Kaingia hapo hana hata 100 wala kigariHawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.Kabisa mkuu right wangekua wanapata airtime ktk media zingine wangekua mbali sana na wangepata kolaboleshion za kutosha
Lets say unakuta Mario anataka kufanya kolabo na Mondi akifikiria mond apigwi clouds wa chaneli5 hivyo anaona bora aache
Kuna kipindi mondi alipata kolabo na wasanii wengi sana na ile ilikua kwasababu anapigwa clouds na eatv sasa angalia kwasasa hana kolabo nyingi sana wasanii wanaogopa kufanya naye kolabo kutokana na yeye haelewani na baadhi ya media
Hivi unafikiri Mboso kwa hit song alizotoa zile angeshindwa kupata kolabo kutoka kwa wasanii wa ndani kama vile Nandi, Darasa, marioo, Barnaba na wengine wengi ila wanamuogopa kutokana na lobo aliyokua nayo haina mahusiano mazuri na media zingine, Diamond anaakili Sana kuanzisha media yake bila hivyo alikua anakufa chali.
Mjinga wewe Wizkid anafanya ngoma featuring TENI msanii mpya.We hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.
Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
Mkuu ukishakua msanii mkubwa na unahit song za kutosha wasanii wadogo kwa wakubwa wanakufuata tena kwa malipoWe hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.
Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
U cant be serious bruh!!! Unamfananisha Vannyboy na Aslay??Mafanikio ni pesa, unataka kunambia rayvany ana pesa kushinda aslay ?
Ivi kweli msanii mkubwa utegemee kulipwa hela nzuri na msanii mdogo et kisa kufanya collabo?? izo mbona akili za usikuMkuu ukishakua msanii mkubwa na unahit song za kutosha wasanii wadogo kwa wakubwa wanakufuata tena kwa malipo
Ila wasanii wakiogopa kufanya kolabo na wewe kwa kuhofia media kubwa kama clouds kutowapiga nyimbo zao ujue utapotea tuu
Mondi kinacho mbeba ni Media yake bila hivyo angekufa kifo cha mende
500 M gani Tena jmn[emoji16]Million 500 sio mchezo.
Huo mtonyo anaupata wote au anagawana na boss wake?U cant be serious bruh!!! Unamfananisha Vannyboy na Aslay??
.
Tukiachana na malipo ya shows, rayvanny ni msanii wa pili kwa wanaoongoza kwa kupokea mtonyo mrefu kutoka kwenye digital platforms... Wakwnza ni Diamond, then rayvanny, then Harmonize, then Alikiba and so on
NonsenseWe hujui unachokiongea...Mindset ya biashara ipo hivi: Kabla ya kolabo msanii anaangalia iyo collabo itamletea yeye manufaa gani katika mziki wake, kumbuka siku izi mziki ni kitega uchumi na sio burudani tu kama ilivyokua awali.
Sasa collabo ya Mbosso na barnaba itamsaidia nini mbosso?? Apo sanasana ataenufaika na iyo collabo ni Barnaba na sio mbosso.
Mapumbavu Hawa mashabiki ya wachafu 🙏Mjinga wewe Wizkid anafanya ngoma featuring TENI msanii mpya.
Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei.
Roho hiyo wangekuwa nayo wakina USHER Raymond hata Justine Bieber tusingemuona mende wewe
Full kuimba matusi na utopoloNonsense
No wonder muziki wa kibongo hauna taste..
[emoji3]Msanii Raymond Shaban Mwakyusa AKA Rayvanny aliyepo chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) amesema atahakikisha anatoka kwenye label hiyo kwa amani. Katika kipindi cha Salama Na Rayvanny kinachorushwa EATV aliulizwa na Salama kuwa wapo watu wanasema Rayvanny ndiye anayefuata kuondoka WCB baada ya Harmonize, Rayvanny alisema jambo hilo linawezekana, na wanaosema hayo wanaongea kwa kuwa yeye ni msanii anayefanya vizuri WCB. Rayvanny alisema Kama ukifika wakati wa yeye kuondoka WCB basi atahakikisha anaondoka kwa amani bila migogoro yoyote.
NINA TABIA NJEMA
Katika mambo mengine aliyosema Rayvanny ni kwamba yeye hanywi pombe, havuti sigara wala bangi hata hivyo alikataa kutaja starehe anayoipenda. Amedai yeye ni mtu anayemtegemea na kumwamini Mungu na kwamba mama yake ni mlokole wa dhehebu la Baptist huko mkoani Mbeya ambapo pia amedai yeye alikuwa akiimba kwaya kanisani.
Anasema hajawahi kwenda kwa mganga na haamini katika kutegemea nguvu za giza.
MSISHANGAE SIKU NIKIIMBA GOSPEL
Katika kuthibitisha ucha Mungu Rayvanny amesema watu wasijekushangaa siku akiacha bongo flavor na kuhamia kwenye muziki wa injili.
SIPO SINGLE
Pamoja na kukataa kumtaja anayedate naye Rayvanny amesema kwa sasa hayupo single.
Fanya utafiti kabla ya kubishana boss.Ivi kweli msanii mkubwa utegemee kulipwa hela nzuri na msanii mdogo et kisa kufanya collabo?? izo mbona akili za usiku
.
Mfano tu mdogo, videos za wasafi zinarange kuanzia 10M kwenda juu, kuna msanii mdogo atakae weza kumudu izo cost
Nmefanya RESEARCHFanya utafiti kabla ya kubishana boss.
Tuliza tako we mzee, Pensheni Isikuchanganye...Sisi ndo vijanaMjinga wewe Wizkid anafanya ngoma featuring TENI msanii mpya.
Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei.
Roho hiyo wangekuwa nayo wakina USHER Raymond hata Justine Bieber tusingemuona mende wewe
Sorry! Mkuu, sio kweliit's obvious ukiona mtu haatumii hivyo vyote basi starehe yake ni UZINZI, typically.
Una kichaa weweTuliza tako we mzee, Pensheni Isikuchanganye...Sisi ndo vijana
TENI yupo chini ya MAVIN records inayomilikiwa na Don Jazzy, kuimba na starboy obvisiosly connection imetumika...lakini sio kwamba wizkid ana roho nzuri kiasi cha kusema ataimba na kila msanii mdogo
Basi utakua MCHAWI, bisha...Sorry! Mkuu, sio kweli
Binafsi situmii pombe, sigara wala bangi na sishiriki ngono.
Kwan umeambiwa anavunja mkataba ?? Anaanzisha label yake na tayar studio ipo tayar , Ila anakuwa partnership wa WCB hata hvyo Vanboy hakosi mil 500 mpak sasaHana Millon 500 ya kulipa aache mbwembwe kibaka hicho ray nyegezi