu msanii bali alikuwa ni zaidi ya msanii.

Huyo binti isitoshe ameanza kuusikia muziki wakati wa "Ghetto Langu". Kuna zama mbili hapa unafananisha ila umeshindwa kung'amua nyakati za hawa watu. Muziki umeshuka kiwango kwa sasa acha kufananisha Ngwair na huyu kijakazi wako.
 
Atakuja amechafukwa ukigusia mambo ya v money[emoji38][emoji38][emoji38] ila mm tz nzima kama siyo dunia yote msani wang wa kwanza n vanny boi, chui, mtu mbayaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16] anaftwata fireboy, hao wengine kwangu ni wakawaida sanaaaa[emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amgusie vee money haogopi? Mbna atatoka hana pumbu, sitakagi ujinga mie.
 
Back
Top Bottom